Milipuko yatikisa Zanzibar

Milipuko yatikisa Zanzibar

Kumetokea Miripuko sehemu mbili tofauti hapa Zanzibar, sehemu moja ni katika Mercury Restaurant iliopo karibu na bandarini na mripuko mwengine ni karibu na Anglican church Zanzibar.

fuatilia ulete habari kamili. halafu inaitwa milipuko sio miripuko.
 
Jamani tuwaachie zanzibar yao hawa watu, watamaliza ndugu zetu maana kwa hali hii ni kweli wamrdhamilia.
 
kauli ya JK ilikuwa ni ya kichochezi sana na hanatakiwa apelekwe ICC akajibu mashitaka yake huko,uwezi hutubia wananchi ukasema acheni unyonge for what?tunataka majibu ya kina IGP Mangu na OTHUMAN RASHID mkuu wa TISS maana haya mambo hayawezi kumalizwa kwa mazoea
hadidu rejea za kumwagiwa tindikali kwa walimu wa kujitolea wa UK
Kupoteza maisha kwa mapadri,kumwagiwa tindikali shekhe
haiwezekani unguja isiyokuwa na wakazi zaidi ya laki 4 ikawa ina genge kubwa la wa halifu
cc Pombo
 
NATABIRI

"
ZANZIBAR itakufa kabla ya CHADEMA na itapotea kwenye ramani ya dunia haraka kama kifo cha MACCM"

mwenye maskio na aliskie neno hili,
 
sasa ile kauli ya mwenyekiti wa ccm ya 'uonevu sasa basi' nadhani ilifaa sana kwa hawa magaidi.
 
wakuu, TAARIFA IMETOLEWA HAKUNA MLIPUKO WOWOTE WA MABOMU ULIOTOKEA, KILICHOTOKEA NI MLIPUKO WA GESI KARIBU NA KANISA .ZE SREAD IZ KLOZED.!!!!!!!!!

Kilichotokea ni mlipuko wa gesi uliotokea kwenye mgahawa ulioko karibu sana na kanisa.

Hebu tufafanulieni wakuu. Kwa mujibu wa Farooq Karim, ulianza mlipuko huo wa mgahawani, JWTZ wakaitwa. Muda mfupi baadaye ukatokea mlipuko mwingine tena kwenye lango la kuingilia kwenye kanisa la Anglikana Mkunazini.

Hoja: hizo gesi zimelipuka kwenye majiko yapi? Kwa nini itokee simulateniously katika sehemu mbili tofauti? Iweje kuwe na magari yaliyoathirika katika parking ya kanisa (Farooq Karim) kufuatia mlipuko uliotokea mbali?

Bado sijapata jibu muafaka kwa kweli.
 
Hawa Wanahabari huwa wanapenda uchonganishi sana..

Haiwezekani habari uitoe bila kufanya utafiti..

Haraka ya nini??

bomu linahitaji kujua kama limelipuka.utakuwa umelewa viroba vingi tena mchana.
 
Nimeisikia live redioni sasa hivi Faruq Karim akiripoti kuwa imetokea milipuko kwanza hoteli ya Forodhani kisha muda mfupi tena kwenye lango la kanisa la anglikani mkunazini huko Zanzibar. Walioko huko watatujuza zaidi

Source: Radio one zilizotufikia

wahanga je? hali zao zikoje?
 

Attachments

  • 1464656_579845645441097_966811488_n.jpg
    1464656_579845645441097_966811488_n.jpg
    43.2 KB · Views: 177
Back
Top Bottom