Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Ooohooo! Haya mamaaWe nini bhana, watu walishapigwa mtungo wakaendelea kudunda tu itakuwa wewe kamtu kamoja? Halafu ukitumia vumbi la Congo nikakunyima si utaenda nalo kwa mkeo?
Ooohooo! Haya mamaaWe nini bhana, watu walishapigwa mtungo wakaendelea kudunda tu itakuwa wewe kamtu kamoja? Halafu ukitumia vumbi la Congo nikakunyima si utaenda nalo kwa mkeo?
Unaona sasa maneno niliyoandika, nimerudia kusoma hadi nimeona aibuOoohooo! Haya mamaa


ha ha ha ha sichakazi mkuu bali wao ndio wananichakaza kwa majukumu mazitoWewe unapochakaza nanihii ya watu je?
We nini bhana, watu walishapigwa mtungo wakaendelea kudunda tu itakuwa wewe kamtu kamoja? Halafu ukitumia vumbi la Congo nikakunyima si utaenda nalo kwa mkeo?
ha ha ha ha ha haMizinga😀
ngoja nifute
Nimeshaanza kumpiga tarehe kwa sasaSafi sana, huyu ndio mchepuko anayejua kutumia fursa
Wala usijali ila eti mie naona aibu unapigwa hiyo halafu kesho unapita mtaani kama kawaida




watu wana roho ngumuvijana below 30 ndio wenye huo mchezoWala usijali ila eti mie naona aibu unapigwa hiyo halafu kesho unapita mtaani kama kawaida
Tendo linakuwa halina thamani tenawatu wana roho ngumu
Endelea kuskia tuuusichomi picha ya mtu yeyote, natoa mawazo yangu tu na si mawazo ya kila mchepuko....wengine wana mapenzi ya dhati nasikia eti
Na kweli bora niendelee kusikia yasije yakanipataEndelea kuskia tuuu
Unashangaa uko kwenye shughuli zako,unapigiwa simu nina njaa kweli, niagizie kitimoto na bia nipo sehemu fulani
Poleee! Wewe si huchuni unakwangua hahahahaahhUnaona sasa maneno niliyoandika, nimerudia kusoma hadi nimeona aibu![]()
HahahahaWala usijali ila eti mie naona aibu unapigwa hiyo halafu kesho unapita mtaani kama kawaida
vijana below 30 ndio wenye huo mchezo
Unatakiwa kuwa na mipaka basiUnashangaa uko kwenye shughuli zako,unapigiwa simu nina njaa kweli, niagizie kitimoto na bia nipo sehemu fulani