Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Kumbe sikujua uko terrified sorry waache watu-fanye debate kama unaogopa usiwasikilize kaa pembeniMihadhara unayosema hakuna debate - bali huwa mnapenda nyie tu mushinde kwenye huo mhadhara na mkiishiwa hoja mnaanza kuwaita wengine makafir. Na ndiyo maana mkikutana na wengine wanaanza kuwaita pia magaida na kisha mhadhara wenyewe unageuka kuwa ugomvi maana mnapenda kuwaita wasiokubalina nayi makafir na wao wakiwaita maghaidi mnachukia.
makafir maana yake ni watu wasioamini siyo neno baya kwako (iko kwenye kitabu)
Ukiita mtu ni gaid huo ugomvi maana lazima u-prove ameku-terrify