Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Kuna mwingine huko anasomesha eti kamuoa , kaenda huko nako chuo kaolewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usithubutu kujifanya baba mzaz wa mtoto wa chuo watakuchuna mpaka ngozi wengi ni waigizaji tu anakuwa na wewe kwa malengo maalum akimalza chuo unabaki unalialia tu kama hivo