Mirathi ya Le Mutuz iligawanywaje?

Mirathi ya Le Mutuz iligawanywaje?

Ile noah yake kapewa baba ake. Hicho ndo kitu pekee alikua anamiliki
 
Let my New York City brother Rest In Peace.

It is uncouth to drag his name in mud unnecessarily.

He is not here to defend himself.

One.
he shall continue resting in peace,

anyone who speak the shit about him doesn't want peace.

Cause Kiranga will definitely tear them apart in order to attain peace.

rip mr le mutuz, nili penda alivyo andika kuhusu historia ya maisha yake.
 
Mkuu,

Hao ni diaspora unaowajua wewe, ni sample ndogo tu.

Mimi najua wengi wako tofauti.

Mfano mimi sina issue ya child support, nina mahusiano mazuri na familia yangu, nafanya kazi vizuri, naendesha kazi na biashara zangu vizuri, na huko Bongo hata hunioni kwa sababu sijaja muda mrefu na sina mpango wa ku retire Bongo.

Wambea wengi hamjui kushika hamsini zenu kila siku kufuatilia maisha ya watu tu.

Huyo aliyeamua kulewa na binti zake hayo ndiyo maisha yake kaamua yawe hivyo, tatizo lako liko wapi? Kalewa kwa hela zako?

Haya, huyo aliyeachana na mkewe mzungu analipa child support anam support mtoto wake, wewe tatizo lako lipi hapo? Ukitaka akulipe wewe?

Kaamua kuoa unayemuita malaya, kivyake. Tatizo lako nini? Ulitaka akuoe wewe?

Mwanamme unalalamika mwanamme mwenzako anakula ice cream na mwanamke aliyemchagua? Unalalamika anamshika mkono mwanamke aliyemchagua? Unataka akushike mkono wewe?

Una ugonjwa gani wa akili wewe?

Wewe huna mwanamke wako wa kula naye unachotaka mpaka unaanza kuwanyanyapaa watu baki walioamua kuishi wanavyotaka?
Hii Ngoma ya hip hop tunge iita, fanya wewe 😂🤔
 
NIKISIKIA MTU ANAULIZIA MGAO NASIKIA KAMA ANATAKA NIPIGA KISU
 
Back
Top Bottom