Misaada ya EU imerudi kwa masharti yaleyale, japo....

Tanzania ni nchi tajiri. Sisi ndio tunatakiwa kuwapa misaada wao siyo wao kutusaidia sisi - Lorry driver

Utajiri upi unaouongelea mwenzetu??? Maana kama tumemezeshwa sisi ni nchi tajiri ila tuna shida kila siku....unazungumzia utajiri wa roho nini ndugu
 
Misaada kutoka nchi za Ulaya imerudi kwa gharama. Taarifa za ndani ni kwamba nchi za Ulaya zilikataa kabisa kutoa misaada kwa Tanzania. Tukalazimika kumtumia mtu wa kati, Rais Mstaafu wa Benki ya Afrika Donald Kaberuka, kutuunganisha na nchi za Ulaya.

Misaada inarudi kwa masharti ambayo tumerudhia:
1) Kuheshimu demokrasia, pamoja na kuruhusu vyama vya siasa vifanye kazi bila vipingamizi vya serikali
2) Utatuzi wa mgogoro wa Zanzibar
3) Utawala wa sheria
4) Uhuru wa maoni
5) Uhuru wa vyombo vya habari
Sitaki kumsingizia mchawi, Ila tuna shida ya jinsi tunavyo fikiria, hayo uliyo ainisha ni aibu kuhimizwa kuyatekeleza. Yanatakiwa kuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
 
Unajua Wazungu wanaifahamu vizuri sana Afrika naweza sema kuliko waafrika tunavyoihamu Afrika. Wana kumbukumbu ya vitabu vinavyoelezea Afrika kwa kina miaka 300-400 iliyopita, lakini pia wamekuwa involved na plan zote za maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa Bara la Afrika hata baada ya kuondoka.

Wao wanachoamini ni kwamba viongozi wa kiafrika wanapatikana 'by chance". Lakini pia wanakuwa hawana uelewa wa kutosha wa changamoto kiasi gani walizonazo watu wao na nchi yao na hivyo kukosa dira ya maana ya kuziondoa. Mara nyingi wanawachukulia poa tu kwani wanajua wakiendelea kuishi kwa fikra za viongozi hao, watawaathiri wananchi zaidi. Kwahiyo hata huyu walimchukulia poa tu. Walijua akishajua ugumu wa urais na changamoto halisi za nchi yake ataanza kufikiri sawasawa.

Hakuna asiyejua usmart wa Nyerere au Mkapa. Lakini walikuwa makini sana katika kukosoa mataifa makubwa. Wengine tuliposikia yale, tukacheka tu kwani tukajua ni harakati pasipo mkakati.
 
Misaada kutoka nchi za Ulaya imerudi kwa gharama. Taarifa za ndani ni kwamba nchi za Ulaya zilikataa kabisa kutoa misaada kwa Tanzania. Tukalazimika kumtumia mtu wa kati, Rais Mstaafu wa Benki ya Afrika Donald Kaberuka, kutuunganisha na nchi za Ulaya.

Misaada inarudi kwa masharti ambayo tumerudhia:
1) Kuheshimu demokrasia, pamoja na kuruhusu vyama vya siasa vifanye kazi bila vipingamizi vya serikali
2) Utatuzi wa mgogoro wa Zanzibar
3) Utawala wa sheria
4) Uhuru wa maoni
5) Uhuru wa vyombo vya habari

Kwahiyo hizo hela hazitoki mpka masharti yatimizwe sio.....haya popcorn please....Kweli mfa maji haishi kutapatapa....its not even a 2years mshaanza kurudi nyuma,ziko wapi zile kauli za kibabe....shikamoo wahenga aisee walisema usitukane mamba kabla hujavuka mto.
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?
Kama huyo jamaa ni kutoka rwanda kuna tatizo huenda kagame kuna vingi anatarajia kutoka Tanzania.
Mwisho kesi za hovyohovyo zinazotokana na watu kutumia haki ya kidemokrasia zifutwe,kesi za lissu,lema na wengine wa mitandaoni
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?

Mkuu historia ya Rwanda na TZ ni tofauti kabisa. Kagame kaitoa Rwanda kwenye umwagaji mkubwa wa damu na ame-stablize nchi na uchumi unakuwa kwa kasi. Kwa sababu hiyo nchi wahisani wanamvumilia kwa vile kinyume cha utawala wake yanaweza kuwa tena umwagaji wa damu - na ameweza kujenga hoja ikakubalika kwa wahisani. Hapa kwetu JPM aliingia madarakani kwa mfumo wa demokrasia na watu walikuwa huru. Baada ya kuukwa ukuu anataka kuuzika mfumo ule wa kidemokrasia uliomweka madarakani kwa kutaka yeye awe kila kitu na wengine wote wanyamaze mpaka 2020.
 
Una maana serikali imekubali kuruhusu Ushoga na Seif kupewa Unyerere Wa Zanzibar? maana hayo ni kati ya masharti yao yaliyokataliwa
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?
Mkuu acha uchochezi? In Polepole voice
 
Una maana serikali imekubali kuruhusu Ushoga na Seif kupewa Unyerere Wa Zanzibar? maana hayo ni kati ya masharti yao yaliyokataliwa
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?
Mmmmh!!!!!!!
why donald_rwadan?????
 
s
N

Navyo kumbuka Kaberuka aliongoza team iliyo investigate zile lumbesa za stanbic, Na donor Mara nyingi wanataka financial discipline, sio wao wanatoa wewe unachukua kwenye lumbesa. Tumshukuru Raisi Na Kaberuka kulifanya hilo fraida zake wote tunaziona iwe ni donors, serikali, watendaji na wananchi kwa jumla.
samahani sijaelewa maelezo yako
 
Unajua Wazungu wanaifahamu vizuri sana Afrika naweza sema kuliko waafrika tunavyoihamu Afrika. Wana kumbukumbu ya vitabu vinavyoelezea Afrika kwa kina miaka 300-400 iliyopita, lakini pia wamekuwa involved na plan zote za maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa Bara la Afrika hata baada ya kuondoka.

Wao wanachoamini ni kwamba viongozi wa kiafrika wanapatikana 'by chance". Lakini pia wanakuwa hawana uelewa wa kutosha wa changamoto kiasi gani walizonazo watu wao na nchi yao na hivyo kukosa dira ya maana ya kuziondoa. Mara nyingi wanawachukulia poa tu kwani wanajua wakiendelea kuishi kwa fikra za viongozi hao, watawaathiri wananchi zaidi. Kwahiyo hata huyu walimchukulia poa tu. Walijua akishajua ugumu wa urais na changamoto halisi za nchi yake ataanza kufikiri sawasawa.

Hakuna asiyejua usmart wa Nyerere au Mkapa. Lakini walikuwa makini sana katika kukosoa mataifa makubwa. Wengine tuliposikia yale, tukacheka tu kwani tukajua ni harakati pasipo mkakati.
hapa huwa najiuliza walio amua huyu atutawale walikuwa na maana gani au ndio kelele za mvua kuwa saidia vibaka wavunje mwenye nyumba akiwa usingizini akija kushtuka hola
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?
Maafisa nguli wapi ndugu yangu! Hao unaowaita nguli ndiyo wametufikisha hapa tulipo! Taabani! Acha watu wafikiri nje ya boksi labda itatusaidia. Ndugu zetu bongo wako taabani. .mungu ibariki Tanzania.
 
hapa huwa najiuliza walio amua huyu atutawale walikuwa na maana gani au ndio kelele za mvua kuwa saidia vibaka wavunje mwenye nyumba akiwa usingizini akija kushtuka hola
Ni miscalculation tu nadhani mkuu. Na huenda za mzee wa Lupaso. Lakini pia kuna taasisi huenda ilipuuzia baadhi ya mambo au haikusikilizwa wakati wa tracking system.
 
Yeah......ndio sababu kuna watu wanaota ati kwenye yale makontena kutakuwa na dhahabu 90%! Kumbe bajeti imebuma?
 
Mnyarwanda anaongoza mazungumzo kwa niaba ya serikali ya Tanzania?

Ni kiasi gani wanywaranda sasa wanaingia na kutoka serikalini? Ni nani alimpa kazi hiyo na amelipwa nini? Alitumwa na kukubaliwa na kagame?

Ameweza kupata siri ngapi za nchi na kuzipeleka idara ya usalama ya Rwanda? Hawa watu wanaingia mpaka jikoni kujua tuna akiba ya chakula kiasi gani!! Usalama wa fedha na uchumi ni usalama wa Taifa

Wako maafisa nguli nchi hii tangu enzi ya Mkapa walioongoza majadiliano magumu kabisa mpaka tukasamehewa madeni,hawaaminiki?

Katibu Mkuu Fedha haaminiki? Kwa nini yuko hapo?

Je ni masharti gani hayo?

Haya ya kutaka watu wafanye mikutano ya hadhara ? Haya ya uchaguzi wa Zanzibar? Haya ya sheria za mitandao? Haya ya demokrasia? Nani anazuia na kwa faida ipi kwa taifa? Wangapi wamekufa kwa kukosa madawa hospital I kutokana na kukosa misaada na wangapi wanaishi kwa kuzuia mikutano ya hadhara?

Haya mambo ambayo kagame anaongoza kwa kuyakiuka eti leo inaonekana ana nafuu mpaka anaenda kutubembelezea kwa wahisani?
Chuki itakufikisha wapi? Unapaswa kumshukuru mnyarwanda anayekusaidia, kuliko mtanzania mwenzako anaekukandamiza.
 
Back
Top Bottom