Hapana ni kwel betpowee ni lazma ushindi wa match zako ufuatano nishawah kusikia hii kitu sio Kwa huyu tu, yaan match ya kwanza ikitiki , inayofuata ikikosa bac ushachana inabidi kma kuchana ichane ya mwisho na sio katikati
9370ebb8-557c-44be-9bf0-a450d01ca99e.jpeg
1e5e4df5-b1f4-4c51-a66d-5861076cb936.jpeg

we bonyeza bonyeza ila ukidondokea katika hizo namba basi mambo yanakuwa matam kwako
 
Nimepokea kaposho pahala nikasema nideposit 1xbet.
Pesa imekatwa MPESA, status ya 1xbet inaonesha nimedeposit lakini salio halijaongezeka.

Nawasiliana na 1xbet wanasema niwatumie email, naona usenge.
Baada ya muda msg ya 1xbet inaonesha muamala umekuwa cancelled na operator, but huku MPESA patupu. Najaribu kuwasiliana na MPESA wanasema muamala ulikamilika kami (wananipa na ref no)

MREJESHO
Niliwasiliana kwa email na 1xbet nikiambatanisha screenshot inayonesha;
1. Transaction history yenye muamala tajwa (nilizungushia)
2. Salio la akaunti ambalo halijaongezeka.

Kisha nikawapigia DUKA DIRECT, baada ya kuwatajia muamala wakaniambia ulikamilika na wakanitumia uthibitisho na wakasema niwasiliane na wallettec.

Nikawatumia email wallettec email niliyowatumia 1xbet, nikaongezea maelezo kwamba nimewasiliana na SELCOM DUKA DIRECT wamesema tatizo lipo kwenu, nikawapa ushahidi wa muamala wa DUKA DIRECT kukamilika.

Sasa hivi nacheki nakuta salio limejaa
 
MREJESHO
Niliwasiliana kwa email na 1xbet nikiambatanisha screenshot inayonesha;
1. Transaction history yenye muamala tajwa (nilizungushia)
2. Salio la akaunti ambalo halijaongezeka.

Kisha nikawapigia DUKA DIRECT, baada ya kuwatajia muamala wakaniambia ulikamilika na wakanitumia uthibitisho na wakasema niwasiliane na wallettec.

Nikawatumia email wallettec email niliyowatumia 1xbet, nikaongezea maelezo kwamba nimewasiliana na SELCOM DUKA DIRECT wamesema tatizo lipo kwenu, nikawapa ushahidi wa muamala wa DUKA DIRECT kukamilika.

Sasa hivi nacheki nakuta salio limejaa

Process zote hizo kama mirathi duuuh
 
MREJESHO
Niliwasiliana kwa email na 1xbet nikiambatanisha screenshot inayonesha;
1. Transaction history yenye muamala tajwa (nilizungushia)
2. Salio la akaunti ambalo halijaongezeka.

Kisha nikawapigia DUKA DIRECT, baada ya kuwatajia muamala wakaniambia ulikamilika na wakanitumia uthibitisho na wakasema niwasiliane na wallettec.

Nikawatumia email wallettec email niliyowatumia 1xbet, nikaongezea maelezo kwamba nimewasiliana na SELCOM DUKA DIRECT wamesema tatizo lipo kwenu, nikawapa ushahidi wa muamala wa DUKA DIRECT kukamilika.

Sasa hivi nacheki nakuta salio limejaa
Aiseee... hame hiyo kampuni.
 
Wewe kama ni shabiki wa Yanga, beti Simba ashinde. Akishinda unakuwa umeshinda na akifungwa unakuwa unakuwa umeshinda pia. (In mandonga voice)
 
Back
Top Bottom