ngome urasa
Senior Member
- May 27, 2016
- 105
- 35
Sidhani kama wanaume wengi ndio cha nzo cha ndoa kuvunjika,maana na wanaume watasema chanzo ni wanawake! Tatizo ninaloona watu wameweka chini wajibu wa ndoa,maana kila mmoja anapaswa kumhudumia mwenzake kwa hali zote bila visingizio.penye mapenzi na ndoa ya kweli hamna visingizio.wajib wa kazi pamoja,kupata na kulea wtt kwa misingi bora,nk.tuangalie kama jamii tumejikwaa wapi.Haya mambo ya 50×50 pia naona yanachangia maana hakuna anaemsikiliza mwenzake
