Milipuko yatikisa Zanzibar

Milipuko yatikisa Zanzibar

Wakalipue na bunge la posho kisha magogoni tujue moja
 
CCM fanyeni mnavyofanya lakini mwisho wake mnaumbuka alafu mnaingia kizani na uchunguzi ,mnataka kusema muungano ukugawika Zanzibar watamalizana ,hatuwezi kumalizana kwani hivi sasa hakuna usalama wakati Ulinzi ni jambo la Muungano ,nani wa kulaumiwa ,kama wazenji wenyewe wangeshika Ulinzi wenyewe basi uhuni huu usingetokea.
Jamani hivi yule IGP wa zenj anateuliwa na nani..Au apelekwe mwingine kutoka bara kama Ambelike,Ruta,Komba au Mangi
 
Hata kama ni gesi,lakini hawa jamaa wamezidi bana.
 
Kumetokea Miripuko sehemu mbili tofauti hapa Zanzibar, sehemu moja ni katika Mercury Restaurant iliopo karibu na bandarini na mripuko mwengine ni karibu na Anglican church Zanzibar.
 
Hawa Wanahabari huwa wanapenda uchonganishi sana..

Haiwezekani habari uitoe bila kufanya utafiti..

Haraka ya nini??
 
Khee, kweli mmeamua kujitoa akili... Forodhani hotel nako mapadre wanagombea sadaka..


Sio wamejitoa Akili Bali hawana kabisa Maana walianza kusema tusubiri uchunguzi Mara wamekuja na hoja mapadre wamelipuana wenyewe huenda ndio report ya polisi inavyosema.
 
Imetokea, sio kwenye Hoteli ni mgahawa ( restuaurant) inaitwa Mercury Restaurant ipo karibu na lango la kuingia bandarini, ni mgahawa wa kitalii ( ni restaurant and bar), mripuko mwengine ni pembezoni kabisa mwa Anglican church.

Hili sio tatizo la kichama hata kidogo, ni tatizo la kidini na ubaguzi ulioka hapa Zanzibar, utalii unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa na unatoa ajira kwa wazanzibari, ila kuna wachache "wanafiki" wanawadanganya watu,kua utalii unaharibu dini fulani, na kwa kua wengi wa watalii hao ni watu wa imani tofauti na dini fulani, na ndio maana unaona wange wanaokua targeted ni watalii na watu wenye opposite faith na hao waripuaji.

Ni akili finyu na kupelekeshwa na watu wa mataifa ya kiarabu, dini haitaki hayo hata kidogo.
 
Mlipuko umetokea kwenye nchi ya kigeni iitwayo zanzibar! Jamani mlioko dodoma waambieni wanaojadili katiba tunataka serikali 3!
 
CCM imeshidwa kudhibiti udini visiwani Zanzibar - Wakristo wa huko mtakwisha!! rudini nyumbani.

Wacha ujinga ww Zanzibar hakuna udini.. waislam wameishi na wakristo kw miaka mingi sana bila ya kubughudhiwa.. lamcngi tafuteni chanzo cha hayo sio kupalilia chuki.. km hamuwezi kuishi Zanzibar ondokeni nyote musitafute sababu.. paka wee..!
 
Back
Top Bottom