Heshima mbele..... Nilikuwa napitia magazeti nianze wiki nikakuta hii article inayohusu uboreshaji wa mikataba ya madini as commented/suggested by Mhuu wa Mkoa wa Arusha (prev in Mara).... Aisee kuna viwili hapo:
1. Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kidogo upeo wa kuelea ni mdogo, au
2. Mwandishi wa habari hii ameleta part tu ya ushauri/jibu.
Hii ni sababu anaposema kuwepo na mTanzania katika kila mradi/mkataba wa madini amesahau/hajui kuna makundi matatu ya waTanzania katika miradi hii:
1. Kundi la kwanza ambalo ni kubwa ni "Wadanganyika" - Hawa ni wale wavuja jasho wa migodini ambao wanalipwa peanuts
2. Kundi la "Mafisadi" - Hawa ni wale waliotoa michongo kwa wawekezaji na kupewa 10% (or so commission/asante) kwa kuwachinja Wadanganyika
3. "Walaji kiulaini/ Watendaji" - Hawa ni wale ambao wanajaribu kuwatetea Wadanganyika lakini tatizo ni kwamba nao wana njaa so wakitaka kupioga kelele wanapewa cha juu au vijiposting serikalini/kwenye makampuni hayohayo kisha wanatulia!!!
Sasa Mhe Mkuu wa Mkoa alitakiwa awe muwazi na mkweli katika kuliongelea hili sababu kusema peke yake that '"Lazima awepo mTanzania katika kila mradi pekee" ni very VAGUE point ambayo being Mkuu wa Mkoa (miwili tayari na vijiposti vingine) inanifanya nishindwe kutambua uelewa na ufahjamu wa mzee wetu......
http://www.ippmedia.com/ipp/itv/2008/01/23/106883.html
1. Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kidogo upeo wa kuelea ni mdogo, au
2. Mwandishi wa habari hii ameleta part tu ya ushauri/jibu.
Hii ni sababu anaposema kuwepo na mTanzania katika kila mradi/mkataba wa madini amesahau/hajui kuna makundi matatu ya waTanzania katika miradi hii:
1. Kundi la kwanza ambalo ni kubwa ni "Wadanganyika" - Hawa ni wale wavuja jasho wa migodini ambao wanalipwa peanuts
2. Kundi la "Mafisadi" - Hawa ni wale waliotoa michongo kwa wawekezaji na kupewa 10% (or so commission/asante) kwa kuwachinja Wadanganyika
3. "Walaji kiulaini/ Watendaji" - Hawa ni wale ambao wanajaribu kuwatetea Wadanganyika lakini tatizo ni kwamba nao wana njaa so wakitaka kupioga kelele wanapewa cha juu au vijiposting serikalini/kwenye makampuni hayohayo kisha wanatulia!!!
Sasa Mhe Mkuu wa Mkoa alitakiwa awe muwazi na mkweli katika kuliongelea hili sababu kusema peke yake that '"Lazima awepo mTanzania katika kila mradi pekee" ni very VAGUE point ambayo being Mkuu wa Mkoa (miwili tayari na vijiposti vingine) inanifanya nishindwe kutambua uelewa na ufahjamu wa mzee wetu......
http://www.ippmedia.com/ipp/itv/2008/01/23/106883.html