prove kwamba shehe ponda is behind these mihadharas kama wasema kweli
mihadhara ilianza wayback in the 1960s miaka ambayo hata baba yako alikuwa hajaja dar ilianza pale mnazi mmoja ikiongozwa na wazee wa mji alkina shehe Abubakar Mwilima,wamjua wewe?imekuja kupata nguvu zaidi in the 1990s na ikafikia peak yake 1998 upande wa waislamu wakiwa na magezi,rico,sule na mazinge wakati wakristo wakiwa na marehemu ANTHONY,SIMBAULANGA,NDIMBO na wengineo,
kwa hiyo hoja ya ufadhili unayoileta ni dhaifu mno kwani ilianza ukiwa hujazaliwa wala hiyo al shabab ikiwa haijulikani
kama huna hakika ya jambo usipende kuropoka
mihadhara ilianza wayback in the 1960s miaka ambayo hata baba yako alikuwa hajaja dar ilianza pale mnazi mmoja ikiongozwa na wazee wa mji alkina shehe Abubakar Mwilima,wamjua wewe?imekuja kupata nguvu zaidi in the 1990s na ikafikia peak yake 1998 upande wa waislamu wakiwa na magezi,rico,sule na mazinge wakati wakristo wakiwa na marehemu ANTHONY,SIMBAULANGA,NDIMBO na wengineo,
kwa hiyo hoja ya ufadhili unayoileta ni dhaifu mno kwani ilianza ukiwa hujazaliwa wala hiyo al shabab ikiwa haijulikani
kama huna hakika ya jambo usipende kuropoka