Chaza, mimi sidhani kama awamu hii ilikuwa na mkakati au hata agenda ya kujitegemea. Kilichotokea ni kuwa awamu hii ilirithi nchi ikiwa na hali mbaya kimapato, madeni mengi na ahadi za uchaguzi lukuki zenye kuhitaji fedha nyingi. To add insult to injury, MCC ikafuta sehemu kubwa msaada wake huku wahisani wengine wakinuna na kulalamikia kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar. Mazingira haya ndiyo yaliyozaa ile political rhetoric kuwa nchi hii ni tajiri na inaweza kujitegemea! Good idea but certainly siyo leo wala kesho. Hivyo kila mmoja wetu alijua hayo ni maneno ya kufurahisha baraza.