Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Hapo si unakuwa umekaa karibu na mkeo, hawaogopi kwani? Kumbe ndiyo maana anaogopa,
Inakuwa nimetoka na mke,watoto, na mtu wa taadhari kama tutashindwa kuendesha usafiri;sasa nikipiga chupa 8 mambo yanakuwa mengine
 
Acha ubahili Brother
Sio ubahili mkuu;wanapiga mizinga bila ratiba unashangaa asubuhi alikuomba elf 50,ikifika usiku anakuambia kuna wazo la biashara naomba unipatie laki 5.Nilikuwa najaribu kupangua zingine lakini nimeona nikiendelea hivi hakuna kupiga hatua
 
Sio ubahili mkuu;wanapiga mizinga bila ratiba unashangaa asubuhi alikuomba elf 50,ikifika usiku anakuambia kuna wazo la biashara naomba unipatie laki 5.Nilikuwa najaribu kupangua zingine lakini nimeona nikiendelea hivi hakuna kupiga hatua
Safi sana, huyu ndio mchepuko anayejua kutumia fursa
 
Sio ubahili mkuu;wanapiga mizinga bila ratiba unashangaa asubuhi alikuomba elf 50,ikifika usiku anakuambia kuna wazo la biashara naomba unipatie laki 5.Nilikuwa najaribu kupangua zingine lakini nimeona nikiendelea hivi hakuna kupiga hatua
Wewe unapochakaza nanihii ya watu je?
 
Hapo lazima network ihame kabisa pata chupa kwa starehe si kwa fujo
Mi huwa napenda sana kujiachia hasa wkend,juma3 mpaka ijumaa ni kupambana;sasa michepuko muda wowote watakaojisikia ni mizinga tu
 
Back
Top Bottom