Mihadhara ya namna hii ni sahihi...?

Status
Not open for further replies.
Few things here:

First. Jesus was absent from this body.

Second. Accordingly, Jesus wa still present.

Third. Uislam, haukuwepo wakati wa Yesu, so, swali lako ni unethical and lacks merits, to wit.

Forth. Umanaanisha nini kwa kusema Biblia original? The Bible is the Word of God, and CHRIST IS THE WORD. Nenda Sunday school kasome kidogo na achana na Mad-raasa.

Kichwa chao kiitaacha kukuzunguka punde utakapo elewa kuwa Uislam ni dini bandia.

Bado pale pale "was absent/present...!!! which is which?.
Nani aliemuua mungu yesu? au ni watu wadini gani?
Bibilia iliofichwa ilioko Rome sio vesion mpya za Kina king James. but still is a book with writen words on it.
Haya ni maswali ukiuliza sunday school padri anashindwa kujibu na ankutoa nje. in fact yawe rahisi kujibu kwa wanakondoo bila kunitosa kwa wengine.
 
Ya Ngoswe tumuachie Ngoswe mwenyewe, Tutatenda dhambi bure... Mungu atusaidie
 

Ni wapi kwenye Kolani yenu iliyo jaa shaka panasema kuwa Yesu Kristo amefariki?

Lete aya nione.

Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kaamili Siku ya Kiyama. Na atakaye epushwa na Moto na akatiwa Peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu.

(Quran 3:185)
 
sasa akichorwa picha mnaandamana dunia nzima, mnaakili kweli nyie, mnabigania nafsi iliokufa ? kwani nikimchora mwamedi namuongezea nini wakati yeye ni maiti tu.

And give glad tidings to those who believe and do righteous good deeds, that for them will be Gardens under which rivers flow (Paradise). Every time they will be provided with a fruit therefrom, they will say: "This is what we were provided with before," and they will be given things in resemblance (i.e. in the same form but different in taste) and they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified wives) and they will abide therein forever.

(Quran 2:25)
 
sasa akichorwa picha mnaandamana dunia nzima, mnaakili kweli nyie, mnabigania nafsi iliokufa ? kwani nikimchora mwamedi namuongezea nini wakati yeye ni maiti tu.

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye ni Ashidaa kwa mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa.

(Quran 48:29)
 
Yesu bado yu juu kwa hao mitume wenu.
Halinganishwi na mitume wowote wale. Yeye ni wa kipekee.
Ni Yesu tu ambaye nikiliitia jina lake majini na mapepo na vinyamkera na maruhani na takataka zote hizo hupiga kelele na kuomba Yesu awahurumie.
Sijawahi kusikia jina la M'med yule muarabu likitajwa na shetani akiogopa, maana nasikia huwa wanafanya sala pamoja. Na hapa ndipo nitazidi kumuamini huyu Yesu.
Ajabu ni kwamba hata kwa kutaja jina lake, ugonjwa unatii na kuondoka na hata majini yakilisikia jina hili, utasikia yakiomba lisitajwe. Mimi nilitumia jina lake tu na magonjwa yakatii kwa miaka sita sasa!
Mwite nabii au mtume; muite utakavyo lakini Yesu yuko juu na halinganishwi na hao wakina M'med maana hata wao wanamuogopa na hapo ndipo nyodo zinapoanzia!

Naona maneno yako yakiajabu ajabu tu hata hayaeleweki.

Pole ndugu yangu.
 
Mtume pekee aliyekuwa anafanya mikutana na MAJINI ni Marehemu Muham-mad, na kukiri kuwa majini ni Maislamu.

Juzi juzi tu, tumesoma kuwa mlikuwa mnampiga mawe SHETANI ambaye alikuwa anamswalia mtume MACCA.

Hivi wewe upo dunia ya wapi weye?

Ama kweli akili ni mali, wao (mahujaji wa kiislamu) wanampiga mawe shetani kwa sababu shetani ni adui wa binadamu sio kwa sababu anamsalia mtume.. tee tee...

naona hapa mnaanza kuzua uongo sasa, nilikuambieni kamwe hamtaweza kabisa kuishinda dini ya Mungu (Islam).

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.
(Quran Tukufu Surat At-Tawbah aya 33)

Yeye ndiye aliye Hai - hapana mungu isipo kuwa Yeye. Basi muabuduni Yeye mkimsafishia Dini Yeye. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote.
(Quran Tukufu Surat Ghāfir aya 65)

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki, ili aitukuze juu ya dini zote. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi.
(Quran Tukufu Surat Al-Fatĥ aya 2

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.
(Quran Tukufu Surat Aş-Şaf aya 9)
 
Bado pale pale "was absent/present...!!! which is which?.
Nani aliemuua mungu yesu? au ni watu wadini gani?
Bibilia iliofichwa ilioko Rome sio vesion mpya za Kina king James. but still is a book with writen words on it.
Haya ni maswali ukiuliza sunday school padri anashindwa kujibu na ankutoa nje. in fact yawe rahisi kujibu kwa wanakondoo bila kunitosa kwa wengine.

"We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body, and to be present with the Lord." [2 Corinthians 5:8]

Jamani Biblia sio kama Kolani jamani.

“Therefore we are always confident, knowing that whilst we are at home in the body, we are absent from the Lord.”

We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body and present with the Lord.”

Biblia huwa haisomwi kama Kolani. Unahitaji hekma ya Mwenye Ez Mungu.
 
Sasa wewe na akili zako zoooote unafuata mtu ambaye ni MAREHEMU au HAYATI? LOL

Sisi tunamwabudu Mwenyezi Mungu hatumwabudu Mtume Muhammad S.A.W.

Mwenyezi Mungu anatwambia katika Quran,

Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.

(Quran 3:144)
 
Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kaamili Siku ya Kiyama. Na atakaye epushwa na Moto na akatiwa Peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu.

(Quran 3:185)
That is what Korans says, sasa tusome neno la MWENYE EZ MUNGU:

Answer: The Bible presents death as separation: physical death is the separation of the soul from the body, and spiritual death is the separation of the soul from God.

Death is the result of sin. “For the wages of sin is death,”
Romans 6:23a. The whole world is subject to death, because all have sinned. “By one man sin entered the world, and death by sin, and so death passed upon all men, for that all have sinned” (Romans 5:12). In Genesis 2:17, the Lord warned Adam that the penalty for disobedience would be death—“you will surely die.” When Adam disobeyed, he experienced immediate spiritual death, which caused him to hide “from Lord God among the trees of the garden” (Genesis 3:8). Later, Adam experienced physical death (Genesis 5:5).

On the cross, Jesus also experienced physical death (
Matthew 27:50). The difference is that Adam died because he was a sinner, and Jesus, who had never sinned, chose to die as a substitute for sinners (Hebrews 2:9). Jesus then showed His power over death and sin by rising from the dead on the third day (Matthew 28; Revelation 1:18). Because of Christ, death is a defeated foe. “O death, where is thy sting? O grave, where is thy victory?” (1 Corinthians 15:55; Hosea 13:14).

For the unsaved, death brings to an end the chance to accept God’s gracious offer of salvation. “It is appointed unto men once to die, but after this the judgment” (
Hebrews 9:27). For the saved, death ushers us into the presence of Christ: “To be absent from the body, and to be present with the Lord” (2 Corinthians 5:8; Philippians 1:23). So real is the promise of the believer’s resurrection that the physical death of a Christian is called “sleep” (1 Corinthians 15:51; 1 Thessalonians 5:10). We look forward to that time when “there shall be no more death” (Revelation 21:4).

 
Ama kweli akili ni mali, wao (mahujaji wa kiislamu) wanampiga mawe shetani kwa sababu shetani ni adui wa binadamu sio kwa sababu anamsalia mtume.. tee tee...

)


Mkuu Igunga:

Ni kivipi Sheytwain apigwe mawe ndani ya Msikiti Mkuu wa Macca? Hivi huyu Sheytwain, alikuwa anafanya nini Msikitini, tena wakati wa kuhiji?
 
Sisi tunamwabudu Mwenyezi Mungu hatumwabudu Mtume Muhammad S.A.W.

Mwenyezi Mungu anatwambia katika Quran,

Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.

(Quran 3:144)

Swali mkuu, mbona Waislam huwa wanapandwa na jazba ya ajabu, unaposema kitu kuhusu Marehemu Muham-mad?

Mitume wengine, wakitukanwa, sijaona hata Muislam mmoja akisema neno. Mfano, Mtume PAULO, ambaye anatukanwa kila siku na WAISILAMU?
 
That is what Korans says, sasa tusome neno la MWENYE EZ MUNGU:

Answer: The Bible presents death as separation: physical death is the separation of the soul from the body, and spiritual death is the separation of the soul from God.

Death is the result of sin. “For the wages of sin is death,”
Romans 6:23a. The whole world is subject to death, because all have sinned. “By one man sin entered the world, and death by sin, and so death passed upon all men, for that all have sinned” (Romans 5:12). In Genesis 2:17, the Lord warned Adam that the penalty for disobedience would be death—“you will surely die.” When Adam disobeyed, he experienced immediate spiritual death, which caused him to hide “from Lord God among the trees of the garden” (Genesis 3:8). Later, Adam experienced physical death (Genesis 5:5).

On the cross, Jesus also experienced physical death (
Matthew 27:50). The difference is that Adam died because he was a sinner, and Jesus, who had never sinned, chose to die as a substitute for sinners (Hebrews 2:9). Jesus then showed His power over death and sin by rising from the dead on the third day (Matthew 28; Revelation 1:18). Because of Christ, death is a defeated foe. “O death, where is thy sting? O grave, where is thy victory?” (1 Corinthians 15:55; Hosea 13:14).

For the unsaved, death brings to an end the chance to accept God’s gracious offer of salvation. “It is appointed unto men once to die, but after this the judgment” (
Hebrews 9:27). For the saved, death ushers us into the presence of Christ: “To be absent from the body, and to be present with the Lord” (2 Corinthians 5:8; Philippians 1:23). So real is the promise of the believer’s resurrection that the physical death of a Christian is called “sleep” (1 Corinthians 15:51; 1 Thessalonians 5:10). We look forward to that time when “there shall be no more death” (Revelation 21:4).


Blessed is He in Whose Hand is the dominion, and He is Able to do all things.

Who has created death and life, that He may test you which of you is best in deed. And He is the All-Mighty, the Oft-Forgiving;

AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.


(Quran 67:1-2)
 
Blessed is He in Whose Hand is the dominion, and He is Able to do all things.

Who has created death and life, that He may test you which of you is best in deed. And He is the All-Mighty, the Oft-Forgiving;

AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

(Quran 67:1-2)

Ni nani huyu?
 
Few things here:

First. Jesus was absent from this body.

Second. Accordingly, Jesus wa still present.

COLOR]


What are you trying to say MaxShimba ? is it chinese language or what ? By ligically that is wrong and it is not making any sense.

please make it more clear..
 
In Sahih Muslim we read:
Adam is the image of Allah… (Sahih Muslim, 32.6325)

Book 032, Number 6325:
When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

This hadith has been transmitted on the authority of Abu Huraira and in the hadith transmitted on the authority of Ibn Hatim Allah's Apostle (may peace be upon him) is reported to have said:

When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.

Kaazi kweli kweli, why is ALLAH commanding Islams, WASITWANGANE SURA ZAO?

Kumbe allah ni kiumbe!
 
Kwanini wamtumie Christ?

come on man, that is just a date bana, it is just happened to be BC!!

It is nothing more than that, why are you using the Arabic numbers 123456789 ? that also just people decided to use them, nothing more than that.
 
"We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body, and to be present with the Lord." [2 Corinthians 5:8]

Jamani Biblia sio kama Kolani jamani.

“Therefore we are always confident, knowing that whilst we are at home in the body, we are absent from the Lord.”

We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body and present with the Lord.”

Biblia huwa haisomwi kama Kolani. Unahitaji hekma ya Mwenye Ez Mungu.

tee.. tee.. teeeeee..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom