ha ha ha ha ha wawili tu,ni sawa na kubeba gunia la misumariAisee, unao wangap jomba? Mi nlikuwa na michepuko miwili.. Juzi kati yotE nimeichana na nmeachana nayo. Haikuwa rahisi kwa kweli.
ha ha ha ha kuna ukweli mkuuSolution sio kukimbia michepuko,soln ni kutafuta pesa zaidi
ha ha ha ha ni kweliKwa usawa huu watu wenye vipato vya kawaida na wale wenye vipato vya chini lazima tujitathmini kwanza. Sio wakati wa kuhudumia michepuko, unaweza kukaa miaka mitano ya mzee baba bila kuwa na chochote cha maana.
Afadhali umetambua hilo, baki na mke tu!
ha ha ha ha ha wazo zuriUnampaje mchepuko fedha? Mchepuko wakupe wewe fedha ,maana wewe unae mke ,ukitaka K unapata
ha ha ha haMke mmoja hudumaza akili, endelea kuchepuka mzee baba ila honga kiasi
ha ha ha ha kwa nini mkuu
Wanawake nao ni kerrrrrreeo tupu. Unapewa K as if kwamba umemlazimisha. Yaan bora mchepuko wanatoa mzigo mpaka unaridhika, ss ndani only one shot kwisha habari yakeAfadhali umetambua hilo, baki na mke tu!
Michepuko inasaidia sana,....ila ni garama kummiliki kwa muda mrefu hasa hawa wenye shepu matata.Wanawake nao ni kerrrrrreeo tupu. Unapewa K as if kwamba umemlazimisha. Yaan bora mchepuko wanatoa mzigo mpaka unaridhika, ss ndani only one shot kwisha habari yake
Kama ulikuwepoHapo ndio utajua Magufuli karekebisha watu tabia
ha ha ha ha ha,naendelea kupangua outing zaoKama ulikuwepo
Kazi kusifia michepuko badala kumpeleka mkewe saloon akapendezeMbaya zaidi wake zenu nyumban hamuwatunzi, mke hapelekwi saloon, hamna hata outing za bahati mbaya na familia, ila huko nje sasa


Mpango wa kando ndio wenyewe,unapewa k huku mtu anatoa mlio kma sauti ya ruby,ukicheki hom mke hana jipya kila siku style ya popo kanyea mbingu
Wao wanauza unataka akubanie wakati anataka pesa? Mtaka cha uvunguni habinui kitanda mkuu bali huinamaWanawake nao ni kerrrrrreeo tupu. Unapewa K as if kwamba umemlazimisha. Yaan bora mchepuko wanatoa mzigo mpaka unaridhika, ss ndani only one shot kwisha habari yake
Hizo outing toka na mkeo hata kama ni karibu wqkikupigia wambie nipo na wife, full stopha ha ha ha ha,naendelea kupangua outing zao
Pole sanaNdiyo umelitambua leo, nyumbani ekfu5, mchepuko laki 2 tena zakutunzia mtoto asiye wako halafu mtu anajiita kidume,
mke michunusi mpaka mgongoni kisa pesa hakuna Mungu awaponye wanaume dizaini hii