Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

Wakati Sisi Tunaendelea Kulala, Mafisadi Mambo Yao Yako Fresh Kabisaa, By The Time Madini Yanaisha Maisha Yao Na Wajukuu Wa Wajukuu Wao Yatakuwa Yana Uhakika Kabisaa, Kwa Hiyo Sidhani Kama Wanajali Na Hicho Kilio Chenu Cha Madini Yanaisha. Kwa Sababu Nasikia Kuna Fisadi Mmoja Mjukuu Wake Wa Miaka 4 Ana Mabilioni Kadhaa Benki, Huyo Atawaza Kujenga Miji Badala Ya Kujijengea Nyumba Zao? Na Inaweza Ikawa Sio Bongo Tuu Hata Nje Ya Nchi. Tusipoangalia Tutakuja Kuishia Kubaya Sana Huko Tunakoenda.

YES AND NO. The picture is bigger than just getting rich, while you remain in the same society, you wont enjoy that wealth. I will explain in a moment.
 
Kuhani,
Asante kwa kuweka article hiyo. Tena achana na waSaudi wanafanya nini. Mimi nilikuwa na mpango wa kuanzisha thread kuhusu waafrika tuna mpango gani na mambo ya nishati. Nimekuwa na jaribu kutafuta kama kuna website ya wizara ya Nishati na Madini nielewe mipango ya Tanzania huko mbeleni. Na bado sijaangalia bajeti kujua hiyo sekta ina kamchango kiasi gani.

Ukweli ni kwamba, waafrika hatukai tukafikiria huko mbeleni tutafanya nini. Infact, ngoja nibaki Tanzania. Tanzania ni nchi 'inayoendelea' na tunahitaji nishati kwa kiwango kikubwa ili tuweze kuendelea. Personally, I have written off minerals. Hayo hayana maana kwetu. Hayana maana kwetu kwasababu madini ni cha mtoto ukifananisha na umuhimu wa nishati. Madini yangeweza kutumika kama means to another solution, lakini hata hatufikirii hivyo.

Ngoja nifananishe na ulaya kwenye ishu hii. Hapa UK, Holland, Germany, Scandinavia, mtu unaweza kuishi bila kutegemea gari (sanasana kwenye miji mikubwa). Kwa mfano, mimi nasafiri kutoka nyumbani mpaka kazini, door to door, nimepanda treni. Treni yenyewe inatumia umeme. Katika tripu yote hiyo, potentially, sijatumia umeme wa mafuta! Niachojaribu kusema ni kwamba, when push comes to shove, wazungu wakiamua kuweka magari pembeni sababu ya bei juu za mafuta, wanaweza. Yaani infrastructure yao iko tayari kubadili mwelekeo wa teknolojia. Wazungu walikuwa tayari, ilibidi wawe tayari tangu miaka ya 70, pale waarabu walipoleta za kuleta. They stepped up their game, ndio wakagundua mafuta huko North Sea, ndio wakagundua hadi jinsi ya kuchoma makaa kwa usafi zaidi na hadi uwezo wa kutengeneza gesi kutoka makaa. They read the problems ahead, wakajitayarisha. Nchi za ulaya ni 'ndogo' kutatua tatizo la transport. Nchi nzuri kuangalia itafanya nini kwenye tranposrt ni marekani. Hao bila magari, they are messed. USA itabidi wa-invest kwenye electrical transport, maana nchi ni likubwa, na kila mtu anataka atumie gari. Jinsi mafuta yalivyopanda bei, kuna watu siku hizi wanafanya kazi siku 3 tu ofisini, zingine nyumbani.

Aina mbalimbali za nishati zipo, na tutaendelea kuishi. Ugumu uko kwenye transport. There is nothing as cheap and efficient as oil when it comes to transport. Lakini muda ukifika kwa mafuta kuisha, teknolojia zingine zitakuwepo. Je wangapi wataweza kuhimili bei zake? Ukizingatia bei ya maisha ni ngumu kwa nchi zinazoendelea (au mbaya zaidi huko vijijini wanakochoma magogo = misitu). Wazungu huku hawana jua la kutosha. Kuna project kabambe inapigwa kati ya nchi za north Africa na nchi za ulaya. Wazungu, benki zao zinawekeza kwenye solar plants zitakazotapakaa north Africa, hao jamaa wa North wenyewe wanatoa ardhi tu. Project ikiisha, wanapata umeme locally kuwatosheleza, na mwingine unakwenda ulaya. mahesabu yaliyopigwa ni kwamba utatatua matatizo ya transport Ulaya. Hii inakuwa intergrated kwenye transport system ya kutumia umeme. Yaani mambo ya treni na tram yatatatuliwa!! Sasa chochote kingine kama bio-diesel, hydrogen or solar powered cars, teknolojia itakuwa imefika mbali na affordable kiasi kwamba watu watasahau oil. Lakini transport system yao itakuwa intergrated kiasi kwamba unaweza usihitaji gari kabisaaaa!! Panapo wasumbua wazungu sasa hivi ni air-transport tu!! Hapo mafuta ndo yanamuhimu, ila tatizo litatatuliwa with time.

Je, kama transport system yetu ni chokambaya mpaka sasa hivi, na hali ndivyo hivyo vijijini, tuna mipango gani na huko mbeleni? Hivi waafrika, watanzania tunajipenda kweli? Au siku zote sisi ni kufuata tu mkumbo na kununua teknolojia? Teknolojia gani tutanunua? Nuclear? Wazungu hiyo teknolojia watahakikisha wanashikiria na kukuuzia wewe tena umeme, sababu yao itakuwa kwamba nchi zetu ni unstable na teknolojia inaweza kutumika kigaidi. Can we blame them for considering us unstable? We have signs of, and we creating instability ourselves. We just dont like ourselves as africans, and when we do, we love ourselves for the wrong reasons and priorities!

Lusajo, it doesnt matter how much wealth someone has in Africa, things like this will catch up on the wealthy. You can not have wealth while basic things around you wont be functioning for the majority. You will be living in a melting pot of anger and potential violence from the have nots. Being excessively wealthy in an unstable society, where they know how you got your wealth, is fun only for a while. It does catch up. You only need one crazy person who is tired of the contrast, and that wealth will leave as quick as it came.
 
Kuhani,
Asante kwa kuweka article hiyo. Tena achana Ukweli ni kwamba, waafrika hatukai tukafikiria huko mbeleni tutafanya nini. Infact, ngoja nibaki Tanzania. Tanzania ni nchi 'inayoendelea' na tunahitaji nishati kwa kiwango kikubwa ili tuweze kuendelea. Personally, I have written off minerals. Hayo hayana maana kwetu. Hayana maana kwetu kwasababu madini ni cha mtoto ukifananisha na umuhimu wa nishati. Madini yangeweza kutumika kama means to another solution, lakini hata hatufikirii hivyo.

Ngoja nifananishe na ulaya kwenye ishu hii. Hapa UK, Holland, Germany, Scandinavia, mtu unaweza kuishi bila kutegemea gari (sanasana kwenye miji mikubwa). Kwa mfano, mimi nasafiri kutoka nyumbani mpaka kazini, door to door, nimepanda treni. Treni yenyewe inatumia umeme. Katika tripu yote hiyo, potentially, sijatumia umeme wa mafuta! Niachojaribu kusema ni kwamba, when push comes to shove, wazungu wakiamua kuweka magari pembeni sababu ya bei juu za mafuta, wanaweza. Yaani infrastructure yao iko tayari kubadili mwelekeo wa teknolojia. Wazungu walikuwa tayari, ilibidi wawe tayari tangu miaka ya 70, pale waarabu walipoleta za kuleta. They stepped up their game, ndio wakagundua mafuta huko North Sea, ndio wakagundua hadi jinsi ya kuchoma makaa kwa usafi zaidi na hadi uwezo wa kutengeneza gesi kutoka makaa. They read the problems ahead, wakajitayarisha. Nchi za ulaya ni 'ndogo' kutatua tatizo la transport. Nchi nzuri kuangalia itafanya nini kwenye tranposrt ni marekani. Hao bila magari, they are messed. USA itabidi wa-invest kwenye electrical transport, maana nchi ni likubwa, na kila mtu anataka atumie gari. Jinsi mafuta yalivyopanda bei, kuna watu siku hizi wanafanya kazi siku 3 tu ofisini, zingine nyumbani.

Aina mbalimbali za nishati zipo, na tutaendelea kuishi. Ugumu uko kwenye transport. There is nothing as cheap and efficient as oil when it comes to transport. Lakini muda ukifika kwa mafuta kuisha, teknolojia zingine zitakuwepo. Je wangapi wataweza kuhimili bei zake? Ukizingatia bei ya maisha ni ngumu kwa nchi zinazoendelea (au mbaya zaidi huko vijijini wanakochoma magogo = misitu). Wazungu huku hawana jua la kutosha. Kuna project kabambe inapigwa kati ya nchi za north Africa na nchi za ulaya. Wazungu, benki zao zinawekeza kwenye solar plants zitakazotapakaa north Africa, hao jamaa wa North wenyewe wanatoa ardhi tu. Project ikiisha, wanapata umeme locally kuwatosheleza, na mwingine unakwenda ulaya. mahesabu yaliyopigwa ni kwamba utatatua matatizo ya transport Ulaya. Hii inakuwa intergrated kwenye transport system ya kutumia umeme. Yaani mambo ya treni na tram yatatatuliwa!! Sasa chochote kingine kama bio-diesel, hydrogen or solar powered cars, teknolojia itakuwa imefika mbali na affordable kiasi kwamba watu watasahau oil. Lakini transport system yao itakuwa intergrated kiasi kwamba unaweza usihitaji gari kabisaaaa!! Panapo wasumbua wazungu sasa hivi ni air-transport tu!! Hapo mafuta ndo yanamuhimu, ila tatizo litatatuliwa with time.

Je, kama transport system yetu ni chokambaya mpaka sasa hivi, na hali ndivyo hivyo vijijini, tuna mipango gani na huko mbeleni? Hivi waafrika, watanzania tunajipenda kweli? Au siku zote sisi ni kufuata tu mkumbo na kununua teknolojia? Teknolojia gani tutanunua? Nuclear? Wazungu hiyo teknolojia watahakikisha wanashikiria na kukuuzia wewe tena umeme, sababu yao itakuwa kwamba nchi zetu ni unstable na teknolojia inaweza kutumika kigaidi. Can we blame them for considering us unstable? We have signs of, and we creating instability ourselves. We just dont like ourselves as africans, and when we do, we love ourselves for the wrong reasons and priorities!

Lusajo, it doesnt matter how much wealth someone has in Africa, things like this will catch up on the wealthy. You can not have wealth while basic things around you wont be functioning for the majority. You will be living in a melting pot of anger and potential violence from the have nots. Being excessively wealthy in an unstable society, where they know how you got your wealth, is fun only for a while. It does catch up. You only need one crazy person who is tired of the contrast, and that wealth will leave as quick as it came.

mimi nafikiri unaongelea vitu usivyovielewa na unachanganya mambo....
unajaribu kufananisha vitu visivyofanana kwanza moja mpaka sasa hivi hakuna suluhisho la mafuta hata huo umeme ambao unaendesha treni pia unategemea mafuta kwa namna moja au nyingine....
pili makaa ya mawe yalikuwa yanatumika kama chanzo cha nishati hata kabla mafuta hayajagunduliwa na si kwamba makaa ya mawe yameanza kutumika baada ya kuadimika kwa mafuta....
hao waingereza unaowaongela wana malighafi kubwa tuu ya mafuta huko bahari ya kaskazini na wanaitumia sana....

tatu kama kweli unaelewa ni nini maana ya solar power (ubadilishaji wa nishati ya jua kwenda umeme) na jinsi inavyofanya kazi sidhani kama ungeweza kusema kwamba madini ni cha MTOTO na nikihisi unamaanisha kwamba tuachane nao na kuwekeza kwenye solar power, sasa kwa taarifa yako ni ni kazi ngumu sana kuliko unavyofikiria huo mradi wa afrika kaskazini na ulaya ni ndoto kama zilivyo ndoto nyingi tuu dunia hii...
kuchimba madini chini ya ardhi kama makaa ya mawe kupakia ktk meli na kusafirisha ni rahisi zaidi na inaweza kuboresha maisha yetu haraka sana kama tukiweza kupambana na kuyatumia vema ambapo ndicho kitu mwanzisha hoja amekiongela...

hayo mambo ya kiteknojia kutoka ulaya na marekani achana nayo kwa sasa acha tupiganie madini ili yawe mikononi mwetu na hizo teknolojia tunaweza hata kununua ni rahisi zaidi...

Hoja hapa ilikuwa kuhusu madini yetu ambayo kutokana na mwanzisha hoja ni kwamba yatakwisha mwaka 2028, sasa kama ni kweli au si kweli hicho ni kitu kingine ila cha muhimu hapa ni kwamba ni nini tufanye ili tuweze kuokoa hilo kwani madini ni malighafi na kama unaelewa jinsi mambo yanavyokwenda ni rahisi zaidi kuweza kujenga uchumi kama ukiwa na malighafi asilia kuliko ukiwa huna sasa sisi tumejaliwa kuwa nayo kwa hiyo ni lazima tuweze kupigania ili itunufaishe, hizo nchi zote ulizoziorodhesha (isipokuwa moja ama mbili) zilijenga chumi zao kwa kutumia malighafi walizojaliwa na kutumia pesa hizo kuweza kuendeleza nyanja zingine.... marekani unayoijua wewe ingekuwa si marekani bila malighafi kwa taarifa yako na watu wengi hawalijui hili marekani ni moja ya nchi zilizojaliwa sana kuwa na malighafi nyingi sana duniani, mimi sijawahi kufika huko lakini nafahamu kwamba kuna majimbo megi tuu ambayo yalijengwa kwa malighafi pekee kama califonia isingekuwa califonia bila dhahabu, kanada, australia, n.k
Kwa hiyo kuweza kusema kwamba madini ni mtoto kutaka kutuposha na sidhani kama mawazo yako tunayahitajika ktk nchi yetu ni bora uyabakize huko huko uliko lkni usiyalete huku nyumbani.....
 
Kuna kitu kimoja kinachotufanya tubaki kuwa masikini. Na kitu chenyewe ni kukosa kuweka mawazo yetu kwenye changamoto. Tatizo linapokuja kwetu sisi unakuwa ugonjwa usiotibika, lakini si kweli kwamba tunakuwa tumefika mwisho ila tu ni kutaka kila siku maisha yawe rahisi kwetu.

Kifupi ni kwamba tukiwa na definition ya kila tatizo kama changamoto tunaweza kwenda mbali. Tuna vitu vingi lakini havitusaidii kwa kuwa havitumiki kutusaidia isipokuwa kutukamua zaidi. Kwa mfano kuna nchi nyingine ingekuwa na gesi kama ya Songosongo ingekuwa imeisukuma mbele zaidi ki-uchumi. Lakini kwetu sisi ni watu wa kulia na kuona na kushangilia ya wenzetu. Russia inauza gesi na kutengeneza uchumi, Namibia inategemea sana uvuvi, Lesotho inategemea sana maji, lakini kwetu sisi tunaona kuwa suluhisho ni madini tu. Yeah, madini ni muhimu kwa kuwa nadhani SA inayategemea sana na ndo maana imewekeza sana katika sekta hiyo.deBeers wanakula almasi pale Mwadui kuna AngloGold Ashanti ambapo nadhani makaburu ni wengi sana na nafikiri itakuwa kampuni ya huko. Canada imewekeza sana kwenye madini ingawa ina mafuta pia.

Sisi tuna vingi kwani ni juzi nimepata habari kutoka kwa jamaa zangu wanaofanya utafiti wa URANIUM huko mikoa ya kusini na kusema kuna deposit kubwa sana huko.
Kifupi ni kwamba tusilale kwenye matatizo bali tuyachukulie kama changamoto na hiyo itaweza kutufikisha mbali.
 
Utajiri wa waarabu ni wa kujitengeneza ila wetu sisi ni wa asili maana ikimaliza zaabu na vito vyengine basi ujue kuna Uranium ndio kwanza tunaitafutia vinu vya nuklia ,yaani ingawa nasikia kuna black market ya Uranium hapa Tz ,lakini naona ni majungu tu bado hawajapata mteja wa kuweza kuichokoa na kuifunga kwenye viloba ,maana ni dili la kimataifa ,kama tukitafuta mchimbuaji yaani aje temporari tu atuchokolee kilo moja ,kwa ajili ya kuichunguza basi tukimaliza kuichunguza tukaipiga bei ugali wake unaweza kuihudumia bajeti yetu ka kwa miaka 50 ijayo.Wacha waarabu watakuja kutufagilia majumbani na kufanya kazi za kuchunga mbuzi wetu na ng'ombe wa maziwa.
 
mimi nafikiri unaongelea vitu usivyovielewa na unachanganya mambo....
unajaribu kufananisha vitu visivyofanana kwanza moja mpaka sasa hivi hakuna suluhisho la mafuta hata huo umeme ambao unaendesha treni pia unategemea mafuta kwa namna moja au nyingine....
pili makaa ya mawe yalikuwa yanatumika kama chanzo cha nishati hata kabla mafuta hayajagunduliwa na si kwamba makaa ya mawe yameanza kutumika baada ya kuadimika kwa mafuta....
hao waingereza unaowaongela wana malighafi kubwa tuu ya mafuta huko bahari ya kaskazini na wanaitumia sana....

tatu kama kweli unaelewa ni nini maana ya solar power (ubadilishaji wa nishati ya jua kwenda umeme) na jinsi inavyofanya kazi sidhani kama ungeweza kusema kwamba madini ni cha MTOTO na nikihisi unamaanisha kwamba tuachane nao na kuwekeza kwenye solar power, sasa kwa taarifa yako ni ni kazi ngumu sana kuliko unavyofikiria huo mradi wa afrika kaskazini na ulaya ni ndoto kama zilivyo ndoto nyingi tuu dunia hii...
kuchimba madini chini ya ardhi kama makaa ya mawe kupakia ktk meli na kusafirisha ni rahisi zaidi na inaweza kuboresha maisha yetu haraka sana kama tukiweza kupambana na kuyatumia vema ambapo ndicho kitu mwanzisha hoja amekiongela...

hayo mambo ya kiteknojia kutoka ulaya na marekani achana nayo kwa sasa acha tupiganie madini ili yawe mikononi mwetu na hizo teknolojia tunaweza hata kununua ni rahisi zaidi...

Hoja hapa ilikuwa kuhusu madini yetu ambayo kutokana na mwanzisha hoja ni kwamba yatakwisha mwaka 2028, sasa kama ni kweli au si kweli hicho ni kitu kingine ila cha muhimu hapa ni kwamba ni nini tufanye ili tuweze kuokoa hilo kwani madini ni malighafi na kama unaelewa jinsi mambo yanavyokwenda ni rahisi zaidi kuweza kujenga uchumi kama ukiwa na malighafi asilia kuliko ukiwa huna sasa sisi tumejaliwa kuwa nayo kwa hiyo ni lazima tuweze kupigania ili itunufaishe, hizo nchi zote ulizoziorodhesha (isipokuwa moja ama mbili) zilijenga chumi zao kwa kutumia malighafi walizojaliwa na kutumia pesa hizo kuweza kuendeleza nyanja zingine.... marekani unayoijua wewe ingekuwa si marekani bila malighafi kwa taarifa yako na watu wengi hawalijui hili marekani ni moja ya nchi zilizojaliwa sana kuwa na malighafi nyingi sana duniani, mimi sijawahi kufika huko lakini nafahamu kwamba kuna majimbo megi tuu ambayo yalijengwa kwa malighafi pekee kama califonia isingekuwa califonia bila dhahabu, kanada, australia, n.k
Kwa hiyo kuweza kusema kwamba madini ni mtoto kutaka kutuposha na sidhani kama mawazo yako tunayahitajika ktk nchi yetu ni bora uyabakize huko huko uliko lkni usiyalete huku nyumbani.....

Mkuu, wewe ndo hujui unachoongelea. Madini ni short term. Nchi yoyote dunia hii cha muhimu ni Energy, Water, Food, you control this, you are safe. Madini ni ya kupita. Ndio maana hata balozi wa Uholanzi, sijui kutoka nchi ya Scandinavia anawaambia, anayetegemea Tanzania iendelee ghafla kwasababu ya madini ana ndoto. You are not thinking big!!

Sasa hapo madini yanaisha 2028, wazungu wanachange gemu 2020. Nimetafuta na nimeipata project, bofya hapa TREC - Trans-Med Renewable Energy Cooperation

Makaa ya mawe yalikuwa yanatumika kwa kuchoma moja kwa moja, na ndio maana kuna miji imechoka huku ulaya kwa ajili ya uchafu wa makaa. Ikajulikana process inaitwa 'coal-gasification', hii inajulikana tangu zamani. Ila miaka ya 70s, wakaingia lab, wakaja na process inaitwa 'Integrated Gasification Combined Cycles' ambayo by-product yake ikawa Hydrogen, na ambayo inatumika kwenye magari. IGCC ni direct result ya matatizo ya mafuta in the 70s.

Kuhusu solar, ofcourse ni kazi ngumu, lakini ikiwa ngumu sio kwamba tusipange. Hayo madini yatakufikisha wapi wakati unachimba tu hata huendelezi nyanja zingine? Umeme ujanja wake ni ku-convert tu uweze ku-drive turbines, simple. Kuna solar plants California, Arizona (jangwani), we google utakutana nayo. Soma hiyo site ya TREC uone kiasi gani umeme watatengeza. California wanatumia technology tangu 70s/80s, direct result ya matatizo ya mafuta 70s ndugu yangu. 354MW of solar are added to the Southern California Grid, so what makes you think its not possible. Ishu ni kwamba teknolojia ipo tayari, ni expensive kwasababu oil is 'cheap'. Oil itapanda bei, na itaisha, eventually solar itakuwa cheaper!!

Sasa hayo madini unayolilia yamekusaidia nini? Yatakusaidia nini na hiyo 3% unayopata. Na Tanzania mafuta yanapatikana. In reality Wazungu wako desperate ndio maana hata kutafuta mafuta nchi kama Tanzania ni 'bei' rahisi sasa hivi. Mafuta/Gas ipo Tanzania na inajulikana for decades, only now its cheaper. And YES, the USA still has plenty of oil, lakini watazidi kununua sehemu nyingine, eventually they will have the last laugh. Watu wanaenda vitani kwa Energy, we kaa na madini unayoyalilia, hata hujui uyafanyie nini.

Unasema nikae hukuhuku, hujui mimi ninaweza kutoa mchango gani kwako na kwa nchi. Usilete ubishi wa kujifanya unajua nchi hata hamwezi kuongoza bila kua na mipango ya maana. Michango mingine mnataka, mawazo ya maendeleo hamtaki, we vipi wewe?

we kaa na kigari chako, weka kiyoyozi, ila subiri siku mafuta yaishe...sijui kama kutakuwa na vipanya wala nini, ndio utajua umuhimu wa transport. South Africa wenyewe, ni miji tu imeendelea, kwani walio vijijini vipi? Look at the bigger picture, sio unakaa tu Dar unafikiria ndio maisha yalivyo.
 
Utajiri wa waarabu ni wa kujitengeneza ila wetu sisi ni wa asili maana ikimaliza zaabu na vito vyengine basi ujue kuna Uranium ndio kwanza tunaitafutia vinu vya nuklia ,yaani ingawa nasikia kuna black market ya Uranium hapa Tz ,lakini naona ni majungu tu bado hawajapata mteja wa kuweza kuichokoa na kuifunga kwenye viloba ,maana ni dili la kimataifa ,kama tukitafuta mchimbuaji yaani aje temporari tu atuchokolee kilo moja ,kwa ajili ya kuichunguza basi tukimaliza kuichunguza tukaipiga bei ugali wake unaweza kuihudumia bajeti yetu ka kwa miaka 50 ijayo.Wacha waarabu watakuja kutufagilia majumbani na kufanya kazi za kuchunga mbuzi wetu na ng'ombe wa maziwa.

Mwiba, uzuri waarabu wanatumia vizuri utajiri wao kujiweka sawa huko mbeleni. Na sio kwamba viongozi wao hawajitajirishi, wanaiba sana, lakini wanajua wafanye nini wajiweke sawa mbeleni kama nchi!!

Ishu ni kwamba, waafrika hatujui kunegotiate a win win situation wala hatuko futuristic. Kuna ugumu gani kukubaliana na mmarekani, eeh bwana, hamchimbi Uranium, mafuta au madini bila win win situation?
 
Mkuu, wewe ndo hujui unachoongelea. Madini ni short term. Nchi yoyote dunia hii cha muhimu ni Energy, Water, Food, you control this, you are safe. Madini ni ya kupita. Ndio maana hata balozi wa Uholanzi, sijui kutoka nchi ya Scandinavia anawaambia, anayetegemea Tanzania iendelee ghafla kwasababu ya madini ana ndoto. You are not thinking big!!

Sasa hapo madini yanaisha 2028, wazungu wanachange gemu 2020. Nimetafuta na nimeipata project, bofya hapa TREC - Trans-Med Renewable Energy Cooperation

Makaa ya mawe yalikuwa yanatumika kwa kuchoma moja kwa moja, na ndio maana kuna miji imechoka huku ulaya kwa ajili ya uchafu wa makaa. Ikajulikana process inaitwa 'coal-gasification', hii inajulikana tangu zamani. Ila miaka ya 70s, wakaingia lab, wakaja na process inaitwa 'Integrated Gasification Combined Cycles' ambayo by-product yake ikawa Hydrogen, na ambayo inatumika kwenye magari. IGCC ni direct result ya matatizo ya mafuta in the 70s.

Kuhusu solar, ofcourse ni kazi ngumu, lakini ikiwa ngumu sio kwamba tusipange. Hayo madini yatakufikisha wapi wakati unachimba tu hata huendelezi nyanja zingine? Umeme ujanja wake ni ku-convert tu uweze ku-drive turbines, simple. Kuna solar plants California, Arizona (jangwani), we google utakutana nayo. Soma hiyo site ya TREC uone kiasi gani umeme watatengeza. California wanatumia technology tangu 70s/80s, direct result ya matatizo ya mafuta 70s ndugu yangu. 354MW of solar are added to the Southern California Grid, so what makes you think its not possible. Ishu ni kwamba teknolojia ipo tayari, ni expensive kwasababu oil is 'cheap'. Oil itapanda bei, na itaisha, eventually solar itakuwa cheaper!!

Sasa hayo madini unayolilia yamekusaidia nini? Yatakusaidia nini na hiyo 3% unayopata. Na Tanzania mafuta yanapatikana. In reality Wazungu wako desperate ndio maana hata kutafuta mafuta nchi kama Tanzania ni 'bei' rahisi sasa hivi. Mafuta/Gas ipo Tanzania na inajulikana for decades, only now its cheaper. And YES, the USA still has plenty of oil, lakini watazidi kununua sehemu nyingine, eventually they will have the last laugh. Watu wanaenda vitani kwa Energy, we kaa na madini unayoyalilia, hata hujui uyafanyie nini.

Unasema nikae hukuhuku, hujui mimi ninaweza kutoa mchango gani kwako na kwa nchi. Usilete ubishi wa kujifanya unajua nchi hata hamwezi kuongoza bila kua na mipango ya maana. Michango mingine mnataka, mawazo ya maendeleo hamtaki, we vipi wewe?

we kaa na kigari chako, weka kiyoyozi, ila subiri siku mafuta yaishe...sijui kama kutakuwa na vipanya wala nini, ndio utajua umuhimu wa transport. South Africa wenyewe, ni miji tu imeendelea, kwani walio vijijini vipi? Look at the bigger picture, sio unakaa tu Dar unafikiria ndio maisha yalivyo.
Bado unashindwa kuelewa kitu hapa.....
hakuna aliyekubishia kwamba madini hayaishi.... ninachokwambia ni kwamba suluhisho unalotoa weye ni GUMU SANA KULIFIKIA UKILINGANISHA NA KAMA TUNGEWEZA KUWEKEZA KTK MADINI.... sasa hauwezi kuanza kuongelea Solar power ktk nchi yetu wakati hata utafiti wa kuweza kuzalisha chakula cha kutosha bado hatujafikia sasa tunawezaje leo kuanza kufikiria kujenga solar power plant? na ndio maana nikwambia kwamba kama unamaanisha unachoshauri basi hauelewi unachokisema....

NINACHOSEMA NI KWAMBA NI LAZIMA TUPIGANIE MADINI YALIYOPO ILI TUWEZE KUFAIDIKA NAYO, SASA SIONI KIGUMU KIPO WAPI KWAKO KUELEWA HILO, NA NDIO KITU HASA MWANZISHA HOJA ANACHOZUNGUMZIA KWAMBA MADINI YETU YATAKWISHA SASA TUFANYE KILA TUWEZALO ILI YATUNUFAISHE NA KUTUMIA FEDHA TUTAKAZOPATA KUWEKEZA SEHEMU NYINGINE KWANI NI RAHISI KWA NJIA HIYO KULIKO NJIA UNAYOPENDEKEZA WEWE,....

Unachonishangaza mimi ni wewe kuanza kuongelea mambo ya solar plant wakati tz bado tunaweza pia kutumia maji yaliyotuzunguka kupata umeme....
tumezungukwa na mito na maziwa na bado maji masafi ya kunywa hatuna na unaanza kuongelea mambo ya solar plant hapo ndipo pointi yako siipati....
Usizugwe na hayo unayosoma kwenye google mimi nakwambia hata hayo masolar plant bei yake ipo juu sana kama unataka kuelewa angalia bei tuu ya solar panel ndogo labda hilo litaamsha ubongo kidogo ktk hilo.....
vile vile kama kweli unaelewa jinsi ya kujenga solar plant bado pia unahitaji gesi na vinginevyo ili plant iweze kufanya kazi kikamilifu....
sasa tumejenga solar plant labda singida halafu inabidi tupeleka mikoa ya jirani unajua bei yake lakini...Je hauoni kama ni rahisi kuwekeza kwenye maporomoko ya maji tuliyonayo mengi na kupata umeme wa kutosha....
ndio nikakwambia unaongelea vitu usivyovielewa na kulinganisha visivyolingana....
na ukiangalia nchi zote zinazofanya hiyo miradi ni kwamba serikali zinatoa pesa nyingi sana....
sasa sisi bajeti ni dola bilion 6 tunaweza kweli kuwekeza kwenye solar plant.....

hapa cha muhimu ni kupiga kuuwa na kuokoa madini yetu ndio njia pekee kwa sasa hayo mengine ni ndoto tuu....

PIGA UA NI LAZIMA MADINI YETU YABAKI KUTUSAIDIA NA HICHO NDICHO KITU CHA KUPIGANIA NA SIO SOLAR PLANT............
 
Bado unashindwa kuelewa kitu hapa.....
hakuna aliyekubishia kwamba madini hayaishi.... ninachokwambia ni kwamba suluhisho unalotoa weye ni GUMU SANA KULIFIKIA UKILINGANISHA NA KAMA TUNGEWEZA KUWEKEZA KTK MADINI.... sasa hauwezi kuanza kuongelea Solar power ktk nchi yetu wakati hata utafiti wa kuweza kuzalisha chakula cha kutosha bado hatujafikia sasa tunawezaje leo kuanza kufikiria kujenga solar power plant? na ndio maana nikwambia kwamba kama unamaanisha unachoshauri basi hauelewi unachokisema....

NINACHOSEMA NI KWAMBA NI LAZIMA TUPIGANIE MADINI YALIYOPO ILI TUWEZE KUFAIDIKA NAYO, SASA SIONI KIGUMU KIPO WAPI KWAKO KUELEWA HILO, NA NDIO KITU HASA MWANZISHA HOJA ANACHOZUNGUMZIA KWAMBA MADINI YETU YATAKWISHA SASA TUFANYE KILA TUWEZALO ILI YATUNUFAISHE NA KUTUMIA FEDHA TUTAKAZOPATA KUWEKEZA SEHEMU NYINGINE KWANI NI RAHISI KWA NJIA HIYO KULIKO NJIA UNAYOPENDEKEZA WEWE,....

Unachonishangaza mimi ni wewe kuanza kuongelea mambo ya solar plant wakati tz bado tunaweza pia kutumia maji yaliyotuzunguka kupata umeme....
tumezungukwa na mito na maziwa na bado maji masafi ya kunywa hatuna na unaanza kuongelea mambo ya solar plant hapo ndipo pointi yako siipati....
Usizugwe na hayo unayosoma kwenye google mimi nakwambia hata hayo masolar plant bei yake ipo juu sana kama unataka kuelewa angalia bei tuu ya solar panel ndogo labda hilo litaamsha ubongo kidogo ktk hilo.....
vile vile kama kweli unaelewa jinsi ya kujenga solar plant bado pia unahitaji gesi na vinginevyo ili plant iweze kufanya kazi kikamilifu....
sasa tumejenga solar plant labda singida halafu inabidi tupeleka mikoa ya jirani unajua bei yake lakini...Je hauoni kama ni rahisi kuwekeza kwenye maporomoko ya maji tuliyonayo mengi na kupata umeme wa kutosha....
ndio nikakwambia unaongelea vitu usivyovielewa na kulinganisha visivyolingana....
na ukiangalia nchi zote zinazofanya hiyo miradi ni kwamba serikali zinatoa pesa nyingi sana....
sasa sisi bajeti ni dola bilion 6 tunaweza kweli kuwekeza kwenye solar plant.....

hapa cha muhimu ni kupiga kuuwa na kuokoa madini yetu ndio njia pekee kwa sasa hayo mengine ni ndoto tuu....

PIGA UA NI LAZIMA MADINI YETU YABAKI KUTUSAIDIA NA HICHO NDICHO KITU CHA KUPIGANIA NA SIO SOLAR PLANT............

Kwanza, ishu sio solar peke yake. Si kuna Uranium? Je, nchi itafaidika vipi? Kujiendeleza mbeleni?

Sasa we Kijakazi, Tanzania unataka ipate kiasi gani kutoka madini?Naomba figure. Na uniambie itagawanyika vipi hiyo pesa?
 
Dk. Idris, bado unayo mikataba zaidi ya kubwaga

John Bwire Julai 2, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo

KILA mara mashirika ya umma yanapotaka kupandisha bei ya huduma zao, ambayo tayari ni kubwa kwa mtumiaji wa kawaida, hutaja, na kwa hakika kabisa, kwamba hatua hiyo imetokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji.

Katika siku za karibuni zaidi umma umekuwa ukinusuriwa, japo kwa kiwango kidogo tu, na hatua za mamlaka kama EWURA, ambazo huingilia kati kuhakikisha kwamba umma unalindwa ili bei za huduma hizo muhimu zisipande sana kuzifanya zisishikike.

Shirika la Umeme (Tanesco) ni kati ya mashirika ambayo yamepata kutangaza kutaka kupandisha bei za umeme, mara kadhaa mpango huo unaotokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji, umekuwa ukivutwa nyuma na EWURA.

Si siri kwamba katika eneo la Kusini mwa Afrika, umeme wa Tanzania ni ghali, na kwa kweli kuupandisha zaidi ya hapo ulipo ni sawa na kuukamua zaidi umma ambao tayari uko taabani.

Lakini kila mtu anajua kwamba umeme wetu ni ghali kutokana na sisi wenyewe kujitakia. Gharama zetu za kuuzalisha ni kubwa kutokana na maamuzi yetu yasiyojali kuangalia hali halisi ya mambo.

Tutaje tu mifano michache ya sababu za kupanda kwa umeme wetu: Madeni. Wadaiwa wakubwa katika Tanesco ni Serikali, taasisi na mashirika ya umma. Wakati umma ambao kwasehemu kubwa haujiwezi, unabanwa ulipe kodi ama kukatiwa umeme, wadeni hawa wakubwa mara nyingi imekuwa si rahisi kuwakatia umeme. Na kwa kuwa wanajua kwamba si rahisi kuwabana kwa kuwakatia umeme, basi hata hizo bajeti walizopanga kulipia umeme huingia matumboni kwao. Atawasema nani?

Mikataba mibovu: Mingi ya mikataba ya Tanesco na wazalishaji binafsi wa umeme inachekesha. Ni mikataba iliyobuniwa, kwa makusudi, kunufaisha kupita kiasi cha kawaida cha faida, wazalishaji hao binafsi.

Ni mikataba ambayo sasa kila mtu anajua kwamba lazima ifutwe ili kuinusuru Tanesco na umma kwa ujumla.

Kwa niaba ya umma, tumefurahishwa na Bodi ya Tanesco na Mtendaji Mkuu wa Tanesco, Dk. Idris Rashidi kwa hatimaye kuufutilia mbali mkataba na Dowans. Ingawa hatua hiyo imechelewa, lakini kwamba sasa mkataba huo tata unafutwa, ni habari ya kufurahia.

Wakati mwingine mtu hushangaa jinsi Watanzania tusivyojipenda kiasi cha kuingia katika mikataba inayodhihaki na kukejeli usomi na uelewa wetu wa jumla wa mambo, kama huu wa Dowans.

Sisi tungeshangaa sana kwamba kwa usomi na uelewa wake wa kuendesha menejimenti ya mashirika kama Tanesco, Dk. Idris Rashidi angeishi na mkataba huu wa Dowans mpaka mwisho wake huku kila siku ukimkwida koo.

Ni kwa ajili hiyo tunasema kwamba mkataba wa Dowans ni mwanzo tu wa safari ya Tanesco kukata nira za mikataba ya hovyo iliyonayo, tumwombe Dk Idris aendelee kuibwaga mingine yote ya aina hiyo kwa faida na maslahi ya jumla ya Watanzania wengi yanayotishiwa na wizi, umamluki, usaliti, ubinafsi, ulafi, uchoyo ambavyo kwa lugha ya leo vinaunda ufisadi.
 
kuna mkataba wa Alstrom kule Mwanza ambao mpaka sasa hawajaweza kuzalisha umeme hata unit moja kwa kipindi cha mwaka mzima sasa.

Huu nao unatakiwa kutenguliwa kabla haijaundwa tena kamati ya Bunge kuchunguza na kutupatia Richmond nyingine.
 
Hizi habari za madini hadi zisikike toka nje, je habari kama hii watanzania wangapi wanaijua? Zitto naulizia majibu kama ulipata muda wa kulishughulikia hili.


Press Release Source: Helio Resource Corp.

Helio Reports Further Drill Results From the Kenge Target, SMP Gold Project, Tanzania

Wednesday July 2, 9:00 am ET
Includes 27.4m grading 2.2g/t Au and 11.4m grading 2.3g/t Au


Third drill rig added to the programme

VANCOUVER, BRITISH COLUMBIA--(Marketwire - July 2, 2008)

Helio Resource Corp. ("Helio" or the "Company") (TSX VENTURE:HRC - News) is pleased to report further diamond drill results from the Kenge target. These form part of the ongoing 20,000m+ drill programme at the SMP Gold Project, SW Tanzania. In addition a third diamond drill rig has been added to the current drill programme.


Results have been received for 19 holes drilled at the Main, SW and Mbenge zones of the Kenge target (Note: the Mbenge zone has been incorporated into the Kenge Target). All holes except SZD-87 intersected the targeted gold mineralisation. Intersections for holes SZD-89 and SZD-92 are incomplete due to significant core loss within the mineralised zone, and these holes will be re-drilled. Significant intercepts include:

- 27.4m @ 2.2g/t Au from 39.5m in SZD-102 - Mbenge Zone

- 11.4m @ 2.3g/t Au from 21.5m in SZD-101 - Mbenge Zone

- 16.5m @ 1.2g/t Au from 102m in SZD-97 - SE Zone

- 2.1m @ 6.8g/t Au (open) from 43.6m in SZD-92 - Main Zone

- 1.2m @ 15.1g/t Au from 171.6m in SZD-86 - Main Zone

An updated long section of results from the Mbenge zone, together with revised tables of drill locations and hole intercepts from the whole of the SMP project, has been posted on the Company's web site at www.helioresource.com.

These drill results, together with recent structural mapping by consultants, has helped to define a new structural model for the Kenge target, which covers the NW, Main, SE, Mbenge and Snakebite zones. The new structural model has highlighted a number of areas for priority drilling in order to add to the resource potential of the Kenge target: including the definition of a robust higher-grade shoot in the Main Zone which remains open to depth and along strike to the SE. This will be the focus for the next phase of drilling on Kenge.

Drilling is ongoing at the Kenge target and a resource statement should be published before the end of 2008. Drilling is also ongoing at the Porcupine target.

ABOUT THE SMP GOLD PROJECT

Helio, through its 100% owned subsidiary BAFEX Tanzania Ltd., can earn a 100% interest in four contiguous licences, which cover a 27km strike length of the Saza Shear Zone (see news releases dated December 19, 2005 and September 11, 2006). The project covers the eastern part of the New Saza Gold Mine, which operated between 1939 - 1956, producing approximately 270,000 ounces of gold at an average grade of 7.5g/t Au.

Since late 2006, the Company has drill-tested thirteen targets, eleven of which are hosted by the Saza Shear Zone. All thirteen targets have intersected bedrock-hosted gold mineralisation, the most advanced being the Kenge Target, which has returned up to 22.m grading 6.9g/t gold and 39.2m @ 2.6g/t Au (Company press releases dated May 23, 2007 and March 25, 2008). Other significant intercepts include 42.3m @ 4.0g/t Au from the Porcupine target (Company press release dated June 23, 2008).

Chris MacKenzie, M.Sc., C.Geol., Helio's COO and a Qualified Person as designated by NI 43-101, supervises the sampling and quality assurance / quality control programmes at the SMP Programme, and has reviewed the contents of this news release. Drill holes were oriented at either -48 degrees and -70 degrees and were drilled perpendicular towards the main structural trend. Unless otherwise stated intercepts are reported as drilled widths; true widths are thought to be between 80 and 95% of drilled width. Core was halved with a rock saw and sample lengths between 0.3m and 1.1m within the mineralised zone were submitted to the lab (with the duplicate half being retained). QA/QC includes the use of blanks and standards (1 every 15 samples) and duplicates (1 every 24 samples). Samples were assayed at the SGS Laboratory in Mwanza, Tanzania by 50g gold fire assay. As well as the Company's internal QA/QC programme, SGS also applied their own internal QA/QC programme, consisting of insertion of standards and duplicates. Weighted average grades are calculated between the upper- and lowermost samples within the main mineralised zone over a 0.5g/t cut-off and may include some internal waste.

Helio Resource Corp. is a dynamic, technically-driven mineral exploration company, focused on high-quality project generation in southern Africa. The main focus for the Company is the development of the SMP gold project in Tanzania. As part of its strategic approach to project development, Helio has optioned 17 of its Namibian licences to Desert Minerals (UK) Ltd. (nine licences) and TransAfrican Minerals Limited (eight licences). Helio continues to pursue joint venture partners for its other projects in Namibia, Botswana and Mozambique.

ON BEHALF OF THE BOARD OF DIRECTORS

Richard D. Williams, P.Geo Christopher J. MacKenzie, C.Geol.
CEO COO

The TSX Venture Exchange has not reviewed and does not accept responsibility for the adequacy or accuracy of this release.


Contact:

Richard Williams
Helio Resource Corp.
(604) 638-8007
Email: richard@helioresource.com

Irene Dorsman
Helio Resource Corp.
(604) 638-8007
Email: irene@helioresource.com
Website: www.helioresource.com

Source: Helio Resource Corp.
 
Tatizo kubwa si kukataza wawekezaji bali ni Wananchi wa Tanzania kufaidika na uwekezaji huo. Kikwete angeweza kupata sifa nyingi kama angeelekeza pesa za madini specific kwa maendeleo Fulani Mfano. Angeweza kusema 50% ya pesa ya Gold itatumika kwa barabara angalao watu wangeona faida ya madini au 40% ya pesa ya Gas itatumika kujenga zahanati au shule za kisasa za secondary. Tatizo ni kwamba Wananchi mpaka sasa hawajui pesa ya Gold, Gas n.k imesaidia kufanya nini na imejenga nini kwa wananchi!!. Pesa ya barabara na zahanati imetoka kwa President Bush. Shule mpya za serikali ni ndogo na hazijafikia hadhi ya shule ya mkoloni kama Ilboru, Mzumbe n.k. Je pesa ya wawekezaji inaenda wapi??. Miaka inavyoenda wananchi watataka model ya Congo-Zaire ya wawekezaji kupewa sehemu za uwekezaji na wawekezaji kujenga shule, barabara, vyuo vikuu n.k kwani wanaona matunda
 
Lake Victoria Mining Company Acquires Kalemela Gold Project, Lake Victoria Greenstone Belt, Tanzania

Tuesday July 8, 10:00 am ET

GOLDEN, COLORADO--(MARKET WIRE)

Jul 8, 2008


Dr. Roger A. Newell M.Sc., Ph.D., the newly appointed President and CEO of Lake Victoria Mining Company, Inc. (OTC BB:LVCA.OB - News) is pleased to announce the company is acquiring an 80% interest in the Kalemela Gold Project in northern Tanzania.

ADVERTISEMENT
While currently in Mwanza, Tanzania, Dr. Newell said "This is an important opportunity for the company to gain a foothold in a prominent, productive and highly prospective gold belt. The potential for a substantial discovery here is significant since the Lake Victoria Greenstone Belt contains properties with very large gold reserves. This is a mega district and new mines continue to be discovered and are relatively quickly moved into production."

The Kalemela Gold Project is located in northern Tanzania, within the world class Lake Victoria Greenstone Belt (LVGB) about 125 km northeast of the city of Mwanza. Mwanza, which rests on the southern shore of Lake Victoria, is the second largest city in Tanzania and is the location of the region's thriving mining and exploration community. The Kalemela project covers about 70.7 square kilometers.

Geologically, the property contains classic greenstone lithologies similar to those in currently producing or recently past producing gold mines in the LVGB. Silicified and quartz veined Precambrian metavolcanics and granitic rocks dominate the property, and the large regional northwest trending, two to three kilometer wide Suguti shear zone is just east of the property. Fracture and vein patterns within the project generally trend east to northeast, and are believed to be related to shearing and wrench faulting along the Suguti structure. Gold has been mined from a very small occurrence in amphibolite rocks at Ngasamo; similar rocks and structures are present in the Kalemela project and exploration will focus on locating gold occurrences that can be developed into one or more profitable commercial operations.

Gold Exploration and Mining in Tanzania

The Republic of Tanzania provides an ideal location for mining and exploration to flourish in a politically stable and industrially friendly environment. World recognized major and intermediate size gold mining companies are producing nearly two million ounces of gold per year from deposits located and developed mostly within the last ten years, and new mines are scheduled to begin production with the next three years.

Government regulations encourage mining and development, and a friendly work force is available to the industry. Tanzania has an ideal East Africa location that in addition to gold has a geological setting known to contain commercial diamonds, and important copper, nickel, uranium and coal resources. The long standing government Geological Survey has produced and maintains important technical reports and other related resources to assist and support mineral exploration. There are few places where the mining and exploration community is more welcome or have produced more important developments than Tanzania.

Under the terms of the agreement, Lake Victoria Mining Company, Inc. will exercise its purchase option by paying Geo Can Resources Company Limited $75,000 U.S. Dollars and issuing 10% of the issued and outstanding share capital. In addition, it is required to engage in annual exploration over a four year period totaling $1.6 million U.S. Dollars.

About the Company

Lake Victoria Mining Company, Inc. is a gold exploration company focused on acquiring and exploring potential gold mineral deposits or reserves in Tanzania, East Africa. Tanzania produced 1.75 million troy ounces of gold during 2007 and is the 3rd largest gold producing country in Africa. Lake Victoria Mining Company, Inc. currently holds a Mineral Property Purchase/Option Agreement with Uyowa Gold Mining and Exploration Limited (Tanzania) owned by Geo Can Resources Company Limited (Tanzania) a subsidiary of Kilimanjaro Mining Company, Inc. of Nevada (www.kilimanjarominingcompany.com).

For further information the Company's filings that are available at: Company Information: Lake Victoria Mining Company, Inc..

Disclaimer

This news release may contain forward looking statements, relating to the Company's operations or the environment in which it operates, which are based on Lake Victoria Mining Company's operations, estimates, forecasts and projections. These statements are not guarantees of future performance and involve risks and uncertainties that are difficult to predict, and/or beyond Lake Victoria Mining Company's control. A number of important factors could cause actual outcomes and results to differ materially from those expressed in these forward-looking statements. Consequently, readers should not place undue reliance on such forward-looking statements. Lake Victoria Mining Company disclaims any intention or obligation to update or revise any forward-looking statements, whether as a result of new information, future events or otherwise.


Contact:

Contacts:
Lake Victoria Mining Company, Inc.
Dr. Roger Newell
(303) 526-5100
Email: info@lvcamining.com


Source: Lake Victoria Mining Company, Inc.
 
Tanzania projects recent exploration developments

Wednesday July 9, 9:30 am ET

TSX-V: ATL FRG: MJ7
VANCOUVER, July 9 /CNW Telbec


Atomic Minerals Ltd. (ATL: TSX-V) is pleased to present the following exploration update on its projects in southwestern Tanzania.

As reported in our press release dated March 26, 2008, Atomic entered into an exploration services agreement with Geo Can Resources Company Ltd. ("Geo Can") to undertake initial groundwork and geological evaluation on three of Atomic's properties (PLR 4335, PL 4254 and PLR 4433) all located in the Mbinga/Songea project area. This has been completed, in addition to a high-resolution helicopter-borne radiometric and magnetic survey performed by New Resolution Geophysics ("NRG") of South Africa. The final interpretation and report on this airborne survey is expected to be completed by NRG by the middle of July.

Mr. Peter Chadwick, who was appointed Atomic's Vice-President - Exploration for Africa (see our press release dated April 22, 2008), spent the entire month of May in Tanzania and completed a number of key tasks:

- Established support infrastructure and staff for Atomic Minerals Exploration Ltd. ("Atomic Tanzania"), Atomic's Tanzanian subsidiary.
- Reviewed all existing project data with Geo Can.
- Undertook a field inspection of eight of Atomic's ten Tanzanian properties.
- Met with key officials with the Tanzanian Ministry of Energy and Minerals, in addition to the Tanzania Atomic Energy Commission.

Mr. Chadwick returned to Tanzania at the end of June to initiate follow-up groundwork in the Mbinga/Songea project area. The following reflects the current status of exploration activity to date with the focus of prioritizing targets for future drilling and further exploration.

Mbinga/Songea Project Area (PLs 4335, 4433 & 4254)

- PLR 4335/07: A reconnaissance ground-borne scintillometer survey was undertaken by Geo Can in late 2007, and identified three radiometric anomalies. These will form the focus of future exploration, supported by the results of the airborne survey of NRG, which should be completed by mid-July.

- PLR 4433/07: Field reconnaissance undertaken by Geo Can identified a single radiometric anomaly located close to the Njoka River. The precise source of the anomaly is unclear at present. A recent field inspection undertaken by Atomic did recognise a regional NNW-SSE trending radiometric anomaly, cutting through the central portion of the property. This highly significant trend will be subjected to future field exploration as a priority, supported by the results of the NRG airborne survey.

- PL 4254/07: A brief field visit was made by Mr. Chadwick in May. No active field work on this license has been performed to date.

The current focus for Atomic in the near future will be to continue to map and further identify targets for drilling on PL4433 and PLR 4335. Upon receipt of the final airborne survey from NRG and further ground trenching and sampling results, drilling will commence on priority targets in the third quarter of 2008. All other properties optioned by Atomic in Tanzania will be evaluated and assessed throughout the remainder of 2008.

Qualified Person

Mr. Peter Chadwick, M.Sc., P.Geo., Pr.Sci.Nat., is the Vice-President of Exploration (Africa) for Atomic Minerals Ltd., and is the Qualified Person (as defined by National Instrument 43-101) responsible for the accuracy of the technical information contained in this news release.

Background

Atomic holds an option to earn up to a 100% interest in a land package totalling approximately 3800 square kilometres located in the United Republic of Tanzania (the "Properties") from Geo Can. The largest of the Properties are located in southwestern Tanzania and are considered to be part of the "Malawi Extension" based on the location of the Property relative to blocks earmarked as potentially favourable for uranium enrichment. The Malawi Extension, located in the Republic of Malawi on southwest border of Tanzania, hosts the Kayelekera deposit which Paladin Resources is currently developing into a mine. Other mining companies exploring in the area include Mantra Resources and Western Metals (both in Tanzania).

On behalf of the Board of Directors of Atomic Minerals Ltd.

"Warren McIntyre"

Warren McIntyre
President and Chief Executive Officer
Atomic Minerals Ltd.

The TSX Venture Exchange does not accept responsibility for the adequacy or accuracy of this news release.

For further information

Renmark Financial Communications Inc.: Jason Roy, jroy@renmarkfinancial.com
Victoria Stepanova, vstepanova@renmarkfinancial.com
(514) 939-3989, Fax: (514) 939-3717
www.renmarkfinancial.com



Source: Atomic Minerals Ltd.
 
hahaha, basi liibueni hili, mbona zuri, tumbane kabla hata hajatoweka. mbona watu wanalifumbia macho jamani.
 
Mzalendo shukrani kwa hili dude ila I got lost midway.anyways hope i will gain some few things here and there kwenye huu mjadala ila i will be reading atleast a paragraph or so everyday coz nimeliprint.
Gosh! Slaa anatoa wapi haya mambo?
 
Disturbing thought. How many tragically inflated contacts with Tanzanian Govt are in place or being racketered right now as I read this long sad case?
 
Last edited:
Back
Top Bottom