Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,845
Kusoma sana ni uoga wa maishaVilaza uwa mnajifariji kinoma.
Soma basi na wewe uwe Profesa.
Kusoma sana ni uoga wa maishaVilaza uwa mnajifariji kinoma.
Soma basi na wewe uwe Profesa.
Wewe ambae hujasoma una nini kuwazidi maprofesa.Kusoma sana ni uoga wa maisha
Plus Kampuni za Ujenzi na zinawalipa kweli.Ardhi University -kampuni za real estates🙏🏌️
Hawa wajinga wanadharau maprof wakati wanajilia maokoto yao kimya kimyaPlus Kampuni za Ujenzi na zinawalipa kweli.
Mchawi kibunda mkuuWewe ambae hujasoma una nini kuwazidi maprofesa.
Tuache kujifariji na tuheshimu wasomi wetu japo kidogo.
Mbona kama povu mkuu,acha jaziba tujadili mada kwa utulivuHuna unachojua mwehu wewe! Unafahamu Prof. Mdegela wewe? Wacha nisitaje miradi yake! Mbona wengi tu wanapiga hela kwenye fani zao! Unataka prof. Wa SUA asifuge ng'ombe? Eti unasema ng'ombe wawili, hujawahi kumwona Prof mwenye ranch ya ng'ombe wa nyama na maziwa pale SUA?
Ina maana wewe umesoma vyuo vyote Tupe source ya data ya utafiti wako.



SawaMchawi kibunda mkuu
Kuna madogo wafanyabiashara wa kichaga na wa kikinga hapo Kariakoo akaunti zao zina mkwanja mrefu kuliko hata hao maprofesa
Hiyo title ya Profesa hata isikutishe
Na kingine wana calculate risk zaidi kuitafuta faida,tofauti na mfanyabiashara sio msomiMfanyabiashara ana akili ya biashara kuliko profesa
Wasomi wengi wa level za juu kama uprofesa huwa hawana uzoefu na biashara
Umesema vyemaNa kingine wana calculate risk zaidi kuitafuta faida,tofauti na mfanyabiashara sio msomi
Maprofesa naona mmefikiwa! DohHawa jamaa ni watu wa ajabu pale UD wengine ukienda ofisi zao kuwaulizia usipotaja mwanzoni title ya Prof...
Ukasema Mr...
Wanakukaushia. Jamaa wana mambo ya ajabu sana. Wanapenda sana sifa na kunyenyekewa
Utakuwa humjui Tibaijuka wew....utajiri wake ni ukoo wenu mara 10 na bado hamfikii...Sasa we jiulize mtu kama lipumba, kabudi, mkumbo, tibaijuka, ...... just imagine wote ni weupe kichwani wana ubunifu gani ..... eti profesa una miliki sheli
Mshahara wa professor ni zaidi ya 6million kwa mwezi hapo hujaweka marupurupu mengine kama semina nk...Mchawi kibunda mkuu
Kuna madogo wafanyabiashara wa kichaga na wa kikinga hapo Kariakoo akaunti zao zina mkwanja mrefu kuliko hata hao maprofesa
Hiyo title ya Profesa hata isikutishe
6m +Mshahara wa proff ni kiasi gani