UFM Radio🏃🏃🏃

Karibuni tusikilize UFM Michezo Saa 10 mpaka Saa 1.

Then tukitoka huko tunajazia Madini ktk Mechi za NBC kesho

Tutajua Injuries zipoje,nani yupo nani hayupo,Team Gani haijafika mkoa husika kwa Usafiri wa Ardhi,unajua kabisa fatigue itawacost,nani ana cards Tatu za Njano na mengine Mengi

Kisha tukitoka huko tunakuja kugaragazana Na Kanji fastaa
 
UFM Radio🏃🏃🏃

Karibuni tusikilize UFM Michezo Saa 10 mpaka Saa 1.

Then tukitoka huko tunajazia Madini ktk Mechi za NBC kesho

Tutajua Injuries zipoje,nani yupo nani hayupo,Team Gani haijafika mkoa husika kwa Usafiri wa Ardhi,unajua kabisa fatigue itawacost,nani ana cards Tatu za Njano na mengine Mengi

Kisha tukitoka huko tunakuja kugaragazana Na Kanji fastaa
✔️
 
PESA BUREEE🏃🏃🏃🏃🏃TIGO haoo

Wadau eeee wahini hukim Fastaaa
Tigo wamevunja Bank

GB 1 na Tsh:5,000 bureeeee

Mie nyumba nzima nimewadonwloadia🤣🤣🤣
Screenshot_20240524-202536.png
 
Bado Mechi za Simba na YOUNG AFRICANS NBC hawajaziweka shenz hawa

Kuna mkeka nimeuset wa kuanzia Saa Saba mpaka jnne,hawa tu ndio wanauweka

Ikifika sita naupaisha
 
Habari
Hii ni maalumu kwa watu wa betting. Watu wengi wanaojiingiza kwenye betting wameshindwa kutengeneza pesa kwasababu ya tamaa ya kuona pesa nyingi zinazowekwa na mashirika ya betting. Leo jifunze hapa namna ya ku cash out muda mfupi baada ya kuweka odds zako. Lakini pia, yaelewe mashirika yanayoruhusu ku cash out maana watu wengine wanajiunga tu wala hawajui elimu hii .
Mfano mzuri, sportpesa bet hawana option ya ku cash out, ila betpower wanayo.
Karibuni wadau mlio na uzoefu wa betting ili wapenda betting waweze kutengeneza pesa nzuri.
haswa kupitia cashing out kabla ya mechi au mkeka kuharibika, muhimu nikuacha tamaa, unaweza ukawa una cash out hata Kila ifikapo tsh 5000 tu.
 
Bado Mechi za Simba na YOUNG AFRICANS NBC hawajaziweka shenz hawa

Kuna mkeka nimeuset wa kuanzia Saa Saba mpaka jnne,hawa tu ndio wanauweka

Ikifika sita naupaisha
Hapo ukiandika hivi wasomaji wanakua washajua unazungumzia kampuni gani?

Manake Sportpesa wanazo hizi gemu toka juzi, Mbet wameweka usiku.
 
Hapo ukiandika hivi wasomaji wanakua washajua unazungumzia kampuni gani?

Manake Sportpesa wanazo hizi gemu toka juzi, Mbet wameweka usiku.
Aiseee Kweli,yaani kuna kampuni hizi Sportbety,Betika,Betpawa,kidogo parimatch yaani NBC league matches huwa zinachelewa mpaka siku ya Matches ila utakuta league ya Kenya siku Tatu kabla matches zipo,sijui ni mission planned.


Sportpesa wapo Fastaaa,zipo Tangu Jana, tatizo options

Sasa ngoja niset Pilot slip then ni edit short bet slips then narudi na mikeka 8 yenye options tofauti,Ngum Hardcores na Softcore
 
BETIKA BETIKA BETIKA 👏👏👏👏

Mechi zoote za NBC tayari zipo
Simba, Young Africans na wengine woote
Ila match ya Simba inamtego😂😂😂

SPORTBETY leo mnisamehe, options zote Sawa tu, tofauti ni Cashing out tu
 
Habari
Hii ni maalumu kwa watu wa betting. Watu wengi wanaojiingiza kwenye betting wameshindwa kutengeneza pesa kwasababu ya tamaa ya kuona pesa nyingi zinazowekwa na mashirika ya betting. Leo jifunze hapa namna ya ku cash out muda mfupi baada ya kuweka odds zako. Lakini pia, yaelewe mashirika yanayoruhusu ku cash out maana watu wengine wanajiunga tu wala hawajui elimu hii .
Mfano mzuri, sportpesa bet hawana option ya ku cash out, ila betpower wanayo.
Karibuni wadau mlio na uzoefu wa betting ili wapenda betting waweze kutengeneza pesa nzuri.
haswa kupitia cashing out kabla ya mechi au mkeka kuharibika, muhimu nikuacha tamaa, unaweza ukawa una cash out hata Kila ifikapo tsh 5000 tu.
Ukisha cash out unaanza kuombea mkeka uchanike!!
Uki tick roho inauma kweli!!
 
Back
Top Bottom