Milipuko yatikisa Zanzibar

Milipuko yatikisa Zanzibar

Kumbe ni shoti ya umeme hizi habar andikeni vizur musilete uchochezi na hakuna majeruh
 
Ni kweli, tulioko maeneo ya mjini tumeisikia hiyo milipuko
 
mkuu, forodhani hotel walikuwa wanadaiana wakalipuana
Una data ya hayo unayoyasema..??? Au unaongozwa na hisia... Kama huna data usiseme usichokuwa na uhakika nacho bana...
1. Nani alikuwa anamdai nani..??
2. Wanadaiana nini..???
3. Wanadaiana tangu lini...???
4. Hapo forodhani mapadre wanahusikaje..??
5. Wakishalipua, madai yanaisha..??

Jibu hayo
 
Kilichotokea ni mlipuko wa gesi uliotokea kwenye mgahawa ulioko karibu sana na kanisa.
 
tunaitaji majibu IGP MWEMA na waziri wa mambo ya ndani ya nchi CHIKAWE,
Waziri kivuli tunataka ili jambo ulivalie njuga sana tupate majibu na hadidu a rejea ziwepo.kuna matukio mengi sana yametokea zanzibar hakuna majibu

Mwema ni igp wa wapi
 
hizo ni mbinu chafu
hazina uhusiano na dini
vibomu vilishawahi kutokea zanzibar na kusingiziwa cuf, lakini baadae ikaja julikana ni maskani askari wastaafu
sasa tuna mchakato wa katikaba..ccm wazi wameonyesha kupinga ,mawazo mapya katika rasimu hasa kuhusu muungano
hivyo hiii ni wazi ni mbinu yao...
uwezekano ni kubwa wa wao kufanya kwani Pinda jana kasema serikali mbili lazima...
na kule zanzibar Shein nae alisema serikali mbili lazima
huku rasimu iliyopo mezani inasema ni tatu
kuna mengi yata tokea na tutayaona kwani ni desturi ya wahafidhina dunia nzima kukataa mabadiliko..watatumia kila mbinu ikiwa na hizi za vibomu ili kuweka hali ya wasi wasi na katiba isipite kama ili vopendekezwa
 
Pasipo maombi hakuna Taiga litakalopona!!unabii unatimia huu ni utungu tu wapendwa.tukae tayari ki iman hay a yite yamenenwa ktj biblia ni lazma yatokee
 
Sera mbaya za ccm. wameuza viwanda vijana hawana kazi ndio maana wanarubuniwa na washenzi al kaeda kirahisi
Acha kuleta siasa hata pasipo takiwa.Bavicha ni janga la taifa.
 
wakuu, TAARIFA IMETOLEWA HAKUNA MLIPUKO WOWOTE WA MABOMU ULIOTOKEA, KILICHOTOKEA NI MLIPUKO WA GESI KARIBU NA KANISA .ZE SREAD IZ KLOZED.!!!!!!!!!
 
wakuu, TAARIFA IMETOLEWA HAKUNA MLIPUKO WOWOTE WA MABOMU ULIOTOKEA, KILICHOTOKEA NI MLIPUKO WA GESI KARIBU NA KANISA .ZE SREAD IZ KLOZED.!!!!!!!!!
Ni wapi wameandika kuna mlipuko wa bomu?
 
CCM fanyeni mnavyofanya lakini mwisho wake mnaumbuka alafu mnaingia kizani na uchunguzi ,mnataka kusema muungano ukugawika Zanzibar watamalizana ,hatuwezi kumalizana kwani hivi sasa hakuna usalama wakati Ulinzi ni jambo la Muungano ,nani wa kulaumiwa ,kama wazenji wenyewe wangeshika Ulinzi wenyewe basi uhuni huu usingetokea.
 
Back
Top Bottom