Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 3,550
- 3,805
Kama HUYU tuluyenaeTujipe miaka/miezi michache tuanze tena kulia lia tukiomba rais kama JPM. Tatizo watu wana ubinafsi na tamaa sana bila kujua lazima kila reformation ije na maumivu makubwa na inabidi kuvumilia kwa ajili ya vizazi vijavyo....