Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Anti Athumani, Anti Bilal, Anti Suzy (Ibrahim Mohamed) wote hawa wanatoka Ulaya na Amerika!Ndio mana nchi za Ulaya na Amerika,zikapigania sana ushoga na kusema ni haki za kibinadamu kuwa shoga.
Anti Athumani, Anti Bilal, Anti Suzy (Ibrahim Mohamed) wote hawa wanatoka Ulaya na Amerika!Ndio mana nchi za Ulaya na Amerika,zikapigania sana ushoga na kusema ni haki za kibinadamu kuwa shoga.
Hama hata sasa hakuna anaekuhtaji,tuachie kiti moto chetu...
Zenji ndio soko kubwa la mkuu wa meza mkubwa.
Teh teh teh!
Naomba kuuliza,hv kwa nini biashara kubwa ya mashoga ipo nchi za kiarabu!!!?
Hata hapa afrika mashariki eti zanzibar,mombasa na Tanga ndo wanaongoza biashara hiyo!Na nafikiri unatambua dini gani imetamalaki huko.
Nasubiri jibu tafadhali!
Uislamu unaruhusu dhambi zoote ispokua kula nguruwe. na hii ya milio ya simu itakua namba mbili.
Nilipoibiwa siri kua uislam ulianzishwa na CIA sina ham tena. Na kwamba ni moja kati ya nyezo za marekani kutekelezea new world order. Sina ham na uislam.
uislam umesimama kwenye haki,sisi tunafata haki kwa yeyote bila kujali rangi yake wala dini yake ,mungu ametuumba mataifa mbalimbali ili tufahamiane,mbora wetu ni mwenye kumuogopa mungu zaidi.
duh wewe ndio kilaza aisee kila unachoambiwa vijiweni nawe unafuata, fanya reseach kuhusu age ya uislam na hyo CIA ujue kipi kimetangulia
Waziri wa Fedha wa Norway ni shoga.Gene Robinson ambaye ni shoga na sasa ni askofu wa kanisa la kianglikana(Episcopal Church) huko marekani.Norway imepitisha sheria ya kuoana mwanamme kwa mwanamme. Kuna wachungaji mashoga,state church wachungaji wake wote mashoga.Anti Athumani, Anti Bilal, Anti Suzy (Ibrahim Mohamed) wote hawa wanatoka Ulaya na Amerika!
Anti Athumani, Anti Bilal, Anti Suzy (Ibrahim Mohamed) wote hawa wanatoka Ulaya na Amerika!Waziri wa Fedha wa Norway ni shoga.Gene Robinson ambaye ni shoga na sasa ni askofu wa kanisa la kianglikana(Episcopal Church) huko marekani.Norway imepitisha sheria ya kuoana mwanamme kwa mwanamme. Kuna wachungaji mashoga,state church wachungaji wake wote mashoga.
Hivi sasa ni vigumu ulaya na Amerika kuongea dhidi ya mashoga,ukifanya hivyo wawekwa kwenye fungu la maracist,nazists.
Marekani halindi uislam,analinda utawala wa nchi ya Saudi Arabia.Kabla ya huu utawala unaotawala Saudia,kulikiwa na Utawala uliopinduliwa na watawala hawa wa sasa hivi.Kwa hiyo utawala uliopo unajihamu usije ukapinduliwa nao.Nilijua tu vilaza kama wewe watakimbilia idadi ya miaka. CIA imeanza karne 20,uislam umeanza karne 7. Jiulize kwa nini CIA ndio wanaoilinda meka na medina,marekani na uadui wake wote kwa waislam bado apewe kazi ya kuwalinda?
Marekani mashariki ya kati analinda maslahi yake,ikiwemo uislam na mafuta. Adui wa marekani ni adui wa uislam.kumpinga marekani ni kupinga ustawi wa uislam.
Milio ya kuruwan ndo nini wakuu
Hii dini ni noma. Terms and conditions kibao.
NA ILE inayosema ili upate uzima wa milele lzm unywe divai, na kama wewe ni unaathirika na hio divai uzima unapita kushoto! we huupati ng'oo!
mi mwenyewe napiga hesabu za kuhamia huko kwenye mapilau na biriani! vitimoto vinanidhuru mno.
Mashoga wengi wako nchi za Ulaya na Amerika,mpka viongozi wakubwa wa serekali za ulaya na Amerika ni mashoga.Na wapo maaskofu na wachungaji mashoga wengi sana.Teh teh teh!
Naomba kuuliza,hv kwa nini biashara kubwa ya mashoga ipo nchi za kiarabu!!!?
Hata hapa afrika mashariki eti zanzibar,mombasa na Tanga ndo wanaongoza biashara hiyo!Na nafikiri unatambua dini gani imetamalaki huko.
Nasubiri jibu tafadhali!