MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Uchumi ni imani.
Watu wakikosa imani na kesho yao, hawawezi kufanya uwekezaji.
Nimepitia Masaki, ghafla naona miradi mingi iliyosimama imeanza upya, na mingine mipya imeanza kuchipuka.
Jiwe alikuwa anatumaliza kabisa.
Watu wakikosa imani na kesho yao, hawawezi kufanya uwekezaji.
Nimepitia Masaki, ghafla naona miradi mingi iliyosimama imeanza upya, na mingine mipya imeanza kuchipuka.
Jiwe alikuwa anatumaliza kabisa.