Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Mtu anachunwa huko halafu hasira zinaishia kwa mkewe, full stress mke anashangaa tu huyu bwana vipi. kumbe huko michepuko imemchepua, hapo kupata pressure lazima hata ilikotokea
Na inafilisi hasaaa...lakini hamkutumwa kuwafata ni tamaa zenu tu..

Mi naona wawafilisi tu mana wapo kazini
 
Duu unaangalia kama pic za matangazo
Sasa utakuwa na akili nzuri kweli....kama unajiona huwezi kuhudumia vyote hivyo si unajilazimisha kuridhika na mkeo.

Hawa wazuri unaishia kuwaangalia tu jioni unamalizia hamu kwa mkeo.
 
Mtu anachunwa huko halafu hasira zinaishia kwa mkewe, full stress mke anashangaa tu huyu bwana vipi. kumbe huko michepuko imemchepua, hapo kupata pressure lazima hata ilikotokea
ha ha ha ha ha
 
Niligundua hilo mapema nikaacha nikaona nifanye tu maisha na Mke wangu baada ya kuacha haijapita miaka mingi nikajikuta yale malengo yangu tulopanga na Mke wangu kwa kiac kikubwa yametimia japo kipato changu na cha mwenzangu nichakawaida.
Amini kila kitu kinahitaji ujitoe siku hz nikiona tako nimelitamani kitaaa hacra zote naenda malizia home faida nimeiona kubwa sana kwanza familia inastawi na upendo unaongezeka

Maisha kila mtu anastahili yke lkn michepuko cyo
Walio feli kwa hilo watakucheka lakini ukweli ndiyo huo
 
Lakin wanawake wamezid mtu anajua mme wa mtu lakn wana tembea nae
Tatizo nalo pia lipo kwa wanaume, mwanaume akiambiwa tu naomba tutoke lazima akubali hata kama hakuwa na nia naye lakini mara kwa mara lazima mtongozane, lakini mwanamke kama hamhitaji huyo mtu ngumu sana kutoka naye labda awe naye ni muuzaji
 
Hebu rejea tena swali lako. 'Hivi kwa nini huwa mnafunga profile zenu?' Sasa hivi we mwenyewe tena unasema sio zetu
They are not urs... They are JF's.

Labda kama we ni Msukuma.
 
Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Hapo ndio utajua Magufuli karekebisha watu tabia
 
Ndiyo umelitambua leo, nyumbani ekfu5, mchepuko laki 2 tena zakutunzia mtoto asiye wako halafu mtu anajiita kidume,
mke michunusi mpaka mgongoni kisa pesa hakuna Mungu awaponye wanaume dizaini hii
Amen.
 
Mm nimeamua kubaki njia kuuu kabisa, haya mambo yanafilisi kwakweli yaaani wala tusiongopeane mimi kuna watu na wajua wamechokoza haya mambo wanajilaumu sana, unakuta mchepuko anamjua mpaka mke wako na familia yako harafu linawahi kushika mimba ili mgandane
Hahahah....zaid ya KUPE
 
Mpango wa kando ndio wenyewe,unapewa k huku mtu anatoa mlio kma sauti ya ruby,ukicheki hom mke hana jipya kila siku style ya popo kanyea mbingu
Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
 
Mbaya zaidi wake zenu nyumban hamuwatunzi, mke hapelekwi saloon, hamna hata outing za bahati mbaya na familia, ila huko nje sasa
Wanaothamini kidogo ni wachache sana,unashangaa leo unatoa laki,kesho anakuambia nimeona nguo nzuri,nataka kuenda saluni,hujakaa sawa anakuambia mzigo wake umekwama anaomba umpe laki 3,mpaka mtu unachanganikiwa
 
ha ha ha ha,nimekuelewa kwa 100%;namuomba Mungu anijalie niachane nao vizuri bila kukwaruzana,wanavyopiga mizinga ni sawa na ndege aliyenyonyolewa manyoya baadae akaambiwa aruke.
Aisee, unao wangap jomba? Mi nlikuwa na michepuko miwili.. Juzi kati yotE nimeichana na nmeachana nayo. Haikuwa rahisi kwa kweli.
 
Back
Top Bottom