Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,208
- 20,384
Nimekuwa nikisikiliza maoni ya watu mbali mbali wasomi, wazalendo, wa chama tawala na wa vyama vingine pia.
Wanazuoni na wananchi wa kawaida.
Kwa ujumla kihistori na kwa haraka haraka mikataba mingi ya inayohusu Rasilimali za Taifa na Watanzania huwa inaingiwa kipindi karibu na Uchaguzi.
Bado naendelea kujiuliza je kuna uhusiano kati ya Uchaguzi na mikataba hii?
Wengine wanasema hivi.
1992- Ardhi
1999- Madini
2008/2010- Gesi
2019----
2023----
Wanazuoni na wananchi wa kawaida.
Kwa ujumla kihistori na kwa haraka haraka mikataba mingi ya inayohusu Rasilimali za Taifa na Watanzania huwa inaingiwa kipindi karibu na Uchaguzi.
Bado naendelea kujiuliza je kuna uhusiano kati ya Uchaguzi na mikataba hii?
Wengine wanasema hivi.
1992- Ardhi
1999- Madini
2008/2010- Gesi
2019----
2023----