Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Usithubutu kujifanya baba mzaz wa mtoto wa chuo watakuchuna mpaka ngozi wengi ni waigizaji tu anakuwa na wewe kwa malengo maalum akimalza chuo unabaki unalialia tu kama hivo
Kuna mwingine huko anasomesha eti kamuoa , kaenda huko nako chuo kaolewa
 
Unawapa vyakula vyakawida halafu huko unatoa fungu dhambi hiyo hata kama hawakuoni,
na ukute mchepuko una mchepuko mwingine
ha ha ha ha wanapiga simu tu nakusema niagiazie mdudu,kuku n.k
 
Kwanini umpe ukweli wa kila kitu wakati una mke
Nadhani kuachana nao vizuri,ni mimi kupunguza kuwapigia simu na wao wakipiga nakuwa sipokei au nachelewa kupokea pamoja na kujiweka mbali nao;nadhani nikitumia njia hii watajiongeza.Ila nikikata mawasiliano kwa haraka wanaweza kuniharibia familia.
 
kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
Eeh huyo kakufanya baba yake! Ila ndio raha ya kudate na vident hyo unakuwa baba yake pia
 
Matokeo yake ni majuto tu hata kwa sisi vijana. Ukishakuwa na mahusiano na watu zaidi ya mmoja ni tatizo baadae japo tunaona ni ufahari na ulijari.
Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
 
Back
Top Bottom