Milipuko yatikisa Zanzibar

Milipuko yatikisa Zanzibar

Wakiwanaliza waKri watawageuki wanguj halafu waSuna halafu watatowea wangazije na kushushia n...
 
Na ndio maana anti - Zanzibar wanafanya hivi ili kuitia doa Zanzibar na watu wake kwa mwamvuli wa uislamu. Tangu Wazanzibar waamke na kudai zanzibar yao ndipo matokeo haya yanafanyika na utaona media za upande wa pili wa muungano ukizidisha chumvi katika matokeo yanayotokea zanzibar kana kwamba Tanganyika watu hawamwagiwi tindikali, kupigwa risasi, milipuko ya mabomu na kadhalika.

Ukisikiliza hotuba za baadhi ya watu wakati wa mikutano ya Uamsho pale Z'bar (moja imewekwa hapa hivi karibuni) unapata jibu hasa ni nini issue hapa. Maana jamaa wanavisingizio kibao kwa matatizo yao. Ni vizuri ukaisikiliza halafu utapata jibu
 
Milipuko hii kama kweli ni mabomu basi wenye makosa ni serikali kutokuwa makini na matatizo hayo toka mwanzo.Sijaona kilichofanyika ili kuwapata wahalifu,na sijui wanaona furaha gani watanzania wakirumbana kwa mihemuko ya udini wakati huo ni uhalifu na auhusiani na dini yoyote.Sipendi na sitaki kuaminishwa kwamba ni usilamu bali huyo aliyeweka mabomu hayo ni mhalifu tu na wala si kuweka dini mahali penye uhalifu ambao unaweza kutolewa majibu sahihi na wakosaji wakaadhibiwa.Rai yangu kwa Wanzanzibar bila kujali dini zao inabidi wafanye doria wenyewe ili kuwakamata wahalifu hawa.Kwa kweli wanaudhi.

mjadala wa Posho ndo unahamishwa huo,,,,uleeeee.......
 
Imetokea, sio kwenye Hoteli ni mgahawa ( restuaurant) inaitwa Mercury Restaurant ipo karibu na lango la kuingia bandarini, ni mgahawa wa kitalii ( ni restaurant and bar), mripuko mwengine ni pembezoni kabisa mwa Anglican church.

Hili sio tatizo la kichama hata kidogo, ni tatizo la kidini na ubaguzi ulioka hapa Zanzibar, utalii unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa na unatoa ajira kwa wazanzibari, ila kuna wachache "wanafiki" wanawadanganya watu,kua utalii unaharibu dini fulani, na kwa kua wengi wa watalii hao ni watu wa imani tofauti na dini fulani, na ndio maana unaona wange wanaokua targeted ni watalii na watu wenye opposite faith na hao waripuaji.

Ni akili finyu na kupelekeshwa na watu wa mataifa ya kiarabu, dini haitaki hayo hata kidogo.

ila ni akili nzuri kupelekeshwa na watu wa mataifa ya kizungu? itakuwa mfuasi wa d camerun
 
...mkuu' ni wahuni tu, kama wale walio haribu, kuvunja na kuchoma Makanisa mbalimbali hapa Tanzania (hasa kama wale wa Mbagala, baada ya kukojolewa kitabu)

mbona olasit arusha mnapotezea au kwavile mlifanya wenyewe?
 
Nimeisikia live redioni sasa hivi Faruq Karim akiripoti kuwa imetokea milipuko kwanza hoteli ya Forodhani kisha muda mfupi tena kwenye lango la kanisa la anglikani mkunazini huko Zanzibar. Walioko huko watatujuza zaidi

Source: Radio one zilizotufikia

====

Hakuna Majeruhi

tekbirrrrrrr
 
siyo matukio ya kufumbia macho hata kidogo!

wapo mataahira yanayowaza kufanikisha mawazo mgando yao ni kwa kupitia vurugu za kulipua mabomu na kuharibu mali.syria walianza na uzezeta huo huo leo kila mtu anaomboleza.acheni ujinga hamtafanikiwa leo hata kesho ...hamtaki muungano semeni,hamtaki wabara semeni,hamtaki ukristo wekeni mambo hadharani,na kama siasa za upinzani humo kanisani waumini ni mashabiki wa pande tofauti.
 
Watu wanataka kujitenga na wameonyesha dhahir kutuchukia, sasa sijui tunawang'ang'ania wa nini?

Yan mimi nashangaa sana watu wenyewe hawatusaidii kitu chochote zaidi ya kututia hasara tu.hawalimi, hakuna madini watu wake wwavivu yan hadi nyanya inatoka huku bara hawana maendeleo yoyote..tunawang'ang'ania wanini?? Tuwatupilie mbali huko ona sasa wanahifadhi magaidi kila siku matukio sijui wanataka nini!tena waondoke hapo ilala na kariakoo walipojazana tumewachoka kabisa
 
mtakomaa kifikra lini?mna hamu ya mapambano nendeni mkajifunze na kuona yanayowasibu wasirya,na wasudani-kule dafur
 
Swadakta ammi umenena maneno mazito sana


Nafikiri wengi wanapayuka bila kujua nini wanachonena bali wanasukumwa na fikra za udini na chuki dhidi ya Znz na waZnz.


Nafikiri wangekuwa makini wangejiuliza walikuja CIA kuchunguza kupigwa risasi na kuuwawa kwa Padre huko Znz, Wajiulize JE RIPOTI IPO WAPI MPAKA LEO? MBONA HAIWEKWI HADHWARANI WATU WAJUE.

Siku zote ASIYEJUA AENDAKO HAWEZI POTEA NJIA.

Tuwape pole majirani.

Hoja zako ni za kiCCM kukwepa ukweli na kutaka kuonyesha mambo ni sawa. Leo wanalipua Zanzibar lakini baada ya miaka michache watalipua majengo marefu hapa Dsm kama tutaendeleza sera hii iliyopitwa na wakati kuitawala Zanzibar.
 
Naona watu wanaongea kwa hisia kalii sn za udini kabla hata kujua what happened. Imesikika milio ya bom, jee kuna sehem yoyote imeripuliwa? Au hayo mabom yamekutwa kweli maeneo yanayosemwa? Hakuna lolote, naona watu wana hamu tu ya magaidi na mapigano ya udini Tz. Lkn in sha Allah Mungu atatuepushia mbali na.hayo
 
ni ukosefu wa akili..wapewe masaa 24 waondoke bara

tuache kuwabembeleza na kuwade
keza
 
Back
Top Bottom