Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Kuna wakati utachoka, fikiria uzeeni wakati watoto wote wameshakua, utaongea na nani?Bora kutooa ,(It is better to be alone because no one can hurt you)
Kuna wakati utachoka, fikiria uzeeni wakati watoto wote wameshakua, utaongea na nani?Bora kutooa ,(It is better to be alone because no one can hurt you)
Khaaaaaaaaaa!!duuuh!! nilisahau kama career women ni roborts!!
tusiosoma![]()
Ukisoma mmeo/mkeo ni cheti
Khaaaaaaaaaa!!
cerengeti
Mwanamke asiyeelimika tu ndio atakubali kutawaliwa kimabavu na mwanaume. Kwa mwanamke aliyeelimika, anajali kazi zake, hatokupa nafasi ya kuyumbisha misimamo yake. Ukimpata mtaaishi kwa strategies mlizoziweka kuongoza uhusiano wenu. Usipokubali haya...... man, tafuta wanawake wasio jua haki zao, tena wapo wengi sana utapata.
Kumbuka majukumu ya mwanamke msomi, ni mke, mama na kazini ni kiongozi. Sasa kama mwanaume si mwelewa na yeye anataka apikiwe ugali na mke wake kila siku ndio mara nyingi migogoro inapoanza.Huyo wa Muhimbili aliemuacha Dr.mwenzie na kuolewa na garden boy,mara nyingi wanawake hasa kama ana kipato chake anaangalia mtu dhaifu ili afanye anavotaka,maana huyo Dr.mwenzake atamthibiti! Wanawake wengi wa town wa mshahara wana tabia hiyo,wanapodai 50×50 pale home na kugonga mwamba, Wanaanza kujidai afadhali kuolewa na msukuma mkokoteni!
et eeh...Ukisoma mmeo/mkeo ni cheti
ndoa haina formula nimeona ndoa nyingi ambazo wanawake sio wasomi na zimeishia kwa kuachana au unakuta wanafanya ujinga mpk unashangaa. chamuhimu upate mtu anayemuogopa Mungu despite elimu yake. ukiomba Mungu atakupa mke mzuri tu au mme mzuri pia na wewe uwe na matendo mazuri
Labeckha nimekusika. Hapa ndipo tunapokosea, vitabu vya dini vinasema Adam alikuwa mpweke, Mungu akampa usingizi na kutwaa ubavu wake. Sasa kama wewe umeolewa na huyu mume ndiye ubavu wako wa pili, inabidi msaidiane majukumu. Mawasiliano yenu kwanza yawe mazuri, mume aweze kukueleza yote yanayomsibu na wewe kadhalika. Mshahara unapopatikana mtatue yale yanayotatulika. Sasa kama mwisho wa mwezi mwanamke haleti chochote nyumbani huyo si mke bali ni mjasilimali.sawa,unaejiita sky eclat,ukiamua kuingia kwenye ndoa,nadhan utakubaliana na mimi kuhudumia ndoa ni muhimu sana,otherwise mume anaeza hudumiwa na hse girl or akatafuta alternative ingine ,na ww unabaki kuhudumia office.Usikwepe wajibu wako kwa mume kwa sababu nyinginezo,utaivunja ndoa yako! Sidhan kama kuna mume anaeweza kuelewa kukosa huduma za mke,na ndivyo matattzo yanapoanza! Unasema upo bsy wakati mwisho wa mwezi hakuna kinachoonekana ndani?
Dada naomba unipe ruhusa niku pm tafadhali.Pale Muhimbili kuna mama mmoja ni daktari ameolewa na mtunza bustani za hospitali, tena wanaishi vizuri sana. Inasemekana aliolewa na daktari mwenzake kabla lakini waliachana.
Kuna wakati utachoka, fikiria uzeeni wakati watoto wote wameshakua, utaongea na nani?