Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,286
cerengeti
Mwanamke asiyeelimika tu ndio atakubali kutawaliwa kimabavu na mwanaume. Kwa mwanamke aliyeelimika, anajali kazi zake, hatokupa nafasi ya kuyumbisha misimamo yake. Ukimpata mtaaishi kwa strategies mlizoziweka kuongoza uhusiano wenu. Usipokubali haya...... man, tafuta wanawake wasio jua haki zao, tena wapo wengi sana utapata.
Mwanamke asiyeelimika tu ndio atakubali kutawaliwa kimabavu na mwanaume. Kwa mwanamke aliyeelimika, anajali kazi zake, hatokupa nafasi ya kuyumbisha misimamo yake. Ukimpata mtaaishi kwa strategies mlizoziweka kuongoza uhusiano wenu. Usipokubali haya...... man, tafuta wanawake wasio jua haki zao, tena wapo wengi sana utapata.