Mihadhara ya dini na siasa ni hatari kwa hatma ya Taifa letu!

Status
Not open for further replies.

MZEE WA USSOKE

Senior Member
Dec 21, 2012
120
42
Habari za usiku wa JF,

Nimekuwa maeneo ya GOBA kwa takribani wiki mbili sasa,katika majukumu yangu binafsini,kitu kilichonishangaza ni Muhadhara wa dini ya ki islam unaoendelea katika eneo hili,kuna mambo machache yaliyonipa wakati mgumu sana kwa hatima ya nchi yetu,nitaeleza machache,

a] wanatumia muda mwingi sana kusema mambo ya upotoshaji kuhusu imani nyingine ya Kristo,na kuiponda kwa

nguvu kubwa sana kuwa siyo dini ya mwenyezi Mungu,kwa upande wangu imenipa shida sana kuona hawa ndugu

zetu badala ya kutumia muda huo kuwafundisha waumini wao mambo yanayowahusu wao,lakini wanadiliki kusema
WAKRISTO HAWANA AKILI,kama Taifa tunaelekea wapi?

na je,Serikali ilipiga marufuku mihadhara sasa kwanini vyombo vya usalama vipo na haiwachukulii hatua

b] muda huu ninao ongea muhadhara unaendelea,na wanaendelea kueneza chuki kati ya Ukristo na Uislam,kwani
leo mtu kuwa Mkristo katika nchi hii ni kosa?,mpaka hawa BAADHI ya Waislamu wanatukana dini ya mtu mwingine
na wanafanya hivi kama vile Serikali haipo

Katika misingi ya katiba yetu ukurasa wa 17 kuna misingi minne,nayo ni; UHURU,HAKI,UDUGU,
NA AMANI

Lakini katika Ibara ya 19[1]kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo,imani na uchaguzi katika mambo ya dini
pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake

[2] Inasema kazi ya kutangaza dini,kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu
binafsi,na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamalaka ya nchi

Sasa kama katiba iko wazi hivi kwanini wahuni wachache wanaa chwa wakitamba na kueneza chuki za kiimani?

c] Jambo jingine lililo nikera zaidi walipoingiza masuala ya siasa na kuanza kumponda Dr SLAA,kuwa aliacha ubunge
aliokuwa akilipwa millioni 17,akagombea Uraisi na alipokosa akawapa masharti CHADEMA alipwe kama alivyokuwa
akilipwa bungeni.

Hoja yangu hapa siyo Dr .kulipwa au kutolipwa,suala hapa wao wanahubiri dini yao,mambo ya wanasiasa
yanaingiaje? kibaya zaidi wanawaita Chadema hawana akili,na kuwaambia wafuasi wao waachane chama cha
hovyo.

Angalizo kwa watanzania,Mungu ametupa Amani hii siyo kwamba sisi ni wema kuliko wasomali,wakongo.Mali nk bali ni kwa neema tu ya Mungu mwenyewe,na nimaombi yangu tusifike huko ambako hawa ndugu zetu wanataka kutupeleka

Kama mtu anataka siasa afanye siasa,kuliko kutumia majukwaa ya dini halafu unaponda chama au dini ya mtu mwingine
kibaya zaidi dharau hii inafanywa kipindi tunachoshuhudia viongozi wa makanisa wanauwawa.

WATU WA USALAMA WAFUATILIENI WATU HAWA,WAPO HAPA GOBA MWISHO,

Naomba kuwasilisha na usiku mwema
 
ndo maana kuna haja ya kubadilisha mfumo mzima wa serikali kama ilishazuiliwa inakuwaje iendelee?ni udhaifu, upuuzi na uzembe
 
Waislam wengi wanaamini serikali iliyoko madalakani imewekwa na wao, wakiamini viongozi wengi ni waislamu.Baada ya Slaa kuonekana kuibana CCM katika uchaguzi mkuu 2010, wanaona kama alibanwa mwislamu Jk.Na ndo maana kila mwisamu katika hoja ya kumtaja Slaa, wao wanamtaja kwa Upadri si tena kwa siasa zake.Tz tuna doa kubwa kama tuna mawazo ya kuchagua mtu kwa dini yake.
Ndo maana wanasema Kikwete amewasahau, na wengine wakidiliki kusema sio Mwislamu.

My take.
Hata mkichagua kiongozi kwa kufata dini,kabila,ukanda mjuwe hataongoza kwa misingi ya hivyo vitu.
 
Waislam wengi wanaamini serikali iliyoko madalakani imewekwa na wao, wakiamini viongozi wengi ni waislamu.Baada ya Slaa kuonekana kuibana CCM katika uchaguzi mkuu 2010, wanaona kama alibanwa mwislamu Jk.Na ndo maana kila mwisamu katika hoja ya kumtaja Slaa, wao wanamtaja kwa Upadri si tena kwa siasa zake.Tz tuna doa kubwa kama tuna mawazo ya kuchagua mtu kwa dini yake.
Ndo maana wanasema Kikwete amewasahau, na wengine wakidiliki kusema sio Mwislamu.

My take.
Hata mkichagua kiongozi kwa kufata dini,kabila,ukanda mjuwe hataongoza kwa misingi ya hivyo vitu.
kwenye red hasa ndo ilivyotakiwa iwe. lakini nyie ndugu zetu hata hamueleweki. mnaandika hapa lakini utekelezaji wenu ni tofauti sana. we know.
 
So sad, ni ukweli usiopingika kuwa hawa wana baraka na mamlaka ya nchi hii, si umeona hata radio imani, imefungiwa kwa sensa si kwa chuki za kidini walizokuwa wakieneza, inamaana serekali inaafiki chuki walizokuwa wakitoa zilikuwa ni sahihi. Hawa jamaa wamekuwa sehemu ya dola, by default nchi imekuwa ya kidini. Hawaguswi, na viongozi wetu hawaoneshi kuguswa na hili, so sad.
 
Ni vibaya kumchagua kiongozi kwasababu ya Dini yake lakini ni jambo la kumtukuza Mungu kwa kumchagua kiongozi asiye kuwa Muislamu.

Sitamchagua kiongozi kwasababu ya Dini yake lakini sitachagua kiongozi muislamu. Uwezo wa kiuongozi hauziingatii dini ya mtu lakini hakuna muislamu mwenye uwezo wa uongozi.

Ni jambo zuri kuheshimu viongozi wa dini lakini si vibaya kuheshimu viongozi wa dini ya kiislamu. Ni vizuri kutumia akili katika kuishi lkn ni vibaya kutumia akili kuuishi uislamu.

Kuvumilia ni jambo la mustakari wa mambo yote ila ni vibaya kuwavumilia waislamu kwa ushetani wao. Anayekataa haya hajui kusoma na wala picha hujui kuitazama
 
Kwani babu Na bibi zetu waliokuwepo kabla ya dini hizo ngeni za kikiristo zilzoletwa Na wazungu Na kiislamu zilizoletwa Na waarabu hawana chao Kwa Mungu. Kama hatujui na hatuwezi kuishi Kwa Amani nazo basi tuziache zisituharibie umoja wetu
 
Hilo la CDM na Dr. Slaa ndilo linalowapa baraka ya kuruhusiwa kuendelea kutoa Uharo wao huo wanaoutoa. Kuhusu kufundisha dini yao! Si wameanza kuifundishia huko chuoni Marakas, Ukerewe mkaanza kulalamika, unataka sasa waanze kuifundishia na Dar?
 
ukiona mtu anaongelea ya mwenzake ujue hana akili.kichwa chake kimejaa usaha,usaha huu walio nao ugatuingiza pabaya sana.
 
Wanaotakiwa kuwaelimisha hawa ndugu zetu ni waislamu wenyewe wenye mtazamo chanya wa maisha ya kila siku.Ila ninamalumu rais wetu kwa maana ndiye anayelea ujinga huu!Kama Muislamu mwenzao angekaa nao nakuwaelimisha kwamba yeye ni muislamu sawa ,lakini ni kiongozi wa watanzaia wote bila kujali dini,dhehebu wala kabila.Lakini ninahofu labda rais wetu amesahahu aliapa kuilinda katiba.
Ila ninamuonea huruma maana kwa kila kifo cha binadamu mmoja ndani ya ardhi ya Tanzania,anaenda kulijibia.Wameanza kuuawa viongozi wa dini ,lakini nina hofu wanaofuata waumini wa dini mbalimbali sasa sijui itakapofika mahali pa kulipiziana kisasi sijui ataweka uso wake wapi.Maana mihadhara hii imenza siku nyingi,anaijua lakini ameifumbia macho.
 
System nzima ya utawala imeoza! Jawabu ni kui overhaul. CDM ratibuni wanachama watakaowapigia kura 2015. Hakikisheni wameandikishwa kupiga kura. Simamieni kuhakikisha kuwa wamepiga kura. Lindeni kura zenu kama mlivyofanya huku Arusha! Hakuna tumaini lingine.
 
Yule kadhi wa Dar es Salaam anaonekana kuwa na hekima na busara. Mbona hazungumzi na hao watukanaji wanaodai wanaeneza dini?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hawa wavaa vipedo na walala miskitini,wanya kahawa,tangawizi na visheti badala ya kufanya kazi pia kupiga shule tabu sana hawa,wananipa tabu sana kuwaelewa hawa viumbe.
 
na kwa sababu BAKWATA hawaandai mihadhara ya kukashifu ukristu basi wanazidi kuichukia.
Au inawezekana kamanda wa polisi kanda maalum ustaadh Kova pamoja na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ust Sadik mkuu wa mkoa wameamua kupepesa macho ili ndugu katika imani wafikishe ujumbe.
Otherwise prove me wrong kuwa jiji kama Dar unaweza kuvunja sheria kwa siku 3 bila kuchukuliwa hatua,mbona inteligensia ya harakati za Chadema wanawahi mapema.Udini ni mkakati wa dhaifu na ccm yake ndiyo maana akina Kova wananywea
 
kwenye red hasa ndo ilivyotakiwa iwe. lakini nyie ndugu zetu hata hamueleweki. mnaandika hapa lakini utekelezaji wenu ni tofauti sana. we know.

Kwa hiyo udini uliopo balozi za Tanzania nje ya nchi na Serilkali kuendesha harakati za udini unazikubaliee!..
 
So sad, ni ukweli usiopingika kuwa hawa wana baraka na mamlaka ya nchi hii, si umeona hata radio imani, imefungiwa kwa sensa si kwa chuki za kidini walizokuwa wakieneza, inamaana serekali inaafiki chuki walizokuwa wakitoa zilikuwa ni sahihi. Hawa jamaa wamekuwa sehemu ya dola, by default nchi imekuwa ya kidini. Hawaguswi, na viongozi wetu hawaoneshi kuguswa na hili, so sad.

Chezea mfumo ISLAMU wewe!.
 
Watu wa usalama wako bize na kuteka na kutesa... Sangap wafuatilie mihadhara
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom