Bavicha mnajitekenya na kucheka wenyewe.
EU waliamua kusitisha misaada,si Rais,Makamu wala waziri yoyote aliefunga safari kwenda kuwalamba miguu.
Zaidi tuliwaona chadema wakiwa kwenye bunge la ulaya,wakishindilia fitna eti tusipewe misaada.
Haiingii akili serikali eti ikubali misaada kwa masharti wakati ilishaamua kufa na tai.
Hapa bavicha mnatakiwa mjadili matunda ya ziara zenu kwenye bunge la EU,na mualiko mliompa balozi wa EU Tanzania pale bungeni zimezaa nini?
EU waliamua kusitisha misaada,si Rais,Makamu wala waziri yoyote aliefunga safari kwenda kuwalamba miguu.
Zaidi tuliwaona chadema wakiwa kwenye bunge la ulaya,wakishindilia fitna eti tusipewe misaada.
Haiingii akili serikali eti ikubali misaada kwa masharti wakati ilishaamua kufa na tai.
Hapa bavicha mnatakiwa mjadili matunda ya ziara zenu kwenye bunge la EU,na mualiko mliompa balozi wa EU Tanzania pale bungeni zimezaa nini?