Hizi $240,000.00 ni kwa mwaka au ni kwa muda gani? Kama Barrick wanavuna USD $20m a year with 3% rolyalties to Serikali 9$600,000) then it make sense to claim at least $240000-400000 for local development.
Serikali inapaswa iongeze mgawo wake wa royalties to at least 15% ambapo 40% ya hiyo 15% itawekwa kwenye maeneo ambapo huu uwekezaji unafanyika kwa shughuli za maendeleo kama Shule, zahanati, vyuo vya ufundi, maji, umeme na barabara na si kutumia pesa hizi kulipana mishahara na kununua magari mapya!
Kama alihusika kwenye Mkataba wa Dudu IPTL kama alivyodai Dk. Slaa basi huyo mama anafahamika vema na aliyekuwa Waziri wa Wizara husika Mhe. Rais JK.
Pili, kwa huyu mama kutajwa kwenye Tume Teule ya Bunge ya Dk. Mwakyembe basi TAASISI YA KUENDELEZA NA KUPAMBA RUSHWA (TAKUKURU)ilitakiwa iwe imeanza kazi ya kumfuatilia huyu mama.
Compare this to any of TZs mining companies board:
Debswana - Board of Directors
wazawa tupu; i don't mind hata kama ni wa serikali...
sasa tazama
TanzaniteOne - The largest and most advanced miner of the rare tanzanite gemstone
Wanamuweka mbongo mmoja ambaye watam'control
Duuuhh :shock: :shock: :shock:
Nimesoma mara mbili mbili huo ujumbe wako Mzee Mwanakijiji, yaani hata kile kibanda changu pale bongo nilichopangisha kwa TX mmoja analipa US$ 1200 kwa mwezi, sasa Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa nchi.......US$ 1000 kwa MWAKA!!!!!!! gimme a break guys, wahusika waliosaini huu mkataba ni wahujumu wa uchumi.
Hivi kuweka mikataba wazi ni mpaka tujiunge na shirika fulani la kimataifa? Hivi nchi ni ya Watanzania kweli?
Hii sio nchi ya Tanzania ni nchi ya wazungu. Wazungu wanajenga nchi zao kwa rasilimali za Tanzania kilichobaki ni sisi kuwa watumwa ndani ya nchi yetu yenye rasilimali za kutosha lakini tunaitwa nchi masikini.
No need for Bunge to ratify contracts, says AG‏
Leonard Mwakalebela, Dodoma, 3rd February 2010 Daily News
THE government has neither plans, nor strategy of tabling a bill to enable Parliament to ratify all contracts entered by the government.
The Attorney General Mr Frederick Werema told the National Assembly today that such move would be contrary to the Constitution of the United Republic of Tanzania.
According to him, such contracts, which are commercial by nature, are being made by government servants as per section 35 (1) of the Constitution.
The AG also told the House that the President, according section 33 (2) of the Constitution, was the head of the government apart from being Head of the State and Commander in Chief.
The AG was answering questions by Ussi Amme Pandu (Mtoni-CCM) on behalf of the minister for Justice and Constitutional Affairs.
The MP wanted to know as to when the government would table such a bill because such confidentiality of the contracts was fuelling corruption.
Mr Werema noted, however, that the Bunge still had the chance of advising and monitoring the government on contracts as per section 63 (2) and (3) of the Constitution.
Its not true that the current arrangement fuels graft. Your Parliament enacted Public Procurement Act which has put in place conditions to be observed while entering into contract.
The conditions are supervised by the government through Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) which has mandate of nullifying unsatisfactory contracts, the AG explained.
He stressed that there were neither suggestions, nor evidences that there were ghost contracts entered by some of the public organisations and government institutions.
What I know is that therere arguments and feelings among experts that therere valid contracts whose conditions are painful to the nation or did not take into consideration national interest, observed Mr Werema.
He said that according to Act no.4 of 2005, the office of AG was obliged to advise the government on commercial contracts and international conventions and protocols.
The AG urged the public to have confidence in their government and that the government would not bless contracts which were not in public interest and welfare.