Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,491
- 12,145
Umerudi pale pale kuwa wewe pekee upo kinyume na dunia nzima na wote ni wajinga, nilishaeleza huko juu kuwa mjanja ni wewe peke yako.Unachojua wewe ni makanisa na misikiti tu.
Tatizo linaanzia hapo.
A little knowledge is dangerous indeed. Utashi wako unaanzia na kuishia katika makanisa na misikiti.
I have been to Dharamsala.
Hujathibitisha kwamba mungu wako huyo yupo. Huwezi.
Kwa sababu hayupo.
Na dunia yako yote imejengeka katika uongo huo.
Ndiyo maana unaamini katika ujinga kama uchawi.
Na pengine nimepata faida katika mjadala wetu bwana mdogo maana nilikuwa nikisikia kuhusu wapagani ila leo nimethibitisha, tukiachana na sisi tuliokosa upeo kuamini uwepo wa Mungu.......wewe hua una imani yeyote unayoabudu au?
Nijuze mkuu nipate kuelewa vema watu wa aina yako wanakwenda vipi