Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

Status
Not open for further replies.
Ni aya gani katika quaran inazungumziaa hivoo mie ndo maana nilishawaii kusemaga ukiwasikiliza sana warabu na ukiendekeza dinii sana mwisho wa siku utakufa masikini...kuna wazee ...enzi za tanganyika waliamini kumpeleka mtoto wa kiisilamu kwenda ..kusoma shule za wamissionary ni sawa kwenda kujifunza ukafiliii..na. Ukristo na badale yake waliamini mtoto akisoma madrasa. Ndo njia pekee ..sasa baada ya miaka 30...mbelee baada ya kuona wale waisilamu waliokuwa wanasoma zilee shule huku mbeleni ndo wanashikilia nafasi kubwa serikali maofisini na wana maisha mazuli....hapoo ndipo wanajuaa umuhimu wa elimu.....kwa kweli ndugu zangu ...waisilamu tuwe makini na hizi propaganda za mashehe uchwalaa

Wewe hujui kitu kuhusu uislamu eti usije ukafa maskini hao waliokufa matajiri walizikwa na hayo magari/nyumba zao.
Sisi tufe hali yakuwa ni waislamu wewe unatuletea story za ajabu.
 
karibu katika familia ili upate uzima wa milele
NA ILE inayosema
ili upate uzima wa milele lzm unywe divai, na kama wewe ni unaathirika
na hio divai uzima unapita kushoto! we huupati ng'oo!

mi mwenyewe napiga hesabu za kuhamia huko kwenye mapilau na biriani!
vitimoto vinanidhuru mno.
 
Si kila sehemu inasomwa au kusikilizwa Quran! Mfano! Chooni! Sasa unapoweka mlio wa simu wa Quran ikatokea umeenda na simu chooni alafu ikaanza kuita! Hapo Ndiyo tatizo linaanza!
 
Mashehe wametoa tamko kuwa milion ya kuruwani (ring tone) ya kwenye sim ni Haram. Wale wote ambao wameweka kama milio ya kuita au Kupokelea waitoe haraka kwasababu milio hiyo inatakiwa kusikika sehem husika tu na sio kwenye sim. Ilishaharamishwa na mufti wa Saudia toka mwaka 2008 ina wanashangaa watu wamekuwa viburi.

Kuruwani ndio nini?
 
Si kila sehemu inasomwa au kusikilizwa Quran! Mfano! Chooni! Sasa unapoweka mlio wa simu wa Quran ikatokea umeenda na simu chooni alafu ikaanza kuita! Hapo Ndiyo tatizo linaanza!

Dah hii kali, sasa ndio Inakuaje hapo mkuu, dhambi au?
 
Ni aya gani katika quaran inazungumziaa hivoo mie ndo maana nilishawaii kusemaga ukiwasikiliza sana warabu na ukiendekeza dinii sana mwisho wa siku utakufa masikini...kuna wazee ...enzi za tanganyika waliamini kumpeleka mtoto wa kiisilamu kwenda ..kusoma shule za wamissionary ni sawa kwenda kujifunza ukafiliii..na. Ukristo na badale yake waliamini mtoto akisoma madrasa. Ndo njia pekee ..sasa baada ya miaka 30...mbelee baada ya kuona wale waisilamu waliokuwa wanasoma zilee shule huku mbeleni ndo wanashikilia nafasi kubwa serikali maofisini na wana maisha mazuli....hapoo ndipo wanajuaa umuhimu wa elimu.....kwa kweli ndugu zangu ...waisilamu tuwe makini na hizi propaganda za mashehe uchwalaa

Mkuu umenena ukweli, kuna article nilisoma, inaongelea enzi za ukoloni jinsi wazee wa kiislam walivyokataza watoto wao kwenda shule za mission. Lakini leo wameonekana wako nyuma kielimu sasa wamesema mfumo christo ndio unawaferisha. Sasa hivi boko haram wanazuia watoto kwenda shule, baadae watasema mfumo christu. Huwa najiuliza, Mombasa elimu chini, Nigeria kaskazini elimu chini, watu utasikia wanakwenda China, Korea, Japan, India, Ulaya na USA kutafuta elimu. Lakni ni wachache utasikia wanataja nchi za kiarabu. Wakati mwarabu ana sponsor makundi ya Ugaidi ikiwemo boko haram, Al shabab, Al queda nk. Wa Asia wenzake kama Japan, China, Korea, India nk wamekuwa waki sponsor tafiti za kisayansi na elimu kwa ujumla. Baadae utasikia eti Nyerere kawarudisha nyuma ingawa alitaifisha shule za makanisa, utashangaa wanamsifu shekhe Ilunga, Ponda na wengine badala ya kumsifu Nyerere alietaifisha shule za kanisa ili na wao wasome
 
Ni aya gani katika quaran inazungumziaa hivoo mie ndo maana nilishawaii kusemaga ukiwasikiliza sana warabu na ukiendekeza dinii sana mwisho wa siku utakufa masikini...kuna wazee ...enzi za tanganyika waliamini kumpeleka mtoto wa kiisilamu kwenda ..kusoma shule za wamissionary ni sawa kwenda kujifunza ukafiliii..na. Ukristo na badale yake waliamini mtoto akisoma madrasa. Ndo njia pekee ..sasa baada ya miaka 30...mbelee baada ya kuona wale waisilamu waliokuwa wanasoma zilee shule huku mbeleni ndo wanashikilia nafasi kubwa serikali maofisini na wana maisha mazuli....hapoo ndipo wanajuaa umuhimu wa elimu.....kwa kweli ndugu zangu ...waisilamu tuwe makini na hizi propaganda za mashehe uchwalaa

Hapo red naomba kukuuliza hivi kwani nchi za waarabu na nchi kama tanzania, uganda, kenya, ethiopia na nyingine unazozifahamu wewe ambazo si za waarabu zipi ni maskini?. Naomba jibu tafadhali..................
 
si kila sehemu inasomwa au kusikilizwa quran! Mfano! Chooni! Sasa unapoweka mlio wa simu wa quran ikatokea umeenda na simu chooni alafu ikaanza kuita! Hapo ndiyo tatizo linaanza!

ndugu vp kuhusu hii
 

Attachments

  • Boko_Haram_Bingo.jpg
    Boko_Haram_Bingo.jpg
    21 KB · Views: 218
Mambo haya yahusuyo imani tuwaachie waamini wa imani husika itasaidia mno
 
Hapo red naomba kukuuliza hivi kwani nchi za waarabu na nchi kama tanzania, uganda, kenya, ethiopia na nyingine unazozifahamu wewe ambazo si za waarabu zipi ni maskini?. Naomba jibu tafadhali..................

Usilinganishe mwarabu na Waganda, Kenya nk. Mlinganishe na Wa ASIA wenzake akina China, India, Korea na Japan. Kwa taarifa yako ingawa sisi tumepitia utumwa na ukoloni lakini soon tutawapita waarab. Waarab wamekalia kusaidia makundi ya ugaidi badala ya kuwekeza kwenye elimu. Hizo nchi za kiafrika ulizotaja zimepitia utumwa na ukoloni, ni kosa kulinganisha na mwarabu
 
Mashehe wametoa tamko kuwa milion ya kuruwani (ring tone) ya kwenye sim ni Haram. Wale wote ambao wameweka kama milio ya kuita au Kupokelea waitoe haraka kwasababu milio hiyo inatakiwa kusikika sehem husika tu na sio kwenye sim. Ilishaharamishwa na mufti wa Saudia toka mwaka 2008 ina wanashangaa watu wamekuwa viburi.
Mwisho wake waislamu watawekeka milio kama hii kwenye simu
Mskitini.jpg
 
Ni Aya ipi inayokataza ringtone?Je vipi wasio "wa allah" wakawa wameweka?

Haramisheni matumizi ya simu kwa waumin wenu.kwani anaweza asiwe na hizo tones na akawa na picha za mambo yetu yale.

Hakuna asiye wa Allah duniani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom