Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

unamshangaa mbumbu kama kikwete kujisifu kuwa kawa encourage canada pamoja na nchi zingine kuja kusaini mikataba ya kibepari nchiniushaingia kenya wamepewa tuzo ya kusafirisha mchanga wa tanzanite na africa kusini wakapewa tuzo ya kuuza tanzanite wakati tanzanite inazalishwa tanzania
 
Hv huyu bwana ni kabila gani vilee?mana ana haiba za ajabu kucheka cheka full time kama zuzu flan hv.
 
Hv huyu bwana ni kabila gani vilee?mana ana haiba za ajabu kucheka cheka full time kama zuzu flan hv.
m k w e r e huyo kwa kabila, kucheka cheka hiyo hata mie sielewi ila pia anayo tabia ya kuanguka anguka kama sikosei! aidha hua anasahau hata sababu za umaskini wa nchi yake
 
'Misamaha kodi za madini inalitafuna taifa'
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"][/TD]
Wednesday, 22 June 2011 21:35

'Misamaha kodi za madini inalitafuna taifa'
Send to a friend

Wednesday, 22 June 2011 21:35

Fidelis Butahe
MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, amesema Tanzania ni nchi isiyojifunza kutokana na matatizo yaliyopita, na ndiyo maana imekuwa ikiendelea kutumia sheria zinaifanya isifaidike na rasilimali ya madini.

Akichangia hoja kuhusu mswada wa mabadiliko ya sheria ya fedha ya mwaka 2011, jana bungeni mjini Dodoma, Lissu alisema kwa miaka 12 amekuwa akichambua matatizo ya sekta ya madini, ili kuelewa kiini cha uporaji wa rasilimali za madini.

"Nimejifunza mengi, kikubwa nilichokiona ambacho nataka kukipendekeza leo ni misamaha mikubwa ya kodi ambayo ilitungiwa sheria na Bunge hili mwaka 1997,"alisema Lissu. Alisema sheria hizo zimetengeneza kitu alichokiita katika tafiti wake kuwa ni utatu usiokuwa mtakatifu, unaoyafanya mataifa tajiri duniani, kunufaika na madini ya Tanzania.

Lissu alisema juzi Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, aliliambia Bunge kuwa alisema Taifa linategemea kupata Sh32 bilioni kutokana na rasilimali za madini."Tumepewa taarifa ya hali ya uchumi wa taifa ambayo imetueleza kuwa mwaka 2010 sekta ya madini imeingiza Dola 1.5 bilioni za Marekani kwa bei ya Sh1,600 kwa dola moja, hicho kiwango cha mapato yanayotokana na madini yetu kitakuwa zaidi ya Sh4 trilioni," alisema Lissu.

"Hoja ya msingi ni kwamba nchi hii inaangamizwa na misamaha ya kodi na wema mkubwa ambao tumezipatia kampuni tajiri kutoka kwenye nchi tajiri za magharibi ambazo zinatajirika na utajiri wa nchi hii wa madini, tatizo ni ni sheria tu," alisisitiza.

Alisema kilio kuhusu misamaha ya kodi si cha kwake yeye tu lakini kinatolewa pia na timu za wataalamu ndani serikali ambao wameweka wazi kuwa misamaha ya kodi inaliangamiza taifa.


Alisema mwaka 2004, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, iliunda tume kuchunguza matatizo ya sekta ya madini na mchango wake katika pato la taifa na kwamba katika mapendekezo yake, tume ilisema taifa linaangamizwa na misamaha mikubwa ya kodi inayotolewa kwa kampuni za madini kwa kutumia sheria za mwaka 1997.

"Mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete aliliambia Bunge kuwa hali ya madini haikubaliki tena, Januari, mwaka 2006 aliunda tume chini ya Waziri wa Nishati na Madini wa wakati huo, Lawrence Masha, ikijumuisha wataalamu 11 na ilitoa majibu kuwa hakuna mafanikio katika sekta ya madini Tanzania," alisema.

Lissu alisema mwaka 2010 Kampuni ya Sofire International Development yenye makao makuu yake mjini London, Uingereza imetoa taarifa kwamba katika kipindi cha miaka 10 kufikia 2008, dhahabu pekee ya Tanzania imeingiza zaidi ya Dola 5 bilioni lakini, mapato ya serikali ya Tanzania ni pungufu ya dola 300 milioni.

"Hii ni kwa sababu ya misamaha ya kodi ambayo Serikali na Bunge hili imekuwa inawapa matajiri wa nchi za nje," alisema Lissu."Leo (jana) tunaletewa muswada wa sheria unaopendekeza sio tu kutoa misamaha kwa maeneo maalum ya uwekezaji, unapendekeza pia kuongeza misamaha ya kodi katika sekta ya madini," alisema Lissu.

Alisema suala la misamaha ya kodi pia lilipendekezwa na Kamati ya Jaji Mark Bomani iliyoteuliwa na Rais Kikwete mwaka 2007 ambayo ilisema kuwa misamaha ya kodi kwa kampuni za madini ifutwe.

Kuna siri gani nzito kwenye mikataba ya madini?lazima kuna kitu
 
Ulaji..., CCM itajiendeshaje na watapata wapi fedha za kupeleka nje ya nchi kufungua matawi ya CCM yasiyo na tija?

Wonderful enough, hoja za Lisu zitapuuzwa... subiri uone, Time will tell
 
SIRI anaijua balozi wetu nchi marekani soma hapo chini

Profile

Mrs. Maajar is currently on sabbatical serving as High Commissioner of the United Republic of Tanzania accredited to the Court of St. James, United Kingdom and Northern Ireland and (Non-Resident) (KWA SASA HUKO USA NA SIO UK) Ambassador Extraordinary of the United Republic of Tanzania, Ireland. Until her appointment as High Commissioner in June, 2006 Mwanaidi Sinare Maajar was heading the Firm’s Mining Law Portfolio.She has an unrivaled expertise in mining, and gas. She is a founding partner of Maajar, Rwechungura, Nguluma & Makani (Advocates) which in February 2006 merged with Epitome Advocates to form REX ATTORNEYS.

Mrs. Maajar built the mining portfolio to
become the brightest spot of the legal practice by investing an incredibly huge amount of her time and energy and eventually perfecting this field of law making her an unrivaled leading mining law consultant in Tanzania. It is to her credit that all major international mining companies operating in Tanzania are clients of the Firm. She is highly respected by the mining companies, the Government and peers as a leading corporate law consultant in

every aspect of that industry.
She has contributed to the reform of the mining law policy and law in Tanzaniaas well as the review of the impact of the law to the mining sector and to Government. Her ability to see beyond the obvious and to examine issues from the legal perspective as well as take into account social, political and economic issues that may impact mining issues brought to her to opine thereon, makes her a valuable adviser to any mining client. Prior to setting up her legal practice in 1991 she worked as Senior Legal Advisor with the Bank of Tanzania in the Companies department at a time the bank regulated entry of foreign investments in Tanzania and subsequently as Business Manager with Coopers & Lybrand, the predecessor firm of PricewaterhouseCoopers in Tanzania


Angalia mchezo hapa na huu mchezo ulichezwa pia kati ya TANESCO na DOWANS
ni same trick

>>>>
She has contributed to the reform of the mining law policy and law in Tanzania
>>>>
makes her a valuable adviser to any mining client-----( baada ya kutushauri tanzania kwenye sheria zetu ana kula vichwa kwa upande wa pili, haya ni maadili ya kisheria kweli?)

>>>>
she worked as Senior Legal Advisor with the Bank of Tanzania in the Companies department at a time the bank regulated entry of foreign investments in Tanzania

>>>>>
It is to her credit that all major international mining companies operating in Tanzania are clients of the Firm


haya hapo juu yeye ndiye mshauri serikali yeye tena mshauri wa wanaokuja kuchonga dili na sisi watanzania
kwa maana nyingine mgongano wa maslahi hapo umekwenda wapi?

ni upande gani alilalia zaidi kwa kuzingatia mikataba yetu ya madini/
 
Mining firms get more tax waivers
Wednesday, 22 June 2011 22:37

By Damas Kanyabwoya
The Citizen Reporter

The government has offered more tax concessions to mining companies despite growing concerns that the country is not earning its fair share from minerals and other resources exploited by multinationals.
In the Finance Bill 2011, the government also made further tax revisions by increasing excise duty on kerosene from Sh52 to Sh400.30 per litre and decreasing the traffic notification fee from the proposed Sh50,000 to Sh30,000.

Finance and Economic Affairs Pereira deputy minister Ame Silima proposed when tabling the Bill in Parliament that mining firms that had signed mineral development agreements with the government before July 1, 2009 be given VAT special relief, which is also to be offered to mining exploration companies on commodities and services required for exploration.
The 2009/10 Budget limited VAT special relief to prospecting and exploration companies. The government in the same year abolished excise duty exemption on petroleum products granted to mining companies.

The five-year development plan endorsed by Parliament last week, which is supposed to guide the budget process from this year to 2016, calls for an increase in mining taxes and royalties, but the government has done the opposite in the Finance Bill 2011.

The proposal immediately drew the condemnation of MPs, who said the government had not learnt from past mistakes.
Opposition Chief Whip Tundu Lissu said it was incomprehensible that the government was considering offering mining companies more tax exemptions despite the fact that it was receiving less than it should from the firms.
Earnings from gold exports totalled about $1.5 billion (Sh2.25 trillion) last year, but the government received only about $32 million (Sh48 billion) in royalties and taxes.

“Will this government ever learn? The mining revenue and legislation review committees that the same government appointed over the years confirmed the fact that the mining industry is not a win-win situation. Why should we offer more exemptions now?” the Singida East MP (Chadema) queried.

The London-based Society for International Development said in its recent report that mining companies earned $5 billion (Sh7.5 trillion) in ten years, but the government got less than $300 million (Sh450 billion) in the same period.
Mr Geoffrey Zambi (Mbozi East-CCM) said the government was losing colossal sums in revenue from tax exemptions to mining companies, adding that it was wrong to offer more concessions.

Mr Moses Machali (Kasulu-NCCR-Mageuzi) accused the government of double standards by scrapping VAT special relief to non-profit NGOs while offering the same to profit making mining companies, “whose contribution to the economy is almost negligible”.

“I need an explanation why we have decided to tax non-profit organisations that serve the society in various ways and offer waivers to the big mining companies from rich countries,” he said.
Mr Silima said the increase in tax on kerosene was aimed at curbing fuel adulteration, which has denied the government billions of shillings in revenue and eroded Tanzania’s competitiveness as a reliable transit trade route.

But Mr Zambi criticised the proposal, saying it amounted to surrendering to fuel adulterers.
The government also reduced excise duty on diesel from Sh314 to Sh215 per litre to reduce transportation and manufacturing costs as announced by Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo on Tuesday when responding to MPs’ views on the Budget.

The adjustments mean that the price of a litre of diesel will fall from an average of Sh2,005 to Sh1,600, while petrol will retail for Sh1,790, down from Sh2,015. However, the price of a litre of kerosene has risen to Sh1,680 from Sh1,557.
The government concurred with MPs that the Sh50,000 traffic offences notification fee proposed in the Budget was too high and lowered it to Sh30,000. However, the Opposition said this was still too high, and proposed that the fee remains unchanged at Sh20,000.

The government also proposed that tax be charged on advertisements aired by pay-television companies based outside the country to level the playing field with locally based digital television companies.

The VAT refund period has also been reduced from one year to six months due to the speeding up of VAT payments through the use of electronic fiscal devices. Firms and individuals and Tanzania Revenue Authority will be charged interest on delayed VAT payments and refunds. The interest rates will be in accordance with “the Bank of Tanzania discount rates at the beginning of the year.”

The government, however, has given the TRA commissioner general the powers to waive interest, a proposal that was strongly opposed by MPs during debate on the Bill.The chairman of the Finance and Economic Affairs, Dr Abdallah Kigoda (Handeni-CCM), said granting such powers to one person was likely to prompt allegations of abuse or corruption when a decision to exempt interest was controversial or disputable.

“Decisions to grant interest exemptions should be made by a special committee, and not one person,” Dr Kigoda said.
The government also re-introduced VAT exemptions on household consumables such as food, clothes and soap to orphanages and other institutions caring for orphans and children from poor families. The exemptions were scrapped in the Budget proposals early this month. However, the abolishment of VAT special relief exemptions to NGOs stays.


 
Yaani hawa wachimba dhahabu wanalipa serikali yetu only 3% of the profit gained, on top of that wanakula tax exemption for 10 years!! Ha ha ha Shamba la bibi Tumerogwa
 
Baada ya ku seal contract ndefu wakaamua kumpumzisha asset wao uk na sasa usa hiyo ndio hazina yao maana anajua siri zao zote pande zote mbili!!!ila mimi naamini kamati ile ya madini ya mzee jaji mark bomani wanajua kitu cha siri sana ........akiwemo zito!!
 
Magazeti yameandika kuwa mikataba ya madini inatamka wazi kuwa kila mwekezani anatakiwa kuchangia dola za kimarekani laki mbili na arobaini elfu ( 240,000$US ) kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wanoishi eneo lenye mgodi. Sasa mimi najiuliza kwanini serikali iliyopita haikuliweka wazi hilo?

Au kuna viongozi wamekuwa wakila na wawekezaji? Tuseme ndiyo maana wananchi wamekuwa wakipigwa risasi kama ndege na Sirikali kukaa kimya?, Kwa mfano migodi ya Nyamongo na Bulyankulu.

Ni kina nani walitakiwa kutoa hizi taarifa? Au nani alizuia zisitolewe kama siyo BM? Hawa watu pamoja na BM wana kesi ya kujibu. Mauaji ya wananchi na Ufisadi (Uhujumu) wa mali ya wananchi. Hawa watu hawatakiwi kulindwa. Kama JK atawalinda atakuwa anajipaka damu za hao watu na uhujumu..

Kwanini mikataba iendelee kuwa SIRI? Kwanini isipitiwe na Bunge letu? Kwanini tunaendelea kuchezeana akili hivi? Wanasheria wetu mko wapi?
Haya yalihojiwa siku nyingi saaana....
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom