Hapo kanji anakutoa kwenye reli tu, gem za mchana zina maajabu yake hasa kwa zile timu ndogo zenye ubora kwa wakati huo, mfano ingekuwa Newcastle, Brighton v Arsenal ungehofia lakin si kwa Everton, sema leo inaweza toa under 2.5 au goli nyingi 5+
mkuu kumbuka kocha mpya wa everton ni dyche, mzee wa mabasi.....,
burnley yake ilikuwaGa ngumu sana kufungika......
 
My brothers wazee wa mikeka hii mechi ya Arsenal na Everton ingekuwa vyema kama mngeiacha ipite hata kama ina odds nzuri. Everton haijawah kufungwa na arsenal nyumbani tangu 2017. Angalizo lingine Everton pia wana kocha mpya Sean dyche ambae anasifika kwa kupaki basi balaa!
*Lolote linaweza kutokea hivyo hi mechi ni 50/50 haya ni maoni yangu na ufuatiliaji wangu
Everton wamecheza mara ya mwisho 21 jan hivo wamepumzika siku 14
Arsenal wamecheza mara ya mwisho 27 jan hivo wamepumzika siku 8.
Wote walifungwa mechi zao za mwisho.
Game inakaribia kuanza All the best comrades!
hii game nimeikimbia sana, was very concerned wiki nzima,.... sema nimemweka kwenye treni moja kati ya 12....
 
Sportybet sasa na anza pole pole kujifunza kutengeneza matreni yenye akili bado nipo kwenye mazoezi
BE9E431
A452E0
219E2C8
 
Kuna wana kibao wanatoa spana za maana sana humu akina big boi , pdidy , munara na watu kibao sana sjawai kuona wanasema wana group na wameanza mda sana umu na hawalipwi na mtu
Kaka Amna aliesema alipwe soma Uzi vzr acha kuropoka
 
Eleweni Uzi nimeshare mbinu na nyiny ya kutafuta odds 1.2-1.3+ na kustake 20000+ na sio kuuza mikeka m siuzi mikeka elewen Hilo nipo hapa kwa kujumuik na wanajamii na kushare mbinu tofauti tofaut katk betting
 
Naam kâtika mchezo wetu wa leo Kati ya Mumbai vs Hydrabad...

Referee ni Kundu harisha!......!...

Majina mengine aisee!
 

Attachments

  • Screenshot_20230204-155645.png
    Screenshot_20230204-155645.png
    24.3 KB · Views: 7
Habar Wana jf
Niko hapa kwa kushare mamb kadhaa kuhusu mikeka ...NIMETENGENEZA 240000 ndani ya mwezi wa kwanza (January) kwa mtaji wa 20000 tu
NIENDE KWENYE UZI DIRECT. natafuta odds 1.2-1.3+ tu za uhkika ambazo ushindi ni na kuingiza kupato Cha 5000+ kwa siku...haiitaji ela ya hark Kwan hapa tunainvest na muda mwingine unawez ukapata odds 1.2-1.3+ za uhak za asubuh na ukastake Tena mkeka wa jion na kutengezez 9000+ kwa siku na nimeamua kutengeneza group kwa ajir ya kusaidia vjn wenzangu kwenye hili Kwan kubet ni investment na sio kama wengi wanavyozania kua ni bahat nasibu na sas nimeiongeza mtaji na kua jumla 40000 kwa ajir ya kutengeneza 10000+ kwa siku BETTING INALIPA UKIWA MAKIN NA KUAMUA KUINVEST. Kwan betting ni biashara kama biashara nyingin kwa ambae yupo tayr kua pamoj katk hili nitatuma link kwa ajir ya kujoin... Hii ni mikeka ambayo tumeanza nayo mwezi FEBRUARY View attachment 2505879View attachment 2505880View attachment 2505881

Dogo tupo kwenye uzi huu kitambo sana toka umeanzishwa
So we can tell kama mtu ni tapeli wa kishamba au mtu anayetaka kushare mambo mazuri na wananzengo

Wamekuja wajinga wajinga kibao kama wewe ambao wanatuona humu ndani sisi kama wajinga wenzao hivyo wanaweza kuja na ujinga mwepesi ili watupige hela

Hizo screenshot zako za ushawishi wa kishamba zinataka ku prove nini kweny hoja yako ya odd za uhakika ?
Toka lini umewahi kusikia kuna odd za uhakika 100%?

Hakuna watu ninao wachukia kama watu wanaotumia vipigo vyetu kwa kanji kama fursa ya kuzidi kutupiga
Yaani tupigwe na kanji halafu tupigwe na wauza odd?

We kama mwamba kweli share code hapa watu watajionea kuliko kuwapeleka huko vichochoroni wakati wewe mwenye upo desperate na maisha tu
 
Amn anaeuza mikeka kak nimeshare mbinu soma
Dogo tupo kwenye uzi huu kitambo sana toka umeanzishwa
So we can tell kama mtu ni tapeli wa kishamba au mtu anayetaka kushare mambo mazuri na wananzengo

Wamekuja wajinga wajinga kibao kama wewe ambao wanatuona humu ndani sisi kama wajinga wenzao hivyo wanaweza kuja na ujinga mwepesi ili watupige hela

Hizo screenshot zako za ushawishi wa kishamba zinataka ku prove nini kweny hoja yako ya odd za uhakika ?
Toka lini umewahi kusikia kuna odd za uhakika 100%?

Hakuna watu ninao wachukia kama watu wanaotumia vipigo vyetu kwa kanji kama fursa ya kuzidi kutupiga
Yaani tupigwe na kanji halafu tupigwe na wauza odd?

We kama mwamba kweli share code hapa watu watajionea kuliko kuwapeleka huko vichochoroni wakati wewe mwenye upo desperate na maisha tu
Perfect
 
Back
Top Bottom