Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, ningependa kueleweshwa kwenye hili... Nilipita jana katika maeneo ya Y/dovya n nikakuta mhadhara unaoongozwa na waheshimiwa fulani wa dini ya Kiislam.
Cha kustaajabisha, wale jamaa walikuwa hawafundishi kile ambacho nafikiri Waislam wengi wangependa kujua kuhusu dini yao n badala yake walikua wanauponda Ukristo wazi.... Eg Yesu c mwana wa Mungu(kina wahusu nn?). Nikakaa nikijua labda wangeleta topic ya kuhusu Muhamad n dini yenyewe kwa ujumla lakini wapi.
Nilivyodadisi nikaambiwa wana wiki ya pili ss n mada zao ni kuhusu ukristo tu...
Sasa hii inajenga au inabomoa? Je! hawaoni kwamba huko ni kupaisha dini ya wenzao ili hali kuna story kibao kuhusu uislam...
Nisaidieni, Kuna uhalali wa kuingilia mambo ya wengine?
Aksanteni.
Cha kustaajabisha, wale jamaa walikuwa hawafundishi kile ambacho nafikiri Waislam wengi wangependa kujua kuhusu dini yao n badala yake walikua wanauponda Ukristo wazi.... Eg Yesu c mwana wa Mungu(kina wahusu nn?). Nikakaa nikijua labda wangeleta topic ya kuhusu Muhamad n dini yenyewe kwa ujumla lakini wapi.
Nilivyodadisi nikaambiwa wana wiki ya pili ss n mada zao ni kuhusu ukristo tu...
Sasa hii inajenga au inabomoa? Je! hawaoni kwamba huko ni kupaisha dini ya wenzao ili hali kuna story kibao kuhusu uislam...
Nisaidieni, Kuna uhalali wa kuingilia mambo ya wengine?
Aksanteni.