Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Uchumi ni imani.

Watu wakikosa imani na kesho yao, hawawezi kufanya uwekezaji.

Nimepitia Masaki, ghafla naona miradi mingi iliyosimama imeanza upya, na mingine mipya imeanza kuchipuka.

Jiwe alikuwa anatumaliza kabisa.
 
Impact yake Kitaa ipoje....

Kwa huyu na yule aliyepita maswali ni yale yale, uchumi / uwekezaji wa kwenye makaratasi bila kuleta impact yoyote mtaani ni maigizo tu...

Watu kipato cha kubahatisha na ajira bado ni msamiati.. Si bora kipindi ambacho uchumi ulikuwa so called duni lakini watu wana ajira / kipato....
 
Tanzania juu,ndani ya miezi mitano ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
_________________________________________
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho mwaka jana jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi mitano Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa 400%, yaani mara sita zaidi ,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,

Nasema ......
......... Kazi iendelee .........
________________________________

Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Unajipendekeza hv unadhani watu wenye akili timamu hawaoni......!!??
 
Watanzania wanadanganyika sana,,yaani mwekezaji kaja kaandikisha mrdi kwenye makaratasi wenyw thamani ya dolla 3billion harafu akaondoka,watu wanashangilia..Ingekuwa nikweli hizo fedha zimeingizwa nchini kwenye uwekezaji..ungeona reserve ya fedha za kigen ingekuwa kubwa na thamani ya sh ya Kitanzania ingepanda ..na tungeona ajira zinakuwa nyingi sana kwani hiyo fedha nikubwa kulikobujenzi wa Bomba la mafuta ya Uganda..unlesa mseme hizi pesa ndo zile za ujenzi wa bomba la mafuta.
 
Uzuri wa siasa za wakati huu upinzani wa CCM uko ndani ya CCM hukohuko...
Tuwaachie uwanja team mwendazake vs team mama wanyooshane wao kwa wao
 
Toa upuuzi wako, huwezi fananisha huyu na mwamba JPM, huyu mama yenu mwisho 2025, aende kucheza na wajukuu.
kwa katiba hii unafikiri CCM inaweza kupindua meza aliyoikalia kote kote - yaani ndani ya CCM na ndani ya Dola ?
 
Utaumia sana, JPM yupo kuzimu, Mama ndio habari ya mujini mpaka 2030 inshallah.

Usijitafutie maradhi ya moyo kwa kumchukia the choosen one, ukisikia chaguo la Mungu ndip mtu kama Samia.

Hakugombea Urais ila Mungu amependezwa naye.
Na watakuja wawekezaji wengi tu.
Na hivi ule wizi wa IPTL Mwamba aliufumua na kuanzisha ujenzi wa Bwawa la JK Nyerere.
Alale pema Mbinguni!
 
Watanzania wanadanganyika sana,,yaani mwekezaji kaja kaandikisha mrdi kwenye makaratasi wenyw thamani ya dolla 3billion harafu akaondoka,watu wanashangilia..Ingekuwa nikweli hizo fedha zimeingizwa nchini kwenye uwekezaji..ungeona reserve ya fedha za kigen ingekuwa kubwa na thamani ya sh ya Kitanzania ingepanda ..na tungeona ajira zinakuwa nyingi sana kwani hiyo fedha nikubwa kulikobujenzi wa Bomba la mafuta ya Uganda..unlesa mseme hizi pesa ndo zile za ujenzi wa bomba la mafuta.
Unalalamika nini?

Unapingana na serikali?

Njoo na wewe na takwimu zako kukanusha,

Otherwise elewe nchi inakwenda vizuri,
 
Na watakuja wawekezaji wengi tu.
Na hivi ule wizi wa IPTL Mwamba aliufumua na kuanzisha ujenzi wa Bwawa la JK Nyerere.
Alale pema Mbinguni!


IPTL imefanyaje?

Unataka Mama anegotiete ili alipwe nayeye,

SG lazima ikamilike mwaka huu,
 
Uzuri wa siasa za wakati huu upinzani wa CCM uko ndani ya CCM hukohuko...
Tuwaachie uwanja team mwendazake vs team mama wanyooshane wao kwa wao
Chadema acha kujidanganya,

CCM hakuna kundi,

CCM ni moja daima, na mama yetu ni Mmoja Samia Suluhu Hassan
 
Impact yake Kitaa ipoje....

Kwa huyu na yule aliyepita maswali ni yale yale, uchumi / uwekezaji wa kwenye makaratasi bila kuleta impact yoyote mtaani ni maigizo tu...

Watu kipato cha kubahatisha na ajira bado ni msamiati.. Si bora kipindi ambacho uchumi ulikuwa so called duni lakini watu wana ajira / kipato....
Impact huwezi kuiona kwa muda huu mfupi

Watu ndio kwanza wako kwenye ujenzi wa miradi hiyo mikubwa,

Baada ya mwaka mmoja nadhani kila Mtanzania atakuwa amepata majibu,
 
Uchumi ni imani.

Watu wakikosa imani na kesho yao, hawawezi kufanya uwekezaji.

Nimepitia Masaki, ghafla naona miradi mingi iliyosimama imeanza upya, na mingine mipya imeanza kuchipuka.

Jiwe alikuwa anatumaliza kabisa.
Fact
Daaaah,

Am speechless, Samia anatufurahisha sana Watanzania,

Haya mambo haya yanatutia moyo sana,
Mimi sio CCM ila napendezwa sana na Rais Samia,

Mwandishi leo naomba kukupongeza nakufuatilia nimeridhika wewe ni msaada kwa nchi, Haya tungeyajulia wapi?
🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Utukufu ni kwa Mungu
 
Impact huwezi kuiona kwa muda huu mfupi

Watu ndio kwanza wako kwenye ujenzi wa miradi hiyo mikubwa,

Baada ya mwaka mmoja nadhani kila Mtanzania atakuwa amepata majibu,
Tumekuwa tukisubiri hizo impact miaka nenda rudi.., sio kwamba hatujui haya mambo yanachukua muda bali kilichokuwa kikitokea huko nyuma kinatufanya kuwa sceptical...

Nikupe mfano mdogo tu mradi wa Bandari ya Bagamoyo au Gesi ya Mtwara.., mara tuliambiwa tunapigwa mara ni mradi mzuri n.k., kwahio miradi hii bila transparent hatuwezi kujua kama tunaokota au tunaokotwa....

By the way tunashindwa madogo, ya kuhakikisha wakulima wetu mahindi yanapata wateja au na haya tunasubiri wawekezaji
 
Huyu na yule marehem kaka yake waongo sana. Bado hatuna masoko ya uhakika ya mazao yetu, viwanda na uwekezaji migodini bado ni tatizo na serikali hailipi madeni yake lakini bado wanadanganya macho makavu kwamba wanafanya mambo makubwa.
 
Daaaah,

Am speechless, Samia anatufurahisha sana Watanzania,

Haya mambo haya yanatutia moyo sana,
Mimi sio CCM ila napendezwa sana na Rais Samia,

Mwandishi leo naomba kukupongeza nakufuatilia nimeridhika wewe ni msaada kwa nchi, Haya tungeyajulia wapi?
Very true....

Hakuna nchi duniani imeendelea kwa kugombana na watu kila siku, narudia tena haipo.

Hata Vietnam waliopigana vita vya moto na "mabeberu" kwa miaka zaidi ya 20 baadae walijua ukweli huu muhimu. To move forward you need more friends than enemies.

Tuvutie uwekezaji, watu wapate ajira. Huu upumbavu wa kunyanyua mabega na umaskini wetu ulikuwa unaenda kutuua.
 
Tanzania juu,ndani ya miezi mitano ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
_________________________________________
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho mwaka jana jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi mitano Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa 400%, yaani mara sita zaidi ,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,

Nasema ......
......... Kazi iendelee .........
________________________________

Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749

Mbona hizi project mnazo kwenye makaratasi tu hazionekani popote Tanzania? Mnamdanganya nani?
 
Very true....

Hakuna nchi duniani imeendelea kwa kugombana na watu kila siku, narudia tena haipo.

Hata Vietnam waliopigana vita vya moto na "mabeberu" kwa miaka zaidi ya 20 baadae walijua ukweli huu muhimu. To move forward you need more friends than enemies.

Tuvutie uwekezaji, watu wapate ajira. Huu upumbavu wa kunyanyua mabega na umaskini wetu ulikuwa unaenda kutuua.
Umenena yaliyosahihi
 
Back
Top Bottom