Military Politics: Is Magufuli in danger?

Whatever we use in saving our economy it must be well calculated for the positive impact. whether we use armed forces,intelectuals, politician,peasant, whatever it mut be in way of positive results.Bila kutumia watu wenye weledi katika hilo tutafeli, tukitumia ubavu wa madaraka kwenye maamuzi yanayohitaki utaalamu tutafeli,sehemu kubwa ya vitu tunavyovitegemea kutupa mapato ya forex kama nchi soko lake kubwa sio sisi ni wakubwa hao.Tufanye siasa zetu, ujanja wetu wote hapo ndio break, bei ya korosho inayumba kwa sababu consumers saudia na US wanagoma kununua at a higher price, vivyo hivyo wakiamua kwenye madini, kwenye tumbaku, kwenye samaki, every where, midege yetu kama tumeileta kufanya biashara hasa kupitia utalii wakiamua kutupiga wanatupiga tu, watasema TZ co salama kwenda,Samaki watasema ina Salmonela,kwa mwenye kumbukumbu anakumbuka kuhusu TIFANY, waliweka vikwazo kidogo tu kwenye Tanzanite hali ikabadilika,Na tukumbuke masoko hayo sio ya kwenda tu na kuuza kuna makampuni yamelikamata soko maana yake mwisho wa siku utawauzia wao tu. Kama nchi ni lazima tuusome uchumi wa Dunia yote na tutumie elimu hiyo kufanya maamuzi ya kujenga uchumi wetu. NG'WABEJA SANA
 
Wewe ndiye uliyepata shida kuelewa nilichoandika...hoja yangu was against kejeli, matusi, dharau kwa rais, Head of state na Amiri Jeshi Mkuu...Lakini wewe unakuja na hoja mbovu na yenye mweleko wa ugaidi na kishetani kwamba watu sisi ni vema tupungue...maana ya neno hilo ni moja tu kwamba watu kama sisi tufe ili mbaki nyie mnaojiona mko sahihi kwa hoja zenu...it is ridiculous and a shame...utasemaje wenzio wapungue???!!!
Naona, nisipoteze Calories zangu bure hapa kwani hutanielewa kabisa.
 
Mbinu nyingi zinazotumiwa na awamu hii ktk kutekeleza mambo zinalenga kuwatia watu HOFU.
 
Loyalty ya jeshi kwa rais huvunjika hali inapokuwa mbaya na rais kawa madarakani muda mrefu, hapa Tz mpaka army ije poteza loyalty kwa rais bado sana. Mnayoongea ni ya kufikirika na kufurahisha genge.
Nigga is taking a shortcut to his own execution.
 
"Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita".

hayo ni maneno mazito sana, ila kwa jiwe yanaingia sikio la kulia yanatokea sikio la kushoto.
 
Magufuli ameletwa kwama njia ya ukombozi wa watanzania, kwamba yeye ni njia ya kuiua ccm dhalimu na serikali yake ili ile nyingine iweze kuja. Na njia hizi ni sahihi kabisa ktk kuibonoa serikali hii ya kibabeli.

Acheni wafu wazikane.
he is selfdestructing
 
"Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita".

hayo ni maneno mazito sana, ila kwa jiwe yanaingia sikio la kulia yanatokea sikio la kushoto.
Nani kayasema hayo mkuu?
 
Loyalty ya jeshi kwa rais huvunjika hali inapokuwa mbaya na rais kawa madarakani muda mrefu, hapa Tz mpaka army ije poteza loyalty kwa rais bado sana. Mnayoongea ni ya kufikirika na kufurahisha genge.
Kwani Obote alikaa muda mrefu sana ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom