Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Kuna mwingine huko anasomesha eti kamuoa , kaenda huko nako chuo kaolewaUsithubutu kujifanya baba mzaz wa mtoto wa chuo watakuchuna mpaka ngozi wengi ni waigizaji tu anakuwa na wewe kwa malengo maalum akimalza chuo unabaki unalialia tu kama hivo



