Mimi tena wanaume basi!

Mimi tena wanaume basi!

n.y.e.g.e km njaa vile sasa hivi utaagiza chipsi mayai(sharobaro) au nguna (rijali) namuunga mkono lara golden rule kwenye relationship dont expect anything. Tatizo jingine ambalo linawarahisishia wanaume kuwapata kiurahisi wanawake na kuwakimbia kwa tatizo hilo hilo ni sindano aka virungu, lastly but aint least mmekutana jana leo mama anataka akuone, kesho ndoa lini mwee!
 
wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,matapeli,
nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

pole sana dada jenu,kwanza kabisa jitambue kwamba wewe ni wathamani sana machonipa mungu wa mbingu na nchi,pili tubu dhabi ya zinaa kabla ya ndoa,ni dhambi mbaya sana,sama neno la mungu ktk [1wakorinto 6;18]inasema;ikimbieni zinaa,yeye afanyaye,zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe,,ndio maana nakwambia hutubu kisha umrudie mungu,kwani mume mwema utoka kwake,mwombe yeye atakupa mume mwema sana,usikubali kuu dhalilisha mwili wako,wewe ni wathamani sana,jieshimu,na mungu atakueshimu,na kukupa mume bora sana,zingatia ushauri wangu,na yesu akubariki sana,ishi maisha matakatifu,ya kumpendeza mungu,
 
Ngoja ny,ge zikutembelee ndo utaona kiapo chako kama ni cha kitoto.
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Acha uongo, unafurahisha jamvi Jenu.
 
Wanawake tunapenda kusingizia wanaume sana wakati wanawake wengi huwa hawajui makosa yao au kuwa wanakitu/tabia inakimbiza wanaume

Ni faraja kusikia mwanamke akiuaema ukweli ilivyo bila kupindisha.....thanks dadaa
 
Kwani wameharibu kabisa
li-tiGo lako?
Wewe ndo tatizo thats why ulikuwa unatega tu kwa kila unayekutana naye bila kufikiri.
Ukipanda upepo, tarajia kuvuna tufani.
 
Back
Top Bottom