Migogoro ndoa za wasomi

Migogoro ndoa za wasomi

Me namtaka waku.tulia sijui ana mume jamani.cjui nae tampataje na maana kina nyepesi kabwe wamemchefua
 
9.siku zote mwanamke kuwa mnyenyekevu
katika ndoa yako
Mkifanya hivyo ni ndoa yenu itakuwa
yenye furaha tele na mtakuwa mfano wa
kuigwa.
Unyenyekevu ndio unahatarisha maisha ya mwanamke magonjwa kama BP etc be yourself kwa nini unyenyekee kwani wewe ndio mhitaji zaidi kuliko huyo mwanaume? Mimi huwa sielewi kabisa hata kwenye mafundisho ya dini yanafundisha mwanamke kuwa mnyonge kwenye ndoa for what?!! NDOA lazima ibalance
 
kuna kaka yangu ameoa std7 kwa sababu km ambazo huwa naona wanaume wengi wa humu jf wanaziongelea kuhusu wanawake wasomi, bro kilasiku zinavyosogea anazidi kuisha tu na hafanyi diet, mwanamke ana gubu yule bi chau anasubiri!!

wanaume badilisheni mtazamo wenu tu, muondokane na yale mawazo mgando ya kuwa mnaoa mahouse girls au watumwa wenu, mbona sisi tumewaelewa kuwa mambo yamebadilika hamuwezi tena kutunza familia peke yenu(uzembe at highest)!!

yakishaitwa "mahusiano" it means ni ya wawili, so mkishindwana wote mmechangia wala msisingizie usomi wenu.
 
kuna kaka yangu ameoa std7 kwa sababu km ambazo huwa naona wanaume wengi wa humu jf wanaziongelea kuhusu wanawake wasomi, bro kilasiku zinavyosogea anazidi kuisha tu na hafanyi diet, mwanamke ana gubu yule bi chau anasubiri!!

wanaume badilisheni mtazamo wenu tu, muondokane na yale mawazo mgando ya kuwa mnaoa mahouse girls au watumwa wenu, mbona sisi tumewaelewa kuwa mambo yamebadilika hamuwezi tena kutunza familia peke yenu(uzembe at highest)!!

yakishaitwa "mahusiano" it means ni ya wawili, so mkishindwana wote mmechangia wala msisingizie usomi wenu.

Yah, kuishi na mtu ambae hamko comptactable ni shida sana, unamaliza kazi lakini hutaki kwenda nyumbani. Nyumbani ni mahali unapotakiwa kutuliza mawazo yako baada ya siku nzito. Mwisho wa siku unakuta mtu ameamua kujimaliza.
 
Ukikutana na mtu anaedemand kujengewa nyumba, kununuliwa gari, huyo ni mjasilimali hayuko kwenye mapenzi.


Ha ha ha haaaah....nimeipenda bure hiyo. Huo kweli ni ujasiliamali rafikiangu. Sasa mtu inabidi utoke nduki pale unapojikuta uko na mjasiliamali while wewe una-invest kwenye mapenzi au akili mukichwa au...au? Teh teh
 
Ha ha ha haaaah....nimeipenda bure hiyo. Huo kweli ni ujasiliamali rafikiangu. Sasa mtu inabidi utoke nduki pale unapojikuta uko na mjasiliamali while wewe una-invest kwenye mapenzi au akili mukichwa au...au? Teh teh
Wajasilimali wanajua timing wewe, ukitoka seminar tu anajua kunacheque, anaanza, hamlali mpaka apate mshiko kama yeye ndiye aliekuandikia mada kuu ya seminar.
 
Hahaha hapa ndo kituo cha "small things matter the most ". Jina langu lingine ni mfilipino teh. Unfortunately wanawake ndo inaonekana tunaendekeza sana mambo madogo madogo. Na wanaume wengi kutufanyia mmh hamna, watawafanyia wasio wapenzi wao.

Ha ha ha. Daaah...hapo sasa ndo penye shughuli pevu. Halafu best yangu HS aka Mfilipino naona hapo umeongea kwa hisia kweli...i had no option but to feel u. Ha ha ha
 
sure thing!! cha msingi ni kuangalia mnaeendana na sio kisa kasoma au hajasoma, msingi wa wahusiano ndio utakaodefine aina ya mahusiano mtakayokuwa nayo.

ila tatizo lingine watu hawako real ni kufake tu, after ndoa ndio makucha yanaibuka, sasa kama kuna mambo ulishacompromise nayo unashangaa yanaibuka mengine ambayo huwezi kudeal nayo, ndio hapo unaona , "hapana enough is enough"

Yah, kuishi na mtu ambae hamko comptactable ni shida sana, unamaliza kazi lakini hutaki kwenda nyumbani. Nyumbani ni mahali unapotakiwa kutuliza mawazo yako baada ya siku nzito. Mwisho wa siku unakuta mtu ameamua kujimaliza.
 
yaani hata siwaelewi, kama hunipi mwenyewe basi nitademand tu, marufuku kukopwa.

Mmh I don't think kama mwanaume akikupa kitu ni kwamba hajiwezi bila wewe. And honestly hakunaga mtu asiyejiweza bila mtu mwingine, huwa tunaassume tu. Unaweza kupewa tu kama zawadi out of upendo tu, na mwingine atakupa kwa sababu tu kuna kitu anataka kuachieve kwako
 
Wajasilimali wanajua timing wewe, ukitoka seminar tu anajua kunacheck, anaanza, hamlali mpaka apate mshiko kama yeye ndiye aliekuandikia mada kuu ya seminar.


You made my moment aisee. Asante mpendwa. Nimejikuta nacheka kwa sauti mno. Kwahiyo, wajaliamali ni wataalamu wa kutega mingo za kufa mtu na kwa umakini wa hali ya juu...kiasi kwamba mtu unashtukia tu umeachiwa manyoya. Daaaah...inabidi basi tu-develop senses na instincts zetu zaidi ili angalau tupate uwezo hata mdogo wa kugundua any alarming signs kutoka kwa hawa wajasiliamali...na dizaini kama wamejaa sana mtaani hawa.

Wewe huna chembe za ujasiliamali aisee? Ha ha ha
 
You made my moment aisee. Asante mpendwa. Nimejikuta nacheka kwa sauti mno. Kwahiyo, wajaliamali ni wataalamu wa kutega mingo za kufa mtu na kwa umakini wa hali ya juu...kiasi kwamba mtu unashtukia tu umeachiwa manyoya. Daaaah...inabidi basi tu-develop senses na instincts zetu zaidi ili angalau tupate uwezo hata mdogo wa kugundua any alarming signs kutoka kwa hawa wajasiliamali...na dizaini kama wamejaa sana mtaani hawa.

Wewe huna chembe za ujasiliamali aisee? Ha ha ha
May be I am too naive for that.
 
Mmh I don't think kama mwanaume akikupa kitu ni kwamba hajiwezi bila wewe. And honestly hakunaga mtu asiyejiweza bila mtu mwingine, huwa tunaassume tu. Unaweza kupewa tu kama zawadi out of upendo tu, na mwingine atakupa kwa sababu tu kuna kitu anataka kuachieve kwako


Kweli kabisa aisee....
 
Mmh I don't think kama mwanaume akikupa kitu ni kwamba hajiwezi bila wewe. And honestly hakunaga mtu asiyejiweza bila mtu mwingine, huwa tunaassume tu. Unaweza kupewa tu kama zawadi out of upendo tu, na mwingine atakupa kwa sababu tu kuna kitu anataka kuachieve kwako

Kweli kabisa!!
 
Ha ha ha. Daaah...hapo sasa ndo penye shughuli pevu. Halafu best yangu HS aka Mfilipino naona hapo umeongea kwa hisia kweli...i had no option but to feel u. Ha ha ha
Ndo hivyo bana, muwe tu mnatufanyia huto tu mambo tudogo tudogo. Mimi honestly napendaje mweee, basi tu
 
yaani hata siwaelewi, kama hunipi mwenyewe basi nitademand tu, marufuku kukopwa.
Hahaha haina shida, kama hela unaambiwa ufate ghetto, sipati picha kwenye kupewa gari utaambiwaje teh
 
kuna kaka yangu ameoa std7 kwa sababu km ambazo huwa naona wanaume wengi wa humu jf wanaziongelea kuhusu wanawake wasomi, bro kilasiku zinavyosogea anazidi kuisha tu na hafanyi diet, mwanamke ana gubu yule bi chau anasubiri!!

wanaume badilisheni mtazamo wenu tu, muondokane na yale mawazo mgando ya kuwa mnaoa mahouse girls au watumwa wenu, mbona sisi tumewaelewa kuwa mambo yamebadilika hamuwezi tena kutunza familia peke yenu(uzembe at highest)!!

yakishaitwa "mahusiano" it means ni ya wawili, so mkishindwana wote mmechangia wala msisingizie usomi wenu.
Daah me nasemaga Ugliness from inside doesn't discriminate, uwe umesoma au hujasoma. Mpe pole kaka yetu kwa janga alilolichuma. Tatizo wanaume hawataki mwanamke hata wa kusema "NO" pale mambo yanapoenda ndivyo sivyo. Wanataka muda wote "ndiyo mzee", sasa mwanamke anayejitambua aende/ asiende shule hutomuendesha kama gari bovu. Yani hawataki waulizwe chochote hawa. Na wao wanahisi mtu akienda tu shule ndo hashikiki, kumbe tupo wasikivu na wapole wengi tu kama mimi na wewe (Koh Koh koh)
 
Daah me nasemaga Ugliness from inside doesn't discriminate, uwe umesoma au hujasoma. Mpe pole kaka yetu kwa janga alilolichuma. Tatizo wanaume hawataki mwanamke hata wa kusema "NO" pale mambo yanapoenda ndivyo sivyo. Wanataka muda wote "ndiyo mzee", sasa mwanamke anayejitambua aende/ asiende shule hutomuendesha kama gari bovu. Yani hawataki waulizwe chochote hawa. Na wao wanahisi mtu akienda tu shule ndo hashikiki, kumbe tupo wasikivu na wapole wengi tu kama mimi na wewe (Koh Koh koh)
Kama mmoja wenu hajafika mbali ki-elimu si vibaya tena ndio atakua na mchango mkubwa kulea watoto kama mtajaliwa. Awe tu na hofu ya Mungu.
 
Pale Muhimbili kuna mama mmoja ni daktari ameolewa na mtunza bustani za hospitali, tena wanaishi vizuri sana. Inasemekana aliolewa na daktari mwenzake kabla lakini waliachana.
Ushuhuda hai huo.....
 
Back
Top Bottom