Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Yanini mkuu tena?????
Pole sana
Pole sana
Tatizo wife hapendi hizi outing....hata mkitoka na familia ikifika saa 4 usiku anasema turudi nyumbaniHizo outing toka na mkeo hata kama ni karibu wqkikupigia wambie nipo na wife, full stop
Kweli pesa inasaidia kupata starehe pendwa....ila kumiliki moja kwa moja ni garamaWao wanauza unataka akubanie wakati anataka pesa? Mtaka cha uvunguni habinui kitanda mkuu bali huinama
Hakuzoea mapema , kama ungemzoesha wala isingekuwa shidaTatizo wife hapendi hizi outing....hata mkitoka na familia ikifika saa 4 usiku anasema turudi nyumbani
hofu yake kubwa nitalewa na kuanza kutamani tamaniHakuzoea mapema , kama ungemzoesha wala isingekuwa shida





kwani upo hivyo
hofu yake kubwa nitalewa na kuanza kutamani tamani
Uko sahihi,kila kitu ni bajetiKila kitu kilicho nje ya budget ni sawa na mchepuko
ha ha ha ha ha huwa inatokea tu na wao wanakuwa wanajipitisha pitishakwani upo hivyo
Hapo si unakuwa umekaa karibu na mkeo, hawaogopi kwani? Kumbe ndiyo maana anaogopa,ha ha ha ha ha huwa inatokea tu na wao wanakuwa wanajipitisha pitisha





Hatari sanaKuna michepuko inajielewa balaa.
Yaani unakutana na mwanamke ana malengo makubwa makubwa na anayatimiza.
Anathamini hata kidogo unachompatia na hana time na ndoa yako.!
Ndio unikomoe sasa?? Kwani raha si nakupaWanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
Duh! Sasa huchuni unakwangua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bi mkubwa umempa kila kitu, anaitwa Mrs Equation x...hii pekee inampa haki ya kila kitu ambacho kinahusiana na wewe, hata ungenimwagia mamilioni bado haitoshi kufidia hilo gepu
🙈🙈🙈🙈🙈 aibu nimeona mimiNifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.
Haukomolewi wala, kama unaona unakomolewa si uondoke?Ndio unikomoe sasa?? Kwani raha si nakupa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo hakuna guarantee, hivi siku imefika unaniambia nimeshindwa kutoa pesa wife ameficha ATM card nitakushtaki wapi? Au kabla hata hatujafika kutekekeza mipango unaniambia mimi sasa hivi nimeokoka sitaki tena michepuko usinitafute tena wakati huo wewe ulikuwa unajinyima unasubiri kutekeleza mipango mikubwa. Unakamua kwelikweli kama ni mipango unafanya ya kwako binafsi, mambo ya kupanga mipango na mume wa mtu yanatoka wapi
Acha ubahili BrotherMida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Nifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.


