Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,249
- 360
Tokea lini MWIZI akajiibia!!!!!!
Tell them
Tokea lini MWIZI akajiibia!!!!!!
hapana kaka ccm habar zao hizo.
Jamani tuwaachie zanzibar yao hawa watu, watamaliza ndugu zetu maana kwa hali hii ni kweli wamrdhamilia.
We upo sawa?kuna baadhi ya binadamu ni vichaaa kabisa
ni mtu mwenye asili ya Kisiwa cha Unguja na/au Pemba.mzanzibari ni mtu wa aina gan?
itakuwa ni mazoezi ya kijeshi tu, mbona mimi naangalia TBC1 sasa hivi sijaona breaking news na TBC1 ndiyo tv ya umma, lazima kwa jambo kama hili wasingeachia vyombo vingine pekee ndiyo vitoe habari. ikiwa hivyo nitaamini kweli TBC1 sio ya umma.
Kwa hiyo Chadema mnaomba Zanzibar ife?NATABIRI
"ZANZIBAR itakufa kabla ya CHADEMA na itapotea kwenye ramani ya dunia haraka kama kifo cha MACCM"
mwenye maskio na aliskie neno hili,
Wacha ujinga ww Zanzibar hakuna udini.. waislam wameishi na wakristo kw miaka mingi sana bila ya kubughudhiwa.. lamcngi tafuteni chanzo cha hayo sio kupalilia chuki.. km hamuwezi kuishi Zanzibar ondokeni nyote musitafute sababu.. paka wee..!
Kwa hiyo Chadema mnaomba Zanzibar ife?
wahanga je? hali zao zikoje?
ukivunjika east Tanganyika nao watadai autonomy.Muungano hapo haujavunjika, ukivunjika majanga.
We si ndo ulisema mapadre wanagombea sadaka...???!!! Na ndo wakaamua kulipuana...??!! We si ndo ulisema wanadaiana..??!! Na sasa unaandika gesi imelipuka.... Jitakari kisha jiweke kwenye kundi unalostahilimkuu, NI GESI IMELIPUKA KWA BAHATI MBAYA KARIBU NA KANISA, HAKUNA MTU YOYOTE ALIEJERUHIWA, ACHENI KUPOTOSHA WATU