Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,368
- 8,404
Napenda jamaa anaakili kubwa Sana bila kujali ana nini au hana nini
Was kanzu kubwa necessarily?Sasa kulikuwa na nini cha kugawa? Nyumba ya msajili, Noah old model ilishajichokea, Online Tv sidhani kama ilikuwa ina substantial revenue.
Labda ile mishati mikubwa, kanzu moja nyeupe, nyaya puza lake na ile chain ya English gold.
Le Mutuz alikuwa tajiri wa nafsi (aliridhika na kuwa na marafiki matajiri) sio tajiri wa mali.
For emphasisWas kanzu kubwa necessarily?
Ndicho tunachojuwa zaidiMbona Watanzania tunapenda umbea kuliko kazi? taarifa za mirathi si uende nyumbani kwako ukaulize? umeshaulizia kwao au kwa ndugu zake ukakosa majibu mpk umeamua kuja huku? Nonsense!!
Mzee wa ze utamuzMwenye kujua namna mirathi ya celebrity Marehemu William Malecela a.k.a Le Mutuz ilivyogawanywa atujuze. Nyumba (2), apartments (3), akaunti benk, online TV na Magari
Mbona alijipambanua kuwa na uwekezaji mkubwa huko majuuSasa wagaweni nini
Gari Noah Vox na online TV au nini ? Maana marehemu hakuwa na mali
Mbona alijipambanua kuwa na uwekezaji mkubwa huko majuuSasa wagaweni nini
Gari Noah Vox na online TV au nini ? Maana marehemu hakuwa na mali
Kumbe ilikuwa ni sehemu ya bunifu zake?.Mzee wa ze utamuz
Ma DIASPORA mnapaswa mjitafakari sana yaani washkaji zangu wakirudi bongo wanarudi na vihela hawakosi walau 200k usd ila sijui mnajifunza nini wenzetu huko huwa hawana time ya kuoa hawna mahusiano poa na watoto waliozaa bila kuwatunza na huspend all their last life kula bata mfanoLet my New York City brother Rest In Peace.
It is uncouth to drag his name in mud unnecessarily.
He is not here to defend himself.
One.
Mkuu,Ma DIASPORA mnapaswa mjitafakari sana yaani washkaji zangu wakirudi bongo wanarudi na vihela hawakosi walau 200k usd ila sijui mnajifunza nini wenzetu huko huwa hawana time ya kuoa hawna mahusiano poa na watoto waliozaa bila kuwatunza na huspend all their last life kula bata mfano
1.Mmoja anaitwa Musa wa kigoma wanamjua alikuwa anafanya biashara ya vinyago(vintage vile) huku alikuwa akirudi anakuja tu kuimarisha network ya kumtumia at his 70 aliamua kurudi alikuwa na nyumba kigoma premium kama 5 barabarani moja akajenga club inaitwa lakeview ilikuwa inabamba yaani maish yake alikuwa single na ana watoto kama 4 wote hakuwahi walea ni walaibu wa pombe na ni mabinti sad enough alikuwa analewa nao
2.Anaitwa Mamba huyu ameishi sana minesota alirudi sababu alioa mzungu wakaachana demu akawa anakula almost 70% ya mshahara wake kisa child support aliporudi bongo akaoa malaya sugu sinz afu anaishi nae kiulaya mara watembee wameshikana mikono mara migahawa ya icecreme posta etc yaan demu alikuwa anagongwa balaa jamaa anampa uhuru sana na mpaka leo ni mzee wa bata tu hakuna maeneo ya massage malaya hawamjui
balozi haya ilipawa iyachunguze kenya dispora wao wamefanya mambo sana wetu wanarudi wakiwa wazungu
Sawa mzungu!Mkuu,
Hao ni diaspora unaowajua wewe, ni sample ndogo tu.
Mimi najua wengi wako tofauti.
Mfano mimi sina issue ya child support, nina mahusiano mazuri na familia yangu, nafanya kazi vizuri, naendesha kazi na biashara zangu vizuri, na huko Bongo hata hunioni kwa sababu sijaja muda mrefu na sina mpango wa ku retire Bongo.
Wambea wengi hamjui kushika hamsini zenu kila siku kufuatilia maisha ya watu tu.
Huyo aliyeamua kulewa na binti zake hayo ndiyo maisha yake kaamua yawe hivyo, tatizo lako liko wapi? Kalewa kwa hela zako?
Haya, huyo aliyeachana na mkewe mzungu analipa child support anam support mtoto wake, wewe tatizo lako lipi hapo? Ukitaka akulipe wewe?
Kaamua kuoa unayemuita malaya, kivyake. Tatizo lako nini? Ulitaka akuoe wewe?
Mwanamme unalalamika mwanamme mwenzako anakula ice cream na mwanamke aliyemchagua? Unalalamika anamshika mkono mwanamke aliyemchagua? Unataka akushike mkono wewe?
Una ugonjwa gani wa akili wewe?
Wewe huna mwanamke wako wa kula naye unachotaka mpaka unaanza kuwanyanyapaa watu baki walioamua kuishi wanavyotaka?
Huku kufuatiliana kwa kumzodoa mshikaji wako ambaye hata hayupo hapa kujitetea si kupendana, ni umbea, ni sadism.Sawa mzungu!
Huku africa tuna utamaduni wa kufuatiliana sio umbea ni tunapendana .
Huku hatuna bima ya afya ,hatuna gari wala detector ya kujua tuko home pekeyetu na tuna heart attack.
Sisi huku ukilewa na washkaji mkifika home mnaulizana vipi umefika salama ,asubuhi tunaulizana umeamkaje .
Hakuna asiejua maisha ya mzungu ni ya ubinafsi na upweke.neno mind ur busines linaishia pale airport
Ila ukitaka huduma hiyo tunakupa vyema sana .
Mm nimefanya kazi sana ya utalii arusha nimefanya sana kuwa peleka nje gemstones diaspora naowajua ni si chini ya 1000 nadhan miaka yetu ujanja ilikuwa kwenda nje sikuhizi bongo hakuna anaekuona umefanikiwa cha maana kuwa nje .hela za kuja kula malaya huko wiki na kurudi easy kutafuta hapa bongo tu .
Skuizi marekan wanaenda kina mwijaku na baba levo.watu makini tunaenda emerging economies kusaka fursa na maarifa ya kutajirikia home .dola laki 2 usa hupati hata nyumba wakati hapa ukienda china unarudi fungua kiwanda kikubwa cha sausage sinza .
So hatuwatizami tena kama winners tunawatizama kama ndo chaguo lenu na hatusemi mnapatia au mnakosea ,ila 70% wanaorudi hapa wanajikuta tumewaacha hatua 1000
Kwanza simzodoi maana hakuna anaemjua hapa ni ,jamiiforum moja ya utamu wake ni kushauriwa juu ya sinario sio an individual its a meeting of mind pengine hapa ndo napata nini nimshauri maana tuna madogo kibao wameanza maisha ulaya kwa gia ya kuwapakia mkongo wabibi wakizungu arusha tunaita last bullet .watu wanashare stori mpaka sensitive kama ndoa kupitia wahuni tu humu mtu anapa good way to go ,wengine hatushei fake stories.Huku kufuatiliana kwa kumzodoa mshikaji wako ambaye hata hayupo hapa kujitetea si kupendana, ni umbea, ni sadism.
Ila mnajivisha gamba la kupendana ku justify unafiki wenu tu.
Friends don't talk about friends the way you do.
With friends like you, who need enemies?
Know your role. Learn to respect others space.Kwanza simzodoi maana hakuna anaemjua hapa ni ,jamiiforum moja ya utamu wake ni kushauriwa juu ya sinario sio an individual its a meeting of mind pengine hapa ndo napata nini nimshauri maana tuna madogo kibao wameanza maisha ulaya kwa gia ya kuwapakia mkongo wabibi wakizungu arusha tunaita last bullet .watu wanashare stori mpaka sensitive kama ndoa kupitia wahuni tu humu mtu anapa good way to go ,wengine hatushei fake stories.
Kingine kuhusu kupendana hilo uliwahi kuwa muafrica unauhakika sisi washkaj wanakaaga huko mwaka hana rafiki akitua airport tunampokea na msululu utasema hatuna kazi za kufanya its what columbus said" native people have beutiful hearts love one another for real they dont know even the concert of possessions but always smile and laugh"
Karibu sinza kumekucha ujipatie safari baridi
Point taken umeshauri kiungwana ,bravo!Know your role. Learn to respect others space.
Huyo mshkaji wako kama unampenda kaa naye umueleze unayoyaona.
Kama hataki unayoona sawa, muachie aishi anavyotaka.
Si kila mtu anataka kuishi kama wewe.