heretostay
Senior Member
- Sep 13, 2024
- 116
- 135
Alikuwa na watoto USMtu yeyote bachelor mirathi yake huwa inaisha kwa amani.
Le mutuz alikuwa hana mke. Hivyo familia yake imegawana kwa aman.
Ni kama Ruge mutahaba vile hakuwa na mke na yeye mirathi yake imegawanywa kwa amani.
Ila kama Le mutuz angekuwa ameoa leo hii kungekuwa na vita kubwa kugombea vijumba vyake vya kinyerezi na kule kwingine