Mihadhara ya namna hii ni sahihi...?

Mihadhara ya namna hii ni sahihi...?

Status
Not open for further replies.

Mkuu Igunga:

Ni kivipi Sheytwain apigwe mawe ndani ya Msikiti Mkuu wa Macca? Hivi huyu Sheytwain, alikuwa anafanya nini Msikitini, tena wakati wa kuhiji?

That is a Symbolically Stoning Satan as Nabii Ibrahim did it in the past, read about it you will understand Ishallah, if you need the article about it, I will foward it to you.
 
Swali mkuu, mbona Waislam huwa wanapandwa na jazba ya ajabu, unaposema kitu kuhusu Marehemu Muham-mad?

Mitume wengine, wakitukanwa, sijaona hata Muislam mmoja akisema neno. Mfano, Mtume PAULO, ambaye anatukanwa kila siku na WAISILAMU?

Paulo sio mtume yeye alikuwa adui wa yesu wakati wa maisha ya yesu lakini alipookolewa Nabii Yesu na Mwenyezi Mungu na kupaishwa mbiguni ndio huyu paulo akajidai eti yesu amemwotesha awe mtume kwa wakristo na akanza kuibadilisha dini ya asili ya kikristo juu chini kama anavyo taka yeye.
 
In Sahih Muslim we read:
Adam is the image of Allah… (Sahih Muslim, 32.6325)
Book 032, Number 6325:
When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

This hadith has been transmitted on the authority of Abu Huraira and in the hadith transmitted on the authority of Ibn Hatim Allah's Apostle (may peace be upon him) is reported to have said:

When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

Kaazi kweli kweli, why is ALLAH commanding Islams, WASITWANGANE SURA ZAO?

Kumbe allah ni kiumbe!

Toa uwongo wako bana wee. hakuna hatidhi hiyo katika sahih Muslim.
 
Toa uwongo wako bana wee. hakuna hatidhi hiyo katika sahih Muslim.
Duh! Kaka nimecheka sana... yaani umempatia maana jamaa eshi kubandika vihadithi vyake vya paukwa pakawa na kusingizia sahihi muslim... maana hata hizo namba anazoziweka ni vichekesho vitupu.
 
In Sahih Muslim we read:
Adam is the image of Allah… (Sahih Muslim, 32.6325)
Book 032, Number 6325:
When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

This hadith has been transmitted on the authority of Abu Huraira and in the hadith transmitted on the authority of Ibn Hatim Allah's Apostle (may peace be upon him) is reported to have said:

When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

Kaazi kweli kweli, why is ALLAH commanding Islams, WASITWANGANE SURA ZAO?

Kumbe allah ni kiumbe!

Acha uongo bana,

soma Quran (Surat Al-'Ikhlā&#351😉 hapo chini,

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

Hakuzaa wala hakuzaliwa.

Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

(Surat Al-'Ikhlā&#351😉, Sadaqallahu Al-Adhim.
 
Kumbe sikujua uko terrified sorry waache watu-fanye debate kama unaogopa usiwasikilize kaa pembeni
makafir maana yake ni watu wasioamini siyo neno baya kwako (iko kwenye kitabu)
Ukiita mtu ni gaid huo ugomvi maana lazima u-prove ameku-terrify

That's what I call intellectual masturbation. Kwani kwenye Qur'an Wakristo wamepewa majina mawili - Wakristo na Mafir? Can you also prove that using the Qur'an, kama siyo kutafuta ugomvi pia?
 
Nafikir kabla ya kumshambulia huyu mahmoud kwamba ana akili zenye mafua..nafikiri wewe jipeleke mwenye mirembe.
Huwezi kuelewa yesu alifufuka..ina maana alikufa...inamaana mungu wa wakristo aliwahi kufa..unaona akili yako ilivyo mbovu..ukieleshwa una kasirika ...kwamba kitu chochote kinachokufa hata mara moja hakiwezi kuwa Muumbaji

Mimi nashauri ili tuchangie kwa umakini na kwa haki lazima tuwe na elimu nzuri ya teolojia. Mfano, debates za Biblical scholars na Qur'anic scholars au Muslim theologians na Christian theologians lugha wanayotumia ni tofauti sana na inayotumika kwenye mihadhara tunayoizungumzia.

Hawa wataalamu wanajua wanachokisema na wanaheshimu wengine na hutasikia wakikashfiana. Ndiyo maana kuna trend sasa hivi nchi kadhaa za Asia, Middle East na Europe, waumini wa madhehebu mbalimbali wanakutana kwenye 'conferences' kwa ajili ya kile kinachoitwa 'interfaith dialogue'.

Wanajaribu kushirikiana kwa yale wanayokubaliana katika imani zao na inaonekana wanafanya kazi nzuri. Mtu mmojawapo wa hao wenye mtazamo chanya wa kushirikiana kwa yale yanayowaweka pamoja ni King Abdallah wa Saud Arabia.

Hawa jamaa wakiwa kwenye debate hutasikia neno kafir au ghaidi. Maana wanajua wanachojadili. Tatizo linakuja kwa watu wenye njaa, chuki binafsi na wasio na elimu au uelewa wa kutosha wa imani au dini yao. Hawa ndio wanaotumia lugha vibaya na wanajifanya wanajua hiki au kile wakati hawajui kitu.

Na hata kwenye michango ya humu JF - inaonekana wazi nani hana kitu na nani mwenye kitu.

Binafsi, naamini kama dini yako unayoiamini ni ya kweli na inakupa 'fulfilment' kwa nini usiihubiri vizuri ieleweke na badala yake uanze kuchafua dini za wengine au imani zao? Je, hicho siyo kielelezo cha ufinyu wa elimu na uelewa? Bado nasema kwenye mihadhara inayoendeshwa dhidi ya Ukristo, ni upigaji debe tu hakuna kitu chochote cha maana.
 
Binafsi, naamini kama dini yako unayoiamini ni ya kweli na inakupa 'fulfilment' kwa nini usiihubiri vizuri ieleweke na badala yake uanze kuchafua dini za wengine au imani zao? Je, hicho siyo kielelezo cha ufinyu wa elimu na uelewa? Bado nasema kwenye mihadhara inayoendeshwa dhidi ya Ukristo, ni upigaji debe tu hakuna kitu chochote cha maana.
Asante, ni wazo zuri, wazo mwanana.
 
Siku ya mwisho au kiama ndo tutajua pumba ni zipi na mchele ni upi. Mambo ya kusema kutafuta ukweli sizani kama huyo tumaini anao ukweli zaidi ya porojo tu. Mimi naomba niulize kitu kimoja kwanini ukitaja jina la Yesu tu mapepo na majini yanamtoka mtu na sijawahi kusikia ukitaja jina la mtume Mjamadi yakatoka?
sio lazima iwe siku ya mwisho. hata sasahivi tunajua pumba ni zipi na mchele ni upi. hakika dini ya kiislam ndo pumba ya kwanza kuliko dini zote duniani. kwanza kwasababu dini yao ina uhusiano na majini, yaani mungu wao anapenda tu waabudu na kufuga majini. pili wanaongozwa na wachawi. hakuna shehe asiyekuwa mchawi, ili uwe shehe mzuri, lazima uwe fiti kwenye uchawi na kufuga majini. pia, waislam wanapenda sana fujo na kupigana. wanasema kuwa kuna majini mazuri na mabaya, yale mazuri wanayafuga, ndo yale yanayowaletea pesa kama vile kwa njia ya chuma ulete kwa wakristo na watu wengine. utakuta mwislam hana kazi anacheza bao toka asubui hadi jioni lakini wake zake wawili na watoto wake rundo, wanakula nyama na chakula kizuri kila siku. wana siri kubwa sana, wanaongozwa na shetani mwenyewe, na ndo maana hata nyuso zao zinatisha sana. ukiwaangalia usoni tu utaona huuuu huyo si mtu wa amani, hatariiiiiii kama wa ziko ya kilimani sesami. angalia yule shehe aliyemrithi makam mufti gologozi, angalia mufti simba mwenyewe...hahaha. yaani utafikiri wanakula watu. fumbukeni macho jamani...

kama kuna mwislam anayebisha, sema, nikuletee evidence hapa hadi utakimbia.
 
Wadau, ningependa kueleweshwa kwenye hili... Nilipita jana katika maeneo ya Y/dovya n nikakuta mhadhara unaoongozwa na waheshimiwa fulani wa dini ya Kiislam. Cha kustaajabisha, wale jamaa walikuwa hawafundishi kile ambacho nafikiri Waislam wengi wangependa kujua kuhusu dini yao n badala yake walikua wanauponda Ukristo wazi.... Eg Yesu c mwana wa Mungu(kina wahusu nn?). Nikakaa nikijua labda wangeleta topic ya kuhusu Muhamad n dini yenyewe kwa ujumla lakini wapi. N nilivyodadisi nikaambiwa wana wiki ya pili ss n mada zao ni kuhusu ukristo tu... Sasa hii inajenga au inabomoa? Je! hawaoni kwamba huko ni kupaisha dini ya wenzao ili hali kuna story kibao kuhusu uislam...

Nisaidieni, Kuna uhalali wa kuingilia mambo ya wengine?
Aksanteni.
We ignore kama unavyoipotezea misikiti ...........Au kama wao wanavyoyapotezea makanisa (japo wakati mwingine huwa wanayachoma moto).............
 
sio lazima iwe siku ya mwisho. hata sasahivi tunajua pumba ni zipi na mchele ni upi. hakika dini ya kiislam ndo pumba ya kwanza kuliko dini zote duniani. kwanza kwasababu dini yao ina uhusiano na majini, yaani mungu wao anapenda tu waabudu na kufuga majini. pili wanaongozwa na wachawi. hakuna shehe asiyekuwa mchawi, ili uwe shehe mzuri, lazima uwe fiti kwenye uchawi na kufuga majini. pia, waislam wanapenda sana fujo na kupigana. wanasema kuwa kuna majini mazuri na mabaya, yale mazuri wanayafuga, ndo yale yanayowaletea pesa kama vile kwa njia ya chuma ulete kwa wakristo na watu wengine. utakuta mwislam hana kazi anacheza bao toka asubui hadi jioni lakini wake zake wawili na watoto wake rundo, wanakula nyama na chakula kizuri kila siku. wana siri kubwa sana, wanaongozwa na shetani mwenyewe, na ndo maana hata nyuso zao zinatisha sana. ukiwaangalia usoni tu utaona huuuu huyo si mtu wa amani, hatariiiiiii kama wa ziko ya kilimani sesami. angalia yule shehe aliyemrithi makam mufti gologozi, angalia mufti simba mwenyewe...hahaha. yaani utafikiri wanakula watu. fumbukeni macho jamani...

kama kuna mwislam anayebisha, sema, nikuletee evidence hapa hadi utakimbia.
wewe mwana wa Mungu, hivi haya mambo umeyajuaje, huogopi albadiri wewe, mmh hawa mashehe si wanasomaga hiyo kwa watu wanaowachukia.?
kwani nyuso zao zinanini, mbona ni binadamu wakawaida tu, mimi si mwislamu lakini nabisha na leta evidence
 
sio lazima iwe siku ya mwisho. hata sasahivi tunajua pumba ni zipi na mchele ni upi. hakika dini ya kiislam ndo pumba ya kwanza kuliko dini zote duniani. kwanza kwasababu dini yao ina uhusiano na majini, yaani mungu wao anapenda tu waabudu na kufuga majini. pili wanaongozwa na wachawi. hakuna shehe asiyekuwa mchawi, ili uwe shehe mzuri, lazima uwe fiti kwenye uchawi na kufuga majini. pia, waislam wanapenda sana fujo na kupigana. wanasema kuwa kuna majini mazuri na mabaya, yale mazuri wanayafuga, ndo yale yanayowaletea pesa kama vile kwa njia ya chuma ulete kwa wakristo na watu wengine. utakuta mwislam hana kazi anacheza bao toka asubui hadi jioni lakini wake zake wawili na watoto wake rundo, wanakula nyama na chakula kizuri kila siku. wana siri kubwa sana, wanaongozwa na shetani mwenyewe, na ndo maana hata nyuso zao zinatisha sana. ukiwaangalia usoni tu utaona huuuu huyo si mtu wa amani, hatariiiiiii kama wa ziko ya kilimani sesami. angalia yule shehe aliyemrithi makam mufti gologozi, angalia mufti simba mwenyewe...hahaha. yaani utafikiri wanakula watu. fumbukeni macho jamani...

kama kuna mwislam anayebisha, sema, nikuletee evidence hapa hadi utakimbia.


Sema (Ewe Muhammad): Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.

(Quran 3:65)
 
sio lazima iwe siku ya mwisho. hata sasahivi tunajua pumba ni zipi na mchele ni upi. hakika dini ya kiislam ndo pumba ya kwanza kuliko dini zote duniani. kwanza kwasababu dini yao ina uhusiano na majini, yaani mungu wao anapenda tu waabudu na kufuga majini. pili wanaongozwa na wachawi. hakuna shehe asiyekuwa mchawi, ili uwe shehe mzuri, lazima uwe fiti kwenye uchawi na kufuga majini. pia, waislam wanapenda sana fujo na kupigana. wanasema kuwa kuna majini mazuri na mabaya, yale mazuri wanayafuga, ndo yale yanayowaletea pesa kama vile kwa njia ya chuma ulete kwa wakristo na watu wengine. utakuta mwislam hana kazi anacheza bao toka asubui hadi jioni lakini wake zake wawili na watoto wake rundo, wanakula nyama na chakula kizuri kila siku. wana siri kubwa sana, wanaongozwa na shetani mwenyewe, na ndo maana hata nyuso zao zinatisha sana. ukiwaangalia usoni tu utaona huuuu huyo si mtu wa amani, hatariiiiiii kama wa ziko ya kilimani sesami. angalia yule shehe aliyemrithi makam mufti gologozi, angalia mufti simba mwenyewe...hahaha. yaani utafikiri wanakula watu. fumbukeni macho jamani...

kama kuna mwislam anayebisha, sema, nikuletee evidence hapa hadi utakimbia.

Maskini wa Mungu wee, nadhani haujui unacho kisema ndugu yangu,

Namwomba Mwenyezi Mungu akupe ujuzi wa kuyajua mambo vizuri (Sio kulopokwa tu) na akuongoze katika njia ya haki, Amin.

Pole sana ndugu yangu.

Eti evidence,

toa evidence yako basi... tunasubiri

umenichekesha sana.

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa neema hii ya uislamu.

Alhamdulillah.
 
Maamuma si rahisi kuelewa lugha kama yangu. Mtaishiria siku Yesu akirudi.
Watu wa Mungu mtaangamia kwa kukataa maarifa wala si kwa kuyakosa.
Lugha yako ni ya kishetani-shetani au ndio maana haieleweki...balaa hilo

Ama kweli mmekosa maarifa..yesu atawakana akirudi ..fanya haraka mrudi kwenye mafundisho ya kweli na haki-uislamu
 
Acha uongo bana,

soma Quran (Surat Al-'Ikhlā&#351😉 hapo chini,

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

Hakuzaa wala hakuzaliwa.

Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

(Surat Al-'Ikhlā&#351😉, Sadaqallahu Al-Adhim.
To begin with, an impeccable Islamic scholar, Ali Dashti contends that most Islamic scholars believe that just like human beings Allah has limbs and organs (68:42).This means: Allah is anthropomorphic!-with real hands, eyes, ears, legs, feet and body! Quoting from an immaculate Islamic source (Abu ‘Amer), Ali Dashti says that according to real Islam Allah has limbs and organs like a human being. Abu ‘Amer uses verse 68:42 to describe the true nature of Allah. Here is what Dashti writes:

Abu ‘Amer ol–Qorashi, a Moor from Majorca who died at Baghdad in 524/1130, declared that it was heretical to understand the sentence "There is nothing similar to Him" in verse 9 of sura 42(osh–Showra) (this is verse 42:11in the Qur'an translation of Yusuf Ali-author's note) as meaning what it says; it meant, in his opinion, that nothing resembles God in respect of His divinity, because "God possesses limbs and organs like yours and mine." As proof of God's possession of such limbs and organs, Abu ‘Amer ol-Qorashi cited the description of the last judgement in verse 42 of sura 68 (ol-Qalam) "On the day when the leg will be bared and they will he bidden to kneel but cannot," and then slapped his thigh and said, "God has legs just like mine." (Dashti, 1994, p.15
 
Allah walks with human beings (in Paradise, of course)-this is impossible to believe. But look what the Qur'an says!

YUSUFALI: Also mention in the Book the case of Idris: He was a man of truth (and sincerity), (and) a prophet: [Q 019.056]

YUSUFALI: And We raised him to a lofty station. [Q 019.057]


In foot note 55 of volume vi of Tabari we read:

A Prophet mentioned in the Qur'an as "raised to high station " by God (19:56f, sec 21:85). He is usually identified with the Biblical Enoch (Akhnukh) who "walked with God, and he was not, for God took He" (genesis 5:24)." (Tabari, 1988, p. 6.42).

This means Allah surely has feet, just like humans, to be able to walk with a human being such as Prophet Enoch (Idris).
 
To begin with, an impeccable Islamic scholar, Ali Dashti contends that most Islamic scholars believe that just like human beings Allah has limbs and organs (68:42).This means: Allah is anthropomorphic!—with real hands, eyes, ears, legs, feet and body! Quoting from an immaculate Islamic source (Abu ‘Amer), Ali Dashti says that according to real Islam Allah has limbs and organs like a human being. Abu ‘Amer uses verse 68:42 to describe the true nature of Allah. Here is what Dashti writes:

Abu ‘Amer ol–Qorashi, a Moor from Majorca who died at Baghdad in 524/1130, declared that it was heretical to understand the sentence “There is nothing similar to Him” in verse 9 of sura 42(osh–Showra) (this is verse 42:11in the Qur’an translation of Yusuf Ali—author’s note) as meaning what it says; it meant, in his opinion, that nothing resembles God in respect of His divinity, because “God possesses limbs and organs like yours and mine.” As proof of God’s possession of such limbs and organs, Abu ‘Amer ol-Qorashi cited the description of the last judgement in verse 42 of sura 68 (ol-Qalam) “On the day when the leg will be bared and they will he bidden to kneel but cannot,” and then slapped his thigh and said, “God has legs just like mine(Dashti, 1994, p.15

Pumba tupu!!! hivi lini mtafumbua macho na kuona?! mwenzio amekupa aya za kuran ambazo tunaamini zimeshushwa na allah, wewe unamnukuu binadamu!!! who's Ali Dashti in Islam? halafu kumbe kitabu chenyewe kimeandikwa 1994!!! Unafikiri hata kama hoja yako ingekuwa na msingi ni nani anaweza kuisikiliza? Ni muislamu wa dunia gani ambae ni mfuasi wa Ali Dashti? unaonaje ukinukuu kuran ilipoandika kwamba mungu ana miguu? labda mungu wa kikristo, ikiwa mungu wenu ana nafsi tatu atashindwa nini kuwa na miguu?! inafurahisha kwamba huna hoja ya msingi na badala yake umeamua kutumia uwongo manake hata hizo aya unazozisema hazipo kwenye Kuran. Tuanze na hiyo uliyosema ni 68:42, Kuran halisi hiyo haya inasema " (Na wawalete) hiyo siku ya kutakayokuwa na mateso makali, na wataitwa kusujudu lakini hawataweza" Haya sema mwenyewe sasa, huo upupu wako hapo juu umeutoa wapi? wht abt hiyo uliyoiita 42:9 "Oh! wao wameshika waungu wengine badala yake! Lakini mlinzi hasa ni mwenyezi mungu, na yeye ndiye atakayewahuisha waliokufa. Naye ni mwenye uweza wa kila kitu!" Hayo ndio maneno ya mungu wa kiislamu, ambae ndie mungu wako ww pia!!! sasa huo uchafu wako umeutoa kwa mungu wa nani? au wa huyo Yusufu Ali?! Pole sana MaxShimba, ni hodari sana wewe wa kujifanya una-cite Kuran lakini mara zote unatoa verse za uongo!!! ndivyo mnavyofundishwa au nawe unadanganywa ili mchungaji aweze kupata mkate wake wa kila siku? Hivi mtaendelea kudanganywa hadi lini? Na jinsi kila wakati unavyonukuu aya ambazo hazipo kwenye kuran inathibitisha hata mnayoambiwa makanisani ni uongo mtupu!! Ama kweli wajinga ndio waliwao!!
USHAURI WA BURE: Kabla ya kupoteza muda wako kwa kusoma vitabu vya uongo unavyoita ni Kuran, basi anza kwanza kuisoma Taurati na Injili kwa undani, na wala haitakuchukua muda kwamba kila siku ulikuwa unadanganywa ili wajasiliamali wapate mkate wao wa kila siku!!! Au nawe ni mjasiliamali wa kigalatia nini? Kama ndio, basi acha kupotosha kondoo wakati ukweli unaujua kwani adhabu kali inawasubiri watu kama nyinyi!!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom