Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 883
- 73
Rev. Kishoka
Aliteuliwa kulinda masilahi ya mafisadi, ndo maana yupo tayari kulinda sheria mbovu ambazo kama mwanasheria mkuu alitakiwa kutoa ushauri ambao utaziba mianya ya kuwa na mikataba mibovu au kushauri katiba ibadilishwe, na ni rahisi tu mapendezo yaliyotelewa na tume ya majaji iliyoundwa kupitia na kupendekaza katiba inayoendenana na mabadiliko ya kisisa, kiuchumi na utandawazi, zilkitumika hela nyingi na yalikuwa mapendekezo lakin waliokuwa karibu na mkuu walimwambia achana nayo kwani ingewanyima ulaji, hawa ni viongozi wapo tayari kuona nchi na wananchi wanateketea ili mradi walimbikize mali ambazo hawatakula wamalize. kiujumla na uchoyo uliopita tafsiri
Aliteuliwa kulinda masilahi ya mafisadi, ndo maana yupo tayari kulinda sheria mbovu ambazo kama mwanasheria mkuu alitakiwa kutoa ushauri ambao utaziba mianya ya kuwa na mikataba mibovu au kushauri katiba ibadilishwe, na ni rahisi tu mapendezo yaliyotelewa na tume ya majaji iliyoundwa kupitia na kupendekaza katiba inayoendenana na mabadiliko ya kisisa, kiuchumi na utandawazi, zilkitumika hela nyingi na yalikuwa mapendekezo lakin waliokuwa karibu na mkuu walimwambia achana nayo kwani ingewanyima ulaji, hawa ni viongozi wapo tayari kuona nchi na wananchi wanateketea ili mradi walimbikize mali ambazo hawatakula wamalize. kiujumla na uchoyo uliopita tafsiri