mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
kupendwa ni asset, kupenda ni liability
Pale Muhimbili kuna mama mmoja ni daktari ameolewa na mtunza bustani za hospitali, tena wanaishi vizuri sana. Inasemekana aliolewa na daktari mwenzake kabla lakini waliachana.
Mapenzi hayahitaji PhD holder unachohitaji ni TLC Tender Loving Care.That is so sweet...
Sio kwamba wanawake waliosoma na kuelimika ni jasiri na wanajiamini katika maamuzi? Kwamba wanaweza kuishi bila kujali attitude za mfumo dume? Au ni wanaume wasiojiamini ndio wanaowasingizia tu? Kwani research ipi inadhibitisha hili? Dada zetu inatakiwa msome hasa. ...tena mjitahidi kuwa financially free coz hii dunia inatekwa na wenye nguvu tu na si vinginevyo. Chaguo ni lako.
Mapenzi hayahitaji PhD holder unachohitaji ni TLC Tender Loving Care.
Ni kweli mkuu, kuna siku mfanya kazi mwenzetu alikuwa mgojwa, tulikwenda kumjulia hali, basi mke wa yule jamaa alikuwa amepika cake, maandazi, alitutengea chai. Mwenzetu alitueleza kuwa mke wake hamtengenezeagi chai, akiuliza chai anaambiwa kwani huna mikono, birika, sukari na majani vyote vilipo unajua. Nilifikiria tu huyo mama angejua tofauti kubwa atakayomfanyia mumewe siku akianza kumtengenezea kikombe cha chai. Unaona ni jambo dogo sana lakini linamuumiza mume wake.You have said it all my dear. Uko sahihi kabisa. Watu wanajisahau tu. And normally ili mapenzi yawe matamu na yenye furaha tele kunahitajika vitu vidogo vidogo sana kutoka pande zote....but they count immensely kwenye kujenga penzi imara. Big things huwa zina complement na ku-nourish tu !!
Koh Koh Koh "small things matter the most "You have said it all my dear. Uko sahihi kabisa. Watu wanajisahau tu. And normally ili mapenzi yawe matamu na yenye furaha tele kunahitajika vitu vidogo vidogo sana kutoka pande zote....but they count immensely kwenye kujenga penzi imara. Big things huwa zina complement na ku-nourish tu !!
Kuna watu they keep on counting vikubwa tuu....tunawafanyaje haoKoh Koh Koh "small things matter the most "
Ni kazi kumfundisha mtu kuappreciate kitu ambacho haoni kama kina faida yoyote kwake. Omba Mungu siku akivikosa hivyo vitu, possibly anaweza akagundua thamani ya alichokuwa anakitake for granted, so next time akikipata atakiappreciateKuna watu they keep on counting vikubwa tuu....tunawafanyaje hao
Mwanaume atakuwa juu ya mwanamke.Louis de broglie
Dunia imebadilika. Wanawake wanapaswa wasome, waheshimiwe zaidi katika mahusiano kama vile wanaume tunavyoheshimiwa. Mkuu wewe unaogopa mwanamke akiwa financially independent? Wasiwasi wako chanzo nini, haujiamini kuwa unaweza kuwa huru tu hata kama mwanamke anajitegemea na anasimamia anachokiamini? Ukiwa na mentality hii ya woga utaishi kwa jazba na haitosaidia lolote. See? Mkuu inatakiwa uwe mshindani mjuzi na mwenye akili. Kuendesha uhusiano kwa tamaduni za mababu haifit kwa wakati huu. Usiogope mabadiliko, yakumbatie mabadiliko, au vipi jaribu kubadilisha hiyo hali. Bless man.
Alichoeleza mleta madai ni utafiti kama unaelewa maana ya utafiti. Sio kuwa kila utafiti lazima uwe formal na publications. Unaweza kuobserve jambo kwa kipindi fulani na kutafsiri tayari huo ni utafiti.Sio kwamba wanawake waliosoma na kuelimika ni jasiri na wanajiamini katika maamuzi? Kwamba wanaweza kuishi bila kujali attitude za mfumo dume? Au ni wanaume wasiojiamini ndio wanaowasingizia tu? Kwani research ipi inadhibitisha hili? Dada zetu inatakiwa msome hasa. ...tena mjitahidi kuwa financially free coz hii dunia inatekwa na wenye nguvu tu na si vinginevyo. Chaguo ni lako.
Ni kweli mkuu, kuna siku mfanya kazi mwenzetu alikuwa mgojwa, tulikwenda kumjulia hali, basi mke wa yule jamaa alikuwa amepika cake, maandazi, alitutengea chai. Mwenzetu alitueleza kuwa mke wake hamtengenezeagi chai, akiuliza chai anaambiwa kwani huna mikono, birika, sukari na majani vyote vilipo unajua. Nilifikiria tu huyo mama angejua tofauti kubwa atakayomfanyia mumewe siku akianza kumtengenezea kikombe cha chai. Unaona ni jambo dogo sana lakini linamuumiza mume wake.
Baada ya kuwa ushampoteza.....Ni kazi kumfundisha mtu kuappreciate kitu ambacho haoni kama kina faida yoyote kwake. Omba Mungu siku akivikosa hivyo vitu, possibly anaweza akagundua thamani ya alichokuwa anakitake for granted, so next time akikipata atakiappreciate