Wewe ndiye unastahili elimu,mpaka sasa unaona ni sawa Mnyarwanda kuzunguka dunia nzima kwa nauli ya watanzania eti akituombea msamaha kwa wafadhili
Makosa yenyewe ni ya kurekebisha tu sisi wenyewe,kuruhusu mikutano ya hadhara mpaka tushauriwe? Kuruhusu demokrasia mpaka tushauriwe?
Hivi vitu vilikuwepo tangu Nyerere akiwa hai, na yeye kama baba wa taifa aliona havina tatizo,sisi wa miaka hii tunajiona wajuaji,haya sasa,hospitali hazina dawa,na hata hizo hela za wafadhili haziji ghafla,ukitangaza sasa mikutano ya hadhara ruksaaaa,inakuja mia tano,bunge laivu,mia mbili,utaongea na maalim,inakuja milioni moja,unarekebisha sheria ya mitandao,wanakupa milioni mbili, ni piece by piece,hela inatolewa kwa action plan iliyowekwa na mzungu mwenyewe