nafikiri nikuache ukikua utajua namaanisha nini. uliza wakongwe wa hili jamvi huyu gfsonwin ni chama gani? utajua usikurupuke tu kudandia treni kwa mbele. sina imani na Aweda full stop. wala msikaririshe watu kwamba chadema ndo chama chenye watu safi kuliko vyama vingine allah! tatizo wanachadema wengi mnatawaliwa na jazba kuliko kuangalia facts. na kamwe hamtashika madaraka kwa stail hii. mnafanya jamvi kuwa mali ya cdm tu akisema mtu mwingine kosa mkikosolewa kosa nyie nani hadi mtutishe ama tuwaogope? mmefanya nini cha ajabu sana ambacho kitatushawishi hata kuwafikiria? ama huko kupiga kelele na kusababisha vifo vya wenzenu? tena natamani kweli nikufahamu vizuri ama ulete ID yako nyingine hapa.
Kuhusu uchambuzi wa masuala mbali mbali yanayokabili Taifa letu Aweda ni level nyingine,as a matter of fact this guy need a clap for yesterday topic,Huna imani na siasa zake kwakuwa hamjalipwa fidia ama unakusudia kusema nini gfsonwin?
Aweda sasahivi ana majukumu makubwa sana anayotekeleza ndani ya chama na kwakuwa mnaye diwani mliyemchagua kama bado hamjalipwa fidia basi mlitakiwa kumbana yeye awaeleze kinachoendelea badala ya kutafuta kumtoa kafara mtu mwingine asiyekuwa na mandate kwa wakati huu.
btw, kama ninyi wa kwembe hamna imani nae kama ambavyo mlionyesha uchaguzi mkuu uliopita, basi mtambue kwamba sisi wa Ukonga tuna imani nae!
Kuhusu uchambuzi wa masuala mbali mbali yanayokabili Taifa letu Aweda ni level nyingine,as a matter of fact this guy need a clap of hand for yesterday topic,Huna imani na siasa zake kwakuwa hamjalipwa fidia ama unakusudia kusema nini gfsonwin?
Aweda sasahivi ana majukumu makubwa sana anayotekeleza ndani ya chama na kwakuwa mnaye diwani mliyemchagua kama bado hamjalipwa fidia basi mlitakiwa kumbana yeye awaeleze kinachoendelea badala ya kutafuta kumtoa kafara mtu mwingine asiyekuwa na mandate kwa wakati huu.
btw, kama ninyi wa kwembe hamna imani nae kama ambavyo mlionyesha uchaguzi mkuu uliopita, basi mtambue kwamba sisi wa Ukonga tuna imani nae!
Hebu nisaidie hii, kama unajua Kiswahili.......... Ikiwa hii 11,000 =ni shs elfu kumi na moja. Jee, hii 10,001 = na ngapi? Nisaidie ndugu yangu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
Mods msifute mada yangu, kwa sababu mimi sijui kama Mikael P Aweda huyo ni wa JF au La.
Mkuu umemaliza yote. Huu uzi hata siuelewi, umeandikwa kidictetor.Hakuna TV inayoitwa TBC bali kuna TBCCM.
na hata kama aliitaja tatizo liko wapi?? mleta mada ana maprobulemu aisee,Kama Great Thinker, hukutakiwa kuwa na jaziba juu yake iwapo umethibitisha pasi kuacha shaka kuwa hauitaja kwa jina kuwa ni TBC. Hivyo hisia zako ndo zilikupelekea kufikiri hivyo. Kwa ushauri wangu jipange upya, ondoa jaziba na umwombe msamaha then toa allegations zako juu yake ili aweze kukujibu. Vinginevyo hapo jibu lake ni dogo na ni moja tu "Sikutaja TBC"
Mwambie Aweda akaitaje alhamisi ijayo, tutamfungia na hiyo ITV yake.
Sawa, nani kamtuma yeye kuishambulia TBCCM?
Hebu nisaidie hii, kama unajua Kiswahili.......... Ikiwa hii 11,000 =ni shs elfu kumi na moja. Jee, hii 10,001 = na ngapi? Nisaidie ndugu yangu.
Sawa, nani kamtuma yeye kuishambulia TBCCM?
Na wewe nani kakutuma kumshambulia Aweda? Aweda ni mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema na mara nyingi anaalikwa ITV kama kiongozi wa Chadema na jana aliongea kama Kiongozi wa Chadema. Unaposema anafuata tamko la Mbowe unaonyesha upungufu mkubwa na ushabiki uliopitiliza. Hakuna tamko la Mbowe bali tamko la Chadema kutoka Kamati kuu lililosomwa na Mwenyekiti. Unapjaribu kuisaficha TBC ndio unazidi kuichafua zaidi. Kama wewe unafanya kazi TBC au una maslahi nayo ujue kuwa unalipwa kwa kupitia kodi ya Aweda, Mbowe, Mengi na wengineo lakini mtangazi wa ITV hatumii kodi yako wewe NAMI.Sawa, nani kamtuma yeye kuishambulia TBCCM?