MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,377
Hizo Cinema zenu zimetuchosha. Kwanza tunaomba matokeo ya Maauji ya Padre Evaristus Mushi wa Kanisa la Parokia ya Minara Mirefu, sio Mnatuzuga. Kama bomu limelipuliwa kanisani haya tuambiaeni wamekufa Wakirsto wangapi?. Acheni chokochoko zenu za kipumbavu, badilikeni, zama za Nyerere Ndio zimekishwa. Sasa ni nguvu za hoja na kichwa.
Don't seek easy road to success.
Don't seek easy road to success.