Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

Status
Not open for further replies.
`na ni marufuku kujamba ukiwa umevaa kanzu!!!!!
 
Uislamu unaruhusu dhambi zoote ispokua kula nguruwe. na hii ya milio ya simu itakua namba mbili.
 
Ndiyo maana hata guest house haziweki vitabu vya quran bali zinaweka biblia kwani waweza zini na biblia pembeni
 
Ni Aya ipi inayokataza ringtone?Je vipi wasio "wa allah" wakawa wameweka?

Haramisheni matumizi ya simu kwa waumin wenu.kwani anaweza asiwe na hizo tones na akawa na picha za mambo yetu yale.

lengo la quran sio kuweka ringtone,ule ni muongozo kwa wamchao mola wao,moja ya taratibu zake ikisomwa watu inabidi wawe kimya ili wapate ukumbusho,quran hutakiwi kuisoma chooni,simu ukienda nayo huko afu ikiita?quran hata unapokuwa msikitini hutakiwi kuisoma kwa sauti ya juu(kuna hekima yake hapa) vipi kwenye dala dala huyu anaimba huyu anatukana?yale ni maneno ya Allah subhana wala si kauli za shetani aliyetengwa.mim hata wale wanaoweka quran kwa sauti ya juu kwenye mikusanyiko wananikera sana.
 
Mufti wa saudia ni mufti wa dunia?

uislam umesimama kwenye haki,sisi tunafata haki kwa yeyote bila kujali rangi yake wala dini yake ,mungu ametuumba mataifa mbalimbali ili tufahamiane,mbora wetu ni mwenye kumuogopa mungu zaidi.
 
Ndiyo maana hata guest house haziweki vitabu vya quran bali zinaweka biblia kwani waweza zini na biblia pembeni

Guest houses ni nyumba za kulala sio za kufanyia uzinzi. So suala la uzinzi na uwepo wa biblia havina uhusiano hapa sana sana biblia inaonya watu kuacha uzinzi. So comment yako haina mantiki
 
Ni aya gani katika quaran inazungumziaa hivoo mie ndo maana nilishawaii kusemaga ukiwasikiliza sana warabu na ukiendekeza dinii sana mwisho wa siku utakufa masikini...kuna wazee ...enzi za tanganyika waliamini kumpeleka mtoto wa kiisilamu kwenda ..kusoma shule za wamissionary ni sawa kwenda kujifunza ukafiliii..na. Ukristo na badale yake waliamini mtoto akisoma madrasa. Ndo njia pekee ..sasa baada ya miaka 30...mbelee baada ya kuona wale waisilamu waliokuwa wanasoma zilee shule huku mbeleni ndo wanashikilia nafasi kubwa serikali maofisini na wana maisha mazuli....hapoo ndipo wanajuaa umuhimu wa elimu.....kwa kweli ndugu zangu ...waisilamu tuwe makini na hizi propaganda za mashehe uchwalaa

wewe ni miongoni mwa vilaza katika dini yako,sio kila jambo la kupinga tu,uislamu ni dini ya hoja,kamati ya fatwa imetoa hoja juu ya uharamu wa kufanya ivyo kama wew unakataa lete hoja zako sio kuleta blah blah,wew na wale wanaosema kuna elimu akhera na dunia mna tofauti gani?mi nakerwa sana na hawa vijana wasiojua hata kuoga janaba.
 
wewe ni miongoni mwa vilaza katika dini yako,sio kila jambo la kupinga tu,uislamu ni dini ya hoja,kamati ya fatwa imetoa hoja juu ya uharamu wa kufanya ivyo kama wew unakataa lete hoja zako sio kuleta blah blah,wew na wale wanaosema kuna elimu akhera na dunia mna tofauti gani?mi nakerwa sana na hawa vijana wasiojua hata kuoga janaba.

Nilipoibiwa siri kua uislam ulianzishwa na CIA sina ham tena. Na kwamba ni moja kati ya nyezo za marekani kutekelezea new world order. Sina ham na uislam.
 
Ni aya gani katika quaran inazungumziaa hivoo mie ndo maana nilishawaii kusemaga ukiwasikiliza sana warabu na ukiendekeza dinii sana mwisho wa siku utakufa masikini...kuna wazee ...enzi za tanganyika waliamini kumpeleka mtoto wa kiisilamu kwenda ..kusoma shule za wamissionary ni sawa kwenda kujifunza ukafiliii..na. Ukristo na badale yake waliamini mtoto akisoma madrasa. Ndo njia pekee ..sasa baada ya miaka 30...mbelee baada ya kuona wale waisilamu waliokuwa wanasoma zilee shule huku mbeleni ndo wanashikilia nafasi kubwa serikali maofisini na wana maisha mazuli....hapoo ndipo wanajuaa umuhimu wa elimu.....kwa kweli ndugu zangu ...waisilamu tuwe makini na hizi propaganda za mashehe uchwalaa

Mkuu usiropoke ukajua makafir utawafurahisha.so kasome tena history
 
Nilipoibiwa siri kua uislam ulianzishwa na CIA sina ham tena. Na kwamba ni moja kati ya nyezo za marekani kutekelezea new world order. Sina ham na uislam.

nawapa pole sana walio chini yako kwa kuwa na kiongozi kama wew story taker,abul jahal.kama huwezi kufungua akili yako fumbua hata macho uone ukweli.
 
UKISTAAJABU YA MUSA......HUJAYAONA YA ALSHABAAB..
Walikataza wananchi kuangalia tv regardless(
[h=1]Somalia: Al-Shabaab jihadists forbid residents from following bin Laden coverage, lob hand grenades into homes of those who disobey)[/h]2.Walikataza wananchi kushiriki michezo ya aina yoyote(sports)
[h=3]SomaliaReport: Al-Shabaab Issues Blanket Football Ban[/h]3.walikataza wanachi kula sambusa..
[h=3]Islamist group in Somalia bans samosas after deciding they
[/h]
4.And the list goes on..
[h=3]Somalia's al-Shabaab Forbids Aid Organizations[/h]ALL UNDER THE EXCUSE OF RELIGION...
 
nawapa pole sana walio chini yako kwa kuwa na kiongozi kama wew story taker,abul jahal.kama huwezi kufungua akili yako fumbua hata macho uone ukweli.

Awali nilibisha kama wewe,nikaambiwa,jiulize,marekani kwa ubabe wake wote kwa nchi za kiislam,kuua waislam wakati mwingine bila sababu, je angeweza kupewa kazi ya ulinzi ailinde meka na medina,nikasema hapana. Nikaambiwa sasa jiulize kwa nini alipewa alinde mahali patakatifu wakati yeye anawauwa waumini wa mahali hapo. CIA na uislam wanajuana. Marekani na uislam wanajuana.

Wanaoipinga marekani wanapinga uislam,maadui wa marekani ni maadui wa uislam. Trust me! Tumia tu akili ndogo,marekani aue waislam kisha apewe kazi ya kulinda waislam na mahali pao patakatifu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom