Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Ndiyo maana yake hapo maslahi, anakwambia nifungulie biashara wakati mkeo hata mtaji wa laki 3 umeshindwa unamwambia subili mambo yakae sawaNimekuelewa;kwa hiyo mchepuko anakuwa pale kwa ajili ya maslai yake na si mapenzi
kumbe huko michepuko imemchepua, hapo kupata pressure lazima hata ilikotokea